masai dada
JF-Expert Member
- Dec 29, 2013
- 15,734
- 12,611
Msichojua ndo hicho sasa
Unamuona mwanaume unamtani na kuvutiwa nae ila sasa ndo inabidi ungalie mambo mengine sasa yanayofanya jambo ilo lishindikane
Nimekutana na mkaka maeneo ya ninayofanyia mihangaiko yangu ajui kituo cha gari anakoenda ila sijajua kama kweli alikua hapajui aendapo.akaniuliza nikampeleka
Jamaa wa Arusha huyo mgeni kifupi niliona alinielewa nikawa namkatisha katisha maneno yake wakati nampwleka kumuonesha akapenda gari asichojua mimi pia nimemuelewa
So nimemuonesha akabaki kasimama ananiangalia mimi huyo nimetokomea
“Ushawahi kutana na mwanaume ukamuelewa kama ni mjamzito unatamani kuificha mimba?” Basi ndo leo
Ila mimi sio mjamzito ila ninajua kujizuia na kutetea kiapo changi cha NDOA
Hata kama utatamani nje ila unatakiwa ukumbuke ahadi uliyoitoa madhabauni na kwa mwenzako bado ndoa itakua salama
Dah wakaka wa Arusha i mis home already
Unamuona mwanaume unamtani na kuvutiwa nae ila sasa ndo inabidi ungalie mambo mengine sasa yanayofanya jambo ilo lishindikane
Nimekutana na mkaka maeneo ya ninayofanyia mihangaiko yangu ajui kituo cha gari anakoenda ila sijajua kama kweli alikua hapajui aendapo.akaniuliza nikampeleka
Jamaa wa Arusha huyo mgeni kifupi niliona alinielewa nikawa namkatisha katisha maneno yake wakati nampwleka kumuonesha akapenda gari asichojua mimi pia nimemuelewa
So nimemuonesha akabaki kasimama ananiangalia mimi huyo nimetokomea
“Ushawahi kutana na mwanaume ukamuelewa kama ni mjamzito unatamani kuificha mimba?” Basi ndo leo
Ila mimi sio mjamzito ila ninajua kujizuia na kutetea kiapo changi cha NDOA
Hata kama utatamani nje ila unatakiwa ukumbuke ahadi uliyoitoa madhabauni na kwa mwenzako bado ndoa itakua salama
Dah wakaka wa Arusha i mis home already