Wanaume mkipepeta mdomo mjue na kutenda; “what a waste of sin”

Moja kwa moja kwenye mada…

Huyu rafiki yangu alinitongoza sana. Yani miaka 3 straight anafukuzia tu, nipe nipe..

Mapenzi game la nyoka bwana, nikaachika huko. Nikasema nimpe chance huyu mgaagaa na upwa.

Hapo ifahamike kuwa tumeshaflirt sana, yaani ashanisimulia jinsi atanipa mambo nisahau njia ya kwetu. Mdomoni tu, ana game sio ya nchi hii yaani Casanova huyu hapa.

Mtoto wa kike hiyo siku nikatoka, shanga zangu za pink kiunoni nikaenda Kijitonyama.

NILIJUTA! Hajui Kukiss, Hajui Kusex, Hajui chochote.

Ila kwa sababu alikuwa rafiki yangu, nilimchana live. Nikamwambia “wewe, kunisumbua kote kule ndo hivi??”

Leo nimemkumbuka kwa sababu amenitext “wewe mwanamke uliwahi kuumiza hisia zangu sana. Najua nina deni kwako”

Wanaume, muwe mnafanya mnachotakiwa kufanya. Haiwezekani nitende dhambi ya uasherati halafu nisipate raha. Hata shetani anabaki ananicheka!
Saaa
 
Moja kwa moja kwenye mada…

Huyu rafiki yangu alinitongoza sana. Yani miaka 3 straight anafukuzia tu, nipe nipe..

Mapenzi game la nyoka bwana, nikaachika huko. Nikasema nimpe chance huyu mgaagaa na upwa.

Hapo ifahamike kuwa tumeshaflirt sana, yaani ashanisimulia jinsi atanipa mambo nisahau njia ya kwetu. Mdomoni tu, ana game sio ya nchi hii yaani Casanova huyu hapa.

Mtoto wa kike hiyo siku nikatoka, shanga zangu za pink kiunoni nikaenda Kijitonyama.

NILIJUTA! Hajui Kukiss, Hajui Kusex, Hajui chochote.

Ila kwa sababu alikuwa rafiki yangu, nilimchana live. Nikamwambia “wewe, kunisumbua kote kule ndo hivi??”

Leo nimemkumbuka kwa sababu amenitext “wewe mwanamke uliwahi kuumiza hisia zangu sana. Najua nina deni kwako”

Wanaume, muwe mnafanya mnachotakiwa kufanya. Haiwezekani nitende dhambi ya uasherati halafu nisipate raha. Hata shetani anabaki ananicheka!
Yeah
 
Moja kwa moja kwenye mada…

Huyu rafiki yangu alinitongoza sana. Yani miaka 3 straight anafukuzia tu, nipe nipe..

Mapenzi game la nyoka bwana, nikaachika huko. Nikasema nimpe chance huyu mgaagaa na upwa.

Hapo ifahamike kuwa tumeshaflirt sana, yaani ashanisimulia jinsi atanipa mambo nisahau njia ya kwetu. Mdomoni tu, ana game sio ya nchi hii yaani Casanova huyu hapa.

Mtoto wa kike hiyo siku nikatoka, shanga zangu za pink kiunoni nikaenda Kijitonyama.

NILIJUTA! Hajui Kukiss, Hajui Kusex, Hajui chochote.

Ila kwa sababu alikuwa rafiki yangu, nilimchana live. Nikamwambia “wewe, kunisumbua kote kule ndo hivi??”

Leo nimemkumbuka kwa sababu amenitext “wewe mwanamke uliwahi kuumiza hisia zangu sana. Najua nina deni kwako”

Wanaume, muwe mnafanya mnachotakiwa kufanya. Haiwezekani nitende dhambi ya uasherati halafu nisipate raha. Hata shetani anabaki ananicheka!
Mkuu usiwe mwizi wa fadhila, halafu kuwa mkomavu basi!

Jamaa kukushindwa siyo kwamba hajui mambo na ni dhohari, hapana.
Ujue iko hivii?

Kuna ile 'over expectation' tunasema, mwanamme kuwa nayo rohoni, hasa kwa wale wanaozungushwa na kunyanyaswa sana kwenye kutongoza na wakavumilia bila kukata tamaa, rohoni mwao hujenga picha ya jinsi ulivyo na cha kufanya siku akikupata!

... 'Huyu mwanamke ananiringia kwa msura na hips lake mimi kweli, kanifanya hadi niuze nyumba yangu ili kumfukuzia yeye, gharama zote hizi wajameni, wee mwache, siku nikimpata naua!'... Ndivyo namna jamaa huishia kujiapiza moyoni kwa usumbufu ulomsababishia kwa kujifanya wewe matawi na ni wa hadhi kubwa!

Sasa siku hiyo umejiandaa kwa shanga, kigodoro na wig visivyokuwemo akilini mwake.

Pia umejifutika vipodozi na marashi yenye harufu za ajabu ajabu na kujiona umependeza!

Sasa katika kuandaana, kigodoro na wig umevivua umebakiwa na shanga zinazolia lia kama skeleton, hips huna nywele huna, kwa nini 'muhu' ya jamaa isikate kwa kupata asichokitarajia?

Tena mshukuru jamaa aliweza hata kule kukushika shika na kukugonga kihasara!

Mimi ningesizi, jongoo lisingeweza kabisa kupanda mtungi kwa kinyaa na ungeliniona kuwa nina dosari kubwa!
 
Mkuu usiwe mwizi wa fadhila, halafu kuwa mkomavu basi!

Jamaa kukushindwa siyo kwamba hajui mambo na ni dhohari, hapana.
Ujue iko hivii?

Kuna ile 'over expectation' tunasema, mwanamme kuwa nayo rohoni, hasa kwa wale wanaozungushwa na kunyanyaswa sana wakavumilia bila kukata tamaa, rohoni mwao hujenga picha ya jinsi ulivyo na cha kufanya siku akikupata!

... 'Huyu mwanamke ananiringia kwa msura na hips lake mimi kweli, kanifanya hadi niuze nyumba yangu ili kumfukuzia yeye, gharama zote hizi wajameni, wee mwache, siku nikimpata naua!'...

Sasa siku hiyo unejiandaa kwa shanga, kigodoro na wig visivyokuwemo akilini mwake.

Pia umejifutika vipodozi na marashi yenye harufu za ajabu ajabu na kujiona umependeza!

Sasa katika kuandaana, kigodoro na wig umevivua umebakiwa na shanga zinazolia lia kama skeleton, hips huna nywele huna, kwa nini 'muhu' wa jamaa usikate kwa kupata asichokitarajia?

Tena mshukuru jamaa aliweza hata kule kukushika shika na kukugonga kihasara!

Mimi ningesizi, jongoo lisingeweza kabisa kupanda mtungi kwa kinyaa na ungeliniona kuwa nina dosari kubwa!
Angekuwa hakuelewa mzigo asingetaka marudiano bwana!!

Kubalini tu hakuwezana ile siku.
 
Moja kwa moja kwenye mada…

Huyu rafiki yangu alinitongoza sana. Yani miaka 3 straight anafukuzia tu, nipe nipe..

Mapenzi game la nyoka bwana, nikaachika huko. Nikasema nimpe chance huyu mgaagaa na upwa.

Hapo ifahamike kuwa tumeshaflirt sana, yaani ashanisimulia jinsi atanipa mambo nisahau njia ya kwetu. Mdomoni tu, ana game sio ya nchi hii yaani Casanova huyu hapa.

Mtoto wa kike hiyo siku nikatoka, shanga zangu za pink kiunoni nikaenda Kijitonyama.

NILIJUTA! Hajui Kukiss, Hajui Kusex, Hajui chochote.

Ila kwa sababu alikuwa rafiki yangu, nilimchana live. Nikamwambia “wewe, kunisumbua kote kule ndo hivi??”

Leo nimemkumbuka kwa sababu amenitext “wewe mwanamke uliwahi kuumiza hisia zangu sana. Najua nina deni kwako”

Wanaume, muwe mnafanya mnachotakiwa kufanya. Haiwezekani nitende dhambi ya uasherati halafu nisipate raha. Hata shetani anabaki ananicheka!


Malaya Bwana, wqsumbufu sana
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom