Nunua Toka UK
Member
- Apr 17, 2023
- 90
- 196
- Thread starter
- #141
Mkuu sikulahumu chochote. Vitu nilivyopitia ambavyo sijaviandika hapa. Kama ni ningevisoma kwa mtu mwingine ningeweza kuhisi hivyo hivyo.
Mkuu sikulahumu chochote. Vitu nilivyopitia ambavyo sijaviandika hapa. Kama ni ningevisoma kwa mtu mwingine ningeweza kuhisi hivyo hivyo.
Mkuu, Mimi nimeshafanya kazi kwenye hospitali mbali mbali za vichaa. Nina uelewa fulani. Sijawahi kusimamishwa kazi kutoka na mental healthMkuu pia jaribu kuGoogle Schizotypal Personality Disorder labda inaweza kukusaidia.
Mkuu nina rudi. Mimi nimeshafanya kazi kwenye health care setting.Ningekuwa nimeshasimamishwa kazi kabla ya kuelekea kuokota makopoBlaza rudi home usije ukaanza kuokota makopo nchi za watu.
Mkuu, Jambo usilolijua ni kama usiku wa giza. Ulichokiongelea hapo kuhusu kusingizia ugonjwa wa akili ili wanirudushe. It is quite opposite na sheria za hapa zilivyo. Ukiwa na ugonjwa wa akili inawapa shida immigration kukuondoa. Na sidhani kama kuna nchi yoyote inaweza kumrudisha mtu kwao kwa sababu ya ugonjwa wa akiliUsisingizie ugonjwa wa akili. Maisha yamekushinda huko sasa unatafuta gia ya kuwa repatriated hadi bongo na nguo ulizovaa tu. Ulienda huko ukiwa na akili timamu na ukoo wenu wote walikusindikiza DSM airport huku ukiwa na ambitions za kurudi nyumbani na Range Rover Vogue na kumiliki villa yenye swimming pool mitaa ya Mbweni. Ndugu, jamaa na marafiki hawatakuelewa mkuu
Au kuna Mtu alikukabidhi Amana yake na hujamrejeshea?Mkuu, Mimi nimeshafanya kazi kwenye hospitali mbali mbali za vichaa. Nina uelewa fulani. Sijawahi kusimamishwa kazi kutoka na mental health
Nimeuliza kwa nini utafute emergency travelling document? Huna passport?Ubalozini nilienda juzi lakini kwa ajili kuomba emergency travel document. Hili swala sijawai kulipeleka ubalozini. Sababu moja kubwa inayonitatiza ni kuonekana ni ugonjwa wa akili
Mkuu, nimeishi London muda mrefu na sipo illegalKwani wewe hapo ni nani mpaka London Metropolitan police, M15, M16, Home office zikufatilie na kukutesa? Seriously hivyo vyombo vikuhitaji au vikikuona wewe ni security hazard, utalala hapo? Kama uko hapo legally una 'NI' nadhani unanielewa na una GP wako. Tafadhali nenda ukamuone umuelezee haya uliyo ya andika hapa utapata msaada unaokufaa. Ama sivyo kama kweli uko Great London area piga hii namba 02074678364 haitachukua dk 10 jamaa watakuja kukuchukua.
Si ukaombe msaada ubalozini wakurejeshe?Baada ya muda mrefu kunyanyaswa, kubaguliwa, kudharauliwa na mengine mengi. Leo ndio nimedhibitisha kuwa wanaamini mimi DEVIL hapa UK.
Niliwahi kufungua huu uzi: Yanayonikuta London (UK)
Nilielezea kwa kifupi kwamba nimekuwa nina tumiwa waves ambazo nina hisi kama electrical shocks na sharp needle pain. Hii baadae imekuja kuwa worse. Zina sababisha fuvu la kichwa kinauma na inabidi nitumie dawa za maumivu.
They are enjoying torture me. Mapaka nimeishia kulala kıla sehemu.
Nina hasira sana na hii.
Wao ndio wamejiminisha mimi ni shetani. Mimi ni binadamu kama binadamu wengine na maumivu ya kichwa na pata vile vile.
Haya niliyoandika hapa. Hiko siku yatakufikiaWazungu wapo busy na mambo yao hawana shida na maisha yako Wewe unaonekana kama haupo Sawa kichwani
Wakuite shetani Wewe kama Nani n'a wanakuita shetan ukiwa wap stop this madness
Hao wanasema mimi ni shetani ndio wanaweza kuwa na jibu lake.Nao hao jamaa hawana akili, sasa shetani gani anaonekana kwa macho halafu anategeka mpaka anaumwa kichwa?
Wee bana ukiona vp bora uende home.
Mkuu ulichoandika hapo kuna baadhi ya ambayo mimi sijasema.Yaani uende kituo chochote cha polisi ku-report halafu popote wajue huyo mtu ni ‘guinea pig’ wa research fulani ambayo inatakiwa kuwa siri, that’s not how national security staffs hide their plans (ndani kwenyewe watajua watu wachache). Ikibainika waziri hana kazi na wengine luluki if not serikali kuvunjwa na kuitishwa kwa uchaguzi mpya.
Passport ime expireNimeuliza kwa nini utafute emergency travelling document? Huna passport?
Niombee uzima mkuu. Mengine baadaeHamna !tus
Hamna!ila tuseme yeye ndio amekuwa wa kwanza kushtuka(coz ana ufahamu mkubwa) ,pili labda wengine wamejua ila siyo wa TZ ,na hawana acc jf, so wanalalamika huko kwingine ,ie Nigeria nk,. Honestly sipendi kudhalau matatizo ya watu,napenda nisikie mpaka mwisho, japo siyo justification ya kuamini harakaharaka
Ok. Pole sana. Fanya bidii urudi Bongo upumzike kwa muda uone hali itakuwaje. Kuna wakati nilikuwa nchi fulani Ulaya, nikawa ni mtu wa kuugua ugua vitu ambavyo sijui hata chanzo ni nini. Kila nikienda hospital napewa dawa za usingizi na nyingine anasema ni za kuliwaza ubongo. Nilipoona sina nafuu nikarudi Bongo. Huwezi amini nilipona bila matibabu yoyote. Hivyo nakushauri jaribu kurudi ukae kwa muda. Una muda gani tangu utoke Tanzania?Passport ime expire
Njoo tubadilishiane sehemu.Ukerewe
Mimi sio KisanduNimemmiss Kisandu
Mkuu, mimi nimeshafanya kazi kwenye hospitali za wagonjwa wa akili. Na nimesha repoti baadhi ya issues. Kama ingekuwa ni ugonjwa wa akili si ningekuwa nimesha kuwa sectioned!!Complaints za mtoa Mada kutoka katika nyuzi zote mbili ni hizi:
7.Wagonjwa wa Akili hawajawahi kujua wala kukubali kama ni wagonjwa wa akili.
Tuombeane uzima.Mtu ni sample halafu wakubali arudi Tz, hiyo mionzi itafika huku?