Wanafunzi wa vyuo vikuu Marekani wakaribishwa kusoma Iran na Yemen kama watafukuzwa kwa kuandamana

Webabu

JF-Expert Member
Apr 29, 2010
7,362
11,252
Vuguvugu linaloendelea nchini Marekani kwa wanafunzi wa vyuo vikuu kuandamana kuhusiana na vita vya Israel na Palestina limeingia hatua nyengine baada ya viongozi wa Iran na Yemen chini ya Houth kutoa nafasi kwa wanafunzi wa vyuo hivyo kama watafukuzwa kwa kutekeleza wajibu wao wa kidemokrasia.

Maamuzi hayo yamekuja wakati polisi nchini Marekani wakiendelea kuwakamata wanafunzi hao na kutishia kuwafungulia mashtaka huku vyuo wanavyosoma navyo vikitishia kuwafukuza kutoka vyuo hivyo.
 
Kinachosababisha US kutumia nguvu kuzima hayo maandamano ni ukweli mchungu jinsi serikali hio ilivyojihusisha na mauaji ya Palestinian zaidi ya 30K kwa kuisaidia Israel silaha na pesa kutekeleza mauaji hayo ya kigaidi.
 
Kinachosababisha US kutumia nguvu kuzima hayo maandamano ni ukweli mchungu jinsi serikali hio ilivyojihusisha na mauaji ya Palestinian zaidi ya 30K kwa kuisaidia Israel silaha na pesa kutekeleza mauaji hayo ya kigaidi.
Je iran ilivyotumia nguvu kubwa kuwasaidia hamas kuua wayahudi 1300 na kuwateka 230 je huwa hamuoni uovu wa hamas ila wapalestina ndio watu pekee?
 
Je iran ilivyotumia nguvu kubwa kuwasaidia hamas kuua wayahudi 1300 na kuwateka 230 je huwa hamuoni uovu wa hamas ila wapalestina ndio watu pekee?
Uthibitisho kujwa Iran ndiyo iliyoisaidia Hamas umeipata wapi.

Ushahidi wa Marekani kuisaidia Ukraine kuuwa mnavyosema warusi 50.000 wala haufichwi.
 
Vuguvugu linaloendelea nchini Marekani kwa wanafunzi wa vyuo vikuu kuandamana kuhusiana na vita vya Israel na Palestina limeingia hatua nyengine baada ya viongozi wa Iran na Yemen chini ya Houth kutoa nafasi kwa wanafunzi wa vyuo hivyo kama watafukuzwa kwa kutekeleza wajibu wao wa kidemokrasia.

Maamuzi hayo yamekuja wakati polisi nchini Marekani wakiendelea kuwakamata wanafunzi hao na kutishia kuwafungulia mashtaka huku vyuo wanavyosoma navyo vikitishia kuwafukuza kutoka vyuo hivyo.
Naunga mkono hoja, Iran inatoa wanafunzi wazuri zaidi na huko yemen kuliko magharibi na US
 
Back
Top Bottom