Wanachuo wote waliowahi kusoma na wanaosoma UDSM tuandamane kwa kudhalilishwa kwa Dr. Shukuru Kawambwa

Vijana siku hizi ni wa Hovyo sana... Mbali ya Dr. Kawambwa kuwa kiongozi mstaafu, lakini pia huyu kijana alipaswa amchukulie kama baba yake... Adabu na heshima katika mazungumzo ilipaswa ichukue nafasi... Hata kama Kuna makosa yamefanyika... Badala yake kijana anafooka na kushauti.... stupid kabisa... Nimechukia sana...

Vijana wa Pwani hovyo sana... Ingekuwa mikoa ya Shinyanga,Mbeya,Mwanza,Iringa,Njombe,Rukwa,Katavi,Arusha,Mara,Kagera.... Huwezi kukuta vijana wanafanya ujinga kama huu mbele ya wazee....

Maninaaa zake huyu kijana....Maninaaa.....😬😬😬
 
Anakula alichopanda.
Angekubali kuishi Kama wastaafu wenzake Nani angekwenda kumdhalilisha jumbani kwake?
Amekua mmbunge vipindi 2 Ina maana mafao' tu alipata zaidi ya nusu bilioni. Sisi tunaopata milioni 36 tunaridhika na kukaa nyumbani, yeye anashindwaje?
 
Wasomi wa tz njaa sana, nakumbuka prof muhongo pale geo department alikua mtu makini sana mwenye weledi sana alikua anaishauri serikali positive things alivyopewa ulaji na kuingia kwenye siasa akawa wa hovyo tu na kupoteza credibility kabisa


Kuna mtu alikua anajenga Hoja kama kitila mkumbo? What happened alivyoonja asali?
Siasa ni mchezo mchafu ukishiriki lazima uchafuke.
 
Hao ndio vijana wa kisasa. Hawajali umri wako wala kitu chochote wanaweza hata kukupiga makofi.
Ila nina uhakika sasa hivi anajutia alichofanya.
Nimeangalia clip mara mbili mbili...
Nimechoka.. Yaani hana adabu kabisaa yule kijana mtu mzima vile anamsukumaa..angedondoka sijui ingekuaje
Afungwe tu kwa kweli km kamfanyia vile waziri na DSO wastaafu ,baasi atakua hapo mtaani watu wa kawaida wanamhara Sanaa
 
Vijana siku hizi ni wa Hovyo sana... Mbali ya Dr. Kawambwa kuwa kiongozi mstaafu, lakini pia huyu kijana alipaswa amchukulie kama baba yake... Adabu na heshima katika mazungumzo ilipaswa ichukue nafasi... Hata kama Kuna makosa yamefanyika... Badala yake kijana anafooka na kushauti.... stupid kabisa... Nimechukia sana...

Vijana wa Pwani hovyo sana... Ingekuwa mikoa ya Shinyanga,Mbeya,Mwanza,Iringa,Njombe,Rukwa,Katavi,Arusha,Mara,Kagera.... Huwezi kukuta vijana wanafanya ujinga kama huu mbele ya wazee....

Maninaaa zake huyu kijana....Maninaaa.....😬😬😬
Kwa mikoa na wilaya zote za Nchi hii vijana wote na baadhi ya wazee ni wapuuzi.
 
Mzuka wanajamvi!

Haiwezekani mzee profesa na aliyehodhi mamlaka na madaraka za juu nchini na kulitumikia taifa letu kwa weledi adhalilishwe na kijana mbele ya camera na kusukumwasukumwa.

Natoa rai kwa wanachuo wote waliosoma na wanaosoma UDSM kwa pamoja tukutane na tuandamane kupinga na kulaani udhalishaji huu kwa msomi profesa na mzee mwenye hekima na busara kurekodiwa na kuitwa dalali wa viwanja.

Vijana tuheshumuni mamlaka, wazee na wasomi wa taifa letu. Kitendo hiku cha professor kudhalilishwa kimelitia doa sana taifa.

Pia tuige mfano mzuri wa Professor alivyotulia bila kubishana na yule kijana mpuuzi.

Professor maintained his cool, local and international exposure and hundle the situation in a conducive manner. He clearly indulged and embarked in a critical anger management manoeuvre and manifesto.

What a character we should learn from this humble gentleman.

Yule kijana ni mpemba....
 
Vijana siku hizi ni wa Hovyo sana... Mbali ya Dr. Kawambwa kuwa kiongozi mstaafu, lakini pia huyu kijana alipaswa amchukulie kama baba yake... Adabu na heshima katika mazungumzo ilipaswa ichukue nafasi... Hata kama Kuna makosa yamefanyika... Badala yake kijana anafooka na kushauti.... stupid kabisa... Nimechukia sana...

Vijana wa Pwani hovyo sana... Ingekuwa mikoa ya Shinyanga,Mbeya,Mwanza,Iringa,Njombe,Rukwa,Katavi,Arusha,Mara,Kagera.... Huwezi kukuta vijana wanafanya ujinga kama huu mbele ya wazee....

Maninaaa zake huyu kijana....Maninaaa.....😬😬😬
Wewe unayetukana tukana ovyo ni kijana wa Pwani ipi vile?
 
Mzuka wanajamvi!

Haiwezekani mzee profesa na aliyehodhi mamlaka na madaraka za juu nchini na kulitumikia taifa letu kwa weledi adhalilishwe na kijana mbele ya camera na kusukumwasukumwa.

Natoa rai kwa wanachuo wote waliosoma na wanaosoma UDSM kwa pamoja tukutane na tuandamane kupinga na kulaani udhalishaji huu kwa msomi profesa na mzee mwenye hekima na busara kurekodiwa na kuitwa dalali wa viwanja.

Vijana tuheshumuni mamlaka, wazee na wasomi wa taifa letu. Kitendo hiku cha professor kudhalilishwa kimelitia doa sana taifa.

Pia tuige mfano mzuri wa Professor alivyotulia bila kubishana na yule kijana mpuuzi.

Professor maintained his cool, local and international exposure and hundle the situation in a conducive manner. He clearly indulged and embarked in a critical anger management manoeuvre and manifesto.

What a character we should learn from this humble gentleman.

Nobody is above the law, kama ni kibaka wa viwanja vya watu atiwe roba tu
 
Muda wowote tutatangaza tarehe ya maandamano, pamoja na jeshi la polisi kuchukua hatua stahiki dhidi ya wahalifu waliomshambulia prof kawambwa
 
Back
Top Bottom