Wanachuo wote waliowahi kusoma na wanaosoma UDSM tuandamane kwa kudhalilishwa kwa Dr. Shukuru Kawambwa

Ina maana wananchi wengine hawastahili kuheshimiwa? Kila binadamu anastahili heshima. Walimu wako chuoni wamekupotosha. Fikiri kabla ya kusema.
Mkuu, kuna watu wanaheshima zao nchini sio wa kupapatikia, hata uingereza kuna watu wanaitwa Sir wana heshima zao. Huyu beki mstaafu wa mlandege sports club hakupaswa hata kumtizama usomi prof
 
Amepata alichostahili. Mimi nikiendaga Bagamoyo watu mbalimbali nimekuwa nawasikia wanamlalamikia Shukuru Kawambwa kuwanyang'anya maeneo yako ya ardhi. Lisemwalo lipo na kila uovu una mwisho mbaya.

Ili ujiridhishe na nachosema panga safari nenda Bagamoyo kata ya Kilomo (KITOPENI) waulize wakazi wa huko watakupa taarifa zake
Yaani prof aanze kuhangaika na mashamba, akirudi udsm anafikia darasani na ofisi wanampisha na posho ya kipindi anabeba, kachimbeni mchanga goba, bagamoyo inawenyewe
 
Pia tuige mfano mzuri wa Professor alivyotulia bila kubishana na yule kijana mpuuzi.

Unamuita Hassan Wembe kijana mpuuzi?

Huyu mtu kalitumikia taifa kwenye kandanda kwa weledi mkubwa kabisa...
 
Nakumbuka kipindi waziri wa elimu alipokuwa Prof. Ndalichako ilifika pahala tukamisi uwepo Dkt. Shukuru Jumanne Kawambwa alikuwa mtu poa sana, hana mikurupuko.

Mungu ampe afya njema na umri mrefu
Maana bado tuna mengi ya kukifunza kutoka kwake. 🤲
 
Mzuka wanajamvi!

Haiwezekani mzee profesa na aliyehodhi mamlaka na madaraka za juu nchini na kulitumikia taifa letu kwa weledi adhalilishwe na kijana mbele ya camera na kusukumwasukumwa.

Natoa rai kwa wanachuo wote waliosoma na wanaosoma UDSM kwa pamoja tukutane na tuandamane kupinga na kulaani udhalishaji huu kwa msomi profesa na mzee mwenye hekima na busara kurekodiwa na kuitwa dalali wa viwanja.

Vijana tuheshumuni mamlaka, wazee na wasomi wa taifa letu. Kitendo hiku cha professor kudhalilishwa kimelitia doa sana taifa.

Pia tuige mfano mzuri wa Professor alivyotulia bila kubishana na yule kijana mpuuzi.

Professor maintained his cool, local and international exposure and hundle the situation in a conducive manner. He clearly indulged and embarked in a critical anger management manoeuvre and manifesto.

What a character we should learn from this humble gentleman.

Yule jamaa mshenzi sana yani huwezi kumvunjia heshima binaadamu mwenzako namna ile , anaonyesha ni mtu wa kupenda sifa na kaanza kupata vihela hivi karibuni
 
Dogo alimdhalilisha sana yule mzee aisee.
Kama ndo angekua mzee wangu, yule jamaa ningekula nae sahani moja, nisingemuacha kindezi dadeki.
 
Mzuka wanajamvi!

Haiwezekani mzee profesa na aliyehodhi mamlaka na madaraka za juu nchini na kulitumikia taifa letu kwa weledi adhalilishwe na kijana mbele ya camera na kusukumwasukumwa.

Natoa rai kwa wanachuo wote waliosoma na wanaosoma UDSM kwa pamoja tukutane na tuandamane kupinga na kulaani udhalishaji huu kwa msomi profesa na mzee mwenye hekima na busara kurekodiwa na kuitwa dalali wa viwanja.

Vijana tuheshumuni mamlaka, wazee na wasomi wa taifa letu. Kitendo hiku cha professor kudhalilishwa kimelitia doa sana taifa.

Pia tuige mfano mzuri wa Professor alivyotulia bila kubishana na yule kijana mpuuzi.

Professor maintained his cool, local and international exposure and hundle the situation in a conducive manner. He clearly indulged and embarked in a critical anger management manoeuvre and manifesto.

What a character we should learn from this humble gentleman.

Huo uprofesa umempa wewe?
 
Wasomi wa tz njaa sana, nakumbuka prof muhongo pale geo department alikua mtu makini sana mwenye weledi sana alikua anaishauri serikali positive things alivyopewa ulaji na kuingia kwenye siasa akawa wa hovyo tu na kupoteza credibility kabisa


Kuna mtu alikua anajenga Hoja kama kitila mkumbo? What happened alivyoonja asali?
Hapa muhimu mgombea binafsi.
Anapopita kupitia chama inabidi afate chama.
 
Mzuka wanajamvi!

Haiwezekani mzee profesa na aliyehodhi mamlaka na madaraka za juu nchini na kulitumikia taifa letu kwa weledi adhalilishwe na kijana mbele ya camera na kusukumwasukumwa.

Natoa rai kwa wanachuo wote waliosoma na wanaosoma UDSM kwa pamoja tukutane na tuandamane kupinga na kulaani udhalishaji huu kwa msomi profesa na mzee mwenye hekima na busara kurekodiwa na kuitwa dalali wa viwanja.

Vijana tuheshumuni mamlaka, wazee na wasomi wa taifa letu. Kitendo hiku cha professor kudhalilishwa kimelitia doa sana taifa.

Pia tuige mfano mzuri wa Professor alivyotulia bila kubishana na yule kijana mpuuzi.

Professor maintained his cool, local and international exposure and hundle the situation in a conducive manner. He clearly indulged and embarked in a critical anger management manoeuvre and manifesto.

What a character we should learn from this humble gentleman.

Tunaandamana lini na tunakutana wapi? Lazima tuoneshe solidarity kwa Dr wetu. Nakumbuka kipindi nipo Chuo Mwaka wa pili kuna siku nilimfuata Dr Kawambwa he was so kind. Mungu ambariki sana Dr Kawambwa
 
Tunaandamana lini na tunakutana wapi? Lazima tuoneshe solidarity kwa Dr wetu. Nakumbuka kipindi nipo Chuo Mwaka wa pili kuna siku nilimfuata Dr Kawambwa he was so kind. Mungu ambariki sana Dr Kawambwa
Tumatatu tunapeleka barua polisi ya kuomba kibali cha kuandamana tuko pamoja mkuu, prof hawezi dhalilishwa namna ile
 
Mzuka wanajamvi!

Haiwezekani mzee profesa na aliyehodhi mamlaka na madaraka za juu nchini na kulitumikia taifa letu kwa weledi adhalilishwe na kijana mbele ya camera na kusukumwasukumwa.

Natoa rai kwa wanachuo wote waliosoma na wanaosoma UDSM kwa pamoja tukutane na tuandamane kupinga na kulaani udhalishaji huu kwa msomi profesa na mzee mwenye hekima na busara kurekodiwa na kuitwa dalali wa viwanja.

Vijana tuheshumuni mamlaka, wazee na wasomi wa taifa letu. Kitendo hiku cha professor kudhalilishwa kimelitia doa sana taifa.

Pia tuige mfano mzuri wa Professor alivyotulia bila kubishana na yule kijana mpuuzi.

Professor maintained his cool, local and international exposure and hundle the situation in a conducive manner. He clearly indulged and embarked in a critical anger management manoeuvre and manifesto.

What a character we should learn from this humble gentleman.

Nilishangazwa sana na ujasiri ('wehu') wa diwani mstaafu kumkabili na kumzongazonga Waziri mstaafu kwa namna ile!
 
Nilishangazwa sana na ujasiri ('wehu') wa diwani mstaafu kumkabili na kumzongazonga Waziri mstaafu kwa namna ile!
Niliumia sana yani binaadamu tuna roho mbaya sana yani unapata wapi ujasiri wa kumdhalilisha binaadamu mwenzako namna ile
 
Nachojua ni Dr. Shukuru Kawambwa.

Njmeuliza naona unatukana badala ta kujibu swali.

Ndivyo baadhi ya Watanzania hakili zenu fupi.
Ndo mshajichanganya, huyo jamaa yenu sijui ana mapepo, bagamoyo unapaswa kwenda kwa adabu ina wenyewe
 
Mzuka wanajamvi!

Haiwezekani mzee profesa na aliyehodhi mamlaka na madaraka za juu nchini na kulitumikia taifa letu kwa weledi adhalilishwe na kijana mbele ya camera na kusukumwasukumwa.

Natoa rai kwa wanachuo wote waliosoma na wanaosoma UDSM kwa pamoja tukutane na tuandamane kupinga na kulaani udhalishaji huu kwa msomi profesa na mzee mwenye hekima na busara kurekodiwa na kuitwa dalali wa viwanja.

Vijana tuheshumuni mamlaka, wazee na wasomi wa taifa letu. Kitendo hiku cha professor kudhalilishwa kimelitia doa sana taifa.

Pia tuige mfano mzuri wa Professor alivyotulia bila kubishana na yule kijana mpuuzi.

Professor maintained his cool, local and international exposure and hundle the situation in a conducive manner. He clearly indulged and embarked in a critical anger management manoeuvre and manifesto.

What a character we should learn from this humble gentleman.

Poleni sana wanachuo wa UDSM, ila Kwa wanachuo wanaosoma Kwa Sasa hicho chuo wanawaza Life la chuo lilivokaa (pesa ya mihogo), watakuelewa kweli?
 
Back
Top Bottom