Nini kimetokea kwa huyo prof na ni prof gani?
Bila picha na video ni umbea
🤣Kalamaganda alisema UDSM ni jalala*
Huu uzi bila picha ni umbea tu.
Hapo sawa nimepata pichaShukuru Kawambwa kwenye Kashfa ya Udalali wa Viwanja
Hii ndio shida ya watanzania, wakipata ajira sijui busara inaenda wapi. Kwani hata ukiwa na mamlaka huwezi kuongea na watu vizuri mkaeleweshana mpaka ufoke? Sasa hata kama hakumfahamu Dr.Kawambwa, alipaswa kuongea nao vizuri tu, na hata kama unampeleka mtu polisi unamueleza kawaida hapa...www.jamiiforums.com
Such a hopeless prof?We cant let it go easily like that. As a future generation law abiding citizen I loudly condemn this absurd and mediocre attitude towards our professor who dedicated his effort to serve our nation with pride and hard work.
Magonjwa Mtambuka
Siku mkimgusa Mwalimu wangu wa Kilimanjaro institute of technology mnitagMzuka wanajamvi!
Haiwezekani mzee profesa na aliyehodhi mamlaka na madaraka za juu nchini na kulitumikia taifa letu kwa weledi adhalilishwe na kijana mbele ya camera na kusukumwasukumwa.
Natoa rai kwa wanachuo wote waliosoma na wanaosoma UDSM kwa pamoja tukutane na tuandamane kupinga na kulaani udhalishaji huu kwa msomi profesa na mzee mwenye hekima na busara kurekodiwa na kuitwa dalali wa viwanja.
Vijana tuheshumuni mamlaka, wazee na wasomi wa taifa letu. Kitendo hiku cha professor kudhalilishwa kimelitia doa sana taifa.
Pia tuige mfano mzuri wa Professor alivyotulia bila kubishana na yule kijana mpuuzi.
Professor maintained his cool, local and international exposure and hundle the situation in a conducive manner. He clearly indulged and embarked in a critical anger management manoeuvre and manifesto.
What a character we should learn from this humble gentleman.
Shukuru Kawambwa kwenye Kashfa ya Udalali wa Viwanja
Hii ndio shida ya watanzania, wakipata ajira sijui busara inaenda wapi. Kwani hata ukiwa na mamlaka huwezi kuongea na watu vizuri mkaeleweshana mpaka ufoke? Sasa hata kama hakumfahamu Dr.Kawambwa, alipaswa kuongea nao vizuri tu, na hata kama unampeleka mtu polisi unamueleza kawaida hapa...www.jamiiforums.com
1.Haki itendeke kwa prof siombwa kulipwa fidia ya udhalilishajiManufaa yatakuwa nini baada ya kuandamana
Ina maana wananchi wengine hawastahili kuheshimiwa? Kila binadamu anastahili heshima. Walimu wako chuoni wamekupotosha. Fikiri kabla ya kusema.Hapana huwezi mjambazia professor tena wasayansi sio tu sayansi engineer, lazima tuandamane na hili tutalifanya nchi nzima, na itungwe sheria ya kulinda watu wenye heshima.