Wako wapi mapedeshee walioimbwa na kugawa pesa kwa wasanii wa bendi?

Jamaa kweli alipotea kabisa bwana....mambo ya majaji na mahakimu
Acha hizo lazima na Mama Ngina amekubana haswa, ha ha haaaa.

Kila la kheri Mola awe nawe.

Ila ukipata muda uletege zile story story za maisha na safari za kurudi home kwa mamaa.

Na miss JF ya zamani, wengi mmeamua kuwa kimya, hamjui mnatukosesha mengi.
 
Habari za week end wadau,

Kwa wale mashabiki wa mziki wa dance nchini,hasa bend za Fm Acadamia,Twanga pepeta,Malaika Bend,Acudo impact,Mashujaa band,Msondo Ngoma,Sikinde n.k mtakua mashahidi katika hili,

Miaka michache iliyopita nyuma kulikua na wimbi kubwa la vibopa,matajiri au kwa jina lingine mapedeshee wa jiji hili la Dsm waliokua wakiimbwa sana na kutajwa tajwa kwenye nyimbo za bendi hizi kila mara au kwenye matamasha ya bendi hizi,hii ilipelekea wao kutawanya au kugawa pesa nyingi kwa wanamuziki husika (hasa wenye asili ya Congo) na kwa mashabiki pia hasa dada zetu wa bongo movie na wasanii.

Wakati mwingine walikua hata wakigawa dola ya mmarekani na euros.

Jambo la kushangaza siku hizi siwasikii wala kuwaona wakifanya kufuru hizo,
Napatwa na mashaka pengine nini kimewakuta?au wameamua kwenda kutapanya nchi za jirani kama Malawi na Msubiji?

Wadau unaweza mtaja pedeshee uliyekua unamwamini sana kwa kutapanya au moja ya tukio uliloshuhudia akitapanta.

Binafsi nakumbuka kufuru ya Pedeshee Ndama mutoto ya ngombe na Pedeshee Bitus dhahabu...wadau wakubwa wa Fm Academia wazee wa Ngwasuma popote pale ndani ya jiji hili hasa Mango Gardern na maeneo mengine.


Unafikiri Magufuli ana mchezo na wauza unga, alishawashitukia baada ya kuona vijana wake (watanzania/taifa la kesho) wanateketea kwenye ubwiaji unga haswa vijana wa bongo fleva. Mapedeshee wengi hapa bongo ni magumashi tu haswa hawa vijana. Kuna mdada mmoja mmiliki wa blogu fulani hivi na ana duka kule Sinza, mumewe ni zungu bado tu kutumbuliwa.
 
Ndama Mutoto ya ng'ombe
Chicago Matelefoni
Papaa Musofe
Chief Kiumbe
Na wengine wako Wapi?
Tumewamiss sana, hata muziki wa bendi umedorora kwa ukimya wenu


Ridhiwani Kikwete bado yupo ila haendi tena China baada ya ndege yake iliyokuwa na makontena ya powder kuwa seized na yeye kupewa STOP ya kukanyaga China mpaka anakufa. Tunasikia yeye zake siku hizi ni Mzoga na Chalinze tu kupelekea wazee baiskeli mbovu na kugawa magodoro ya kunguni kwa wasiojiweza.
 
ab6.png
 
Abdul Tall, papa musofe, kizaizai supertall muziki wa dansi siku hizi sisikii wakiwataja hawa matapeli.
 
Back
Top Bottom