EvilSpirit
JF-Expert Member
- Jun 15, 2017
- 8,921
- 13,330
Hahaha sebulenimm kulikua na n'gombe alikua hana banda la kulalla nae alikua analala sebuleni mkuu round ya pili mshua akanunua n'gmbe wa pili dume alikua mbishi kuingia sevuleni hatari
Hahaha sebulenimm kulikua na n'gombe alikua hana banda la kulalla nae alikua analala sebuleni mkuu round ya pili mshua akanunua n'gmbe wa pili dume alikua mbishi kuingia sevuleni hatari
Hahahamm kulikua na n'gombe alikua hana banda la kulalla nae alikua analala sebuleni mkuu round ya pili mshua akanunua n'gmbe wa pili dume alikua mbishi kuingia sevuleni hatari
i mean no malice to anybody @intelligeHahaha
sebuleni mkuu ilikuaga kivumbi kuna mda wanapandana sebuleni dah😂😂 au usku umeamka uende choon unakuta ngombe wamezba njiaHahaha sebuleni
Mi nilikua naliwasha natest mpaka siku ya mwisho likamuua mzee nimewasha mimi ilikua Honda Paris Dakar.Kwetu bwana , kulikuwaga na pikipiki ya babu, miaka hiyo mzee alishindwa kulitengeneza, likawa limekaa tu, sasa linalazwa ukumbini.
Asubuhi mnaamka nalo kulitoa kwanza liwapishe, jioni ndo kitu cha mwisho kuingizwa, hata kama umelala bahati mbaya mzee atakuamsha ukaingize piki piki yenu.
Basi ilinikera kwelikweli haha haaa!
Vipi wewe
😂😂😂😂😂sababu za kupigwa ban ni nini?😂😂😂 kwa ugumu wa maisha uliokuepo kaka lazma kila kitu ukione kama ni utani tu
umepgwa ban mkuu 😂😂
Tataa ttaaa tataaa hii nayoo looAchana na mziki wa kuanika na kuanua maindi......
dah kuna bwege mmoja alinifanya nipigwe ban ya nusu mwezi 😂😂😂😂😂😂sababu za kupigwa ban ni nini?
Hahahahaaai mean no malice to anybody @intellige
sebuleni mkuu ilikuaga kivumbi kuna mda wanapandana sebuleni dah au usku umeamka uende choon unakuta ngombe wamezba njia