ITR
JF-Expert Member
- Sep 22, 2022
- 4,548
- 11,738
Kenya ni nchi ya pili kwa kuwa na makazi na watu wengi wenye umasikini wa kupindukia barani Africa baada ya Nigeria.Mtoto wa masikini Kenya anaenda kwenye shule bora za umma kuliko Tanzania, Kenya fursa za ajira nzuri tofauti ni nyingi ndani ya nchi hadi nje ya nchi kutuzidi,
Wafanya biashara ndogo ndogo wanafanya bishara zao katika mazingira mazuri kuliko Tz, muuza mboga barabarani wa Kenya ana unafuu mkubwa wa maisha ukilinganisha na wa Tanzania