Scottz
JF-Expert Member
- Nov 13, 2023
- 226
- 352
u
Yesu alisema,Kizazi hiki ni cha Zinaa na Dhambi.
Ndiyo maana wanapenda zinaa na uasherati mf.akina kataa ndoa na Chaputa members.
Tunakokwenda huenda Wanaume waliooa wakalazimishwa kuongeza wake.
Maana wanawake ambao hawaolewi ni hatari kwa usalama wa ndoa za watu.
Na ndiyo uzinzi unaongezeka!una dha
naona unaangalia kwa angle nyingine, ulishawahi jiuliza kwanini hawataki kuoa ?Yesu alisema,Kizazi hiki ni cha Zinaa na Dhambi.
Ndiyo maana wanapenda zinaa na uasherati mf.akina kataa ndoa na Chaputa members.
Tunakokwenda huenda Wanaume waliooa wakalazimishwa kuongeza wake.
Maana wanawake ambao hawaolewi ni hatari kwa usalama wa ndoa za watu.
Na ndiyo uzinzi unaongezeka!