Mpka naelekea kuzeeka sijawah kutoa bikra , huwa naaanzia level 2 to infinity ♾️ , sijui vijana huwa wanazitoa mda gan🙄Sawa tuanzie kwenye Bikra.
Kila mwanamke anazaliwa bikra si ndio?
Ila mazingira ndio yanapunguza au kuongeza chance ya hiyo bikra kuendelea kuwepo.
Binti akiwa mzuri chance ya ku survive na hiyo bikra hadi ndoa inapungua sana kwa asilimia kubwa. Unajua kwanini?? Kwa sababu nyie wanaume mkiona mtoto mzuri tu baaasiii, mnatumia mbinu zote za “kitibeli” mpaka muonje. Binti mzuri anazungukwa na vishaWishi vingi sana kuanzia shuleni (walimu) kwenye nyumba za ibada hadi mtaani. Kila mtu anataka aonje.
Unasema tena awe na kazii😂😂😂. Hapo uwezekano wa hiyo bikra kuendelea kuwepo ni ya kusaka kwa manati. Mabosi wenyewe ndio hawa hawa???😂😂😂 Tena mtoto ni mzuri??
Wewe oa jobless tu
Hahaha... hatari hiitheories zako taam sana kusoma na kutabasamu, ila sasa kwa ground balls bounce differently, kuna kibabu cha miaka 90 kinaibuka na zawadi ya bikira, huku kijana barobaro akikimbizana na vibibi vilivyofika menopause .
Nikipata wa ivi chama la kataa ndoa litanisikia kwenye bomba😜😜😜Masharti meeeeengi!
Namshukuru Mungu mimi na kaka mzuri kigezo chetu kikuu ni upendo wa dhati ambao kwetu hauna mashaka, mengine ni kudanganyana tu.
😂😂sawaWatibeli tunatumia kanuni isemayo hatuwezi haribu ambacho hakijaharibika au haribiwa. Yaani ukiwa Bikra na hatuna mpango wa kukupa hatuwezi kukugusa.
Ila tunaharibu vilivyoharibiwa na kuharibika. Hiyo kwetu ni Haki.
Kuhusu kuoa jobless naweza fanya hivyo lakini siwezi ishi naye kama hataki kufanya kazi. Never
Wenzako wanawaangalia wale waliopo class 6 wanawapa Christmas moja au mbili halafu wanawawahi. Wewe utakuwa unatafuta bikira wa chuo kikuu wewe.Mpka naelekea kuzeeka sijawah kutoa bikra , huwa naaanzia level 2 to infinity ♾️ , sijui vijana huwa wanazitoa mda gan🙄
Jobless akiwa bikra hakuna tatizo , kazi nitamtafutiaSawa tuanzie kwenye Bikra.
Kila mwanamke anazaliwa bikra si ndio?
Ila mazingira ndio yanapunguza au kuongeza chance ya hiyo bikra kuendelea kuwepo.
Binti akiwa mzuri chance ya ku survive na hiyo bikra hadi ndoa inapungua sana kwa asilimia kubwa. Unajua kwanini?? Kwa sababu nyie wanaume mkiona mtoto mzuri tu baaasiii, mnatumia mbinu zote za “kitibeli” mpaka muonje. Binti mzuri anazungukwa na vishaWishi vingi sana kuanzia shuleni (walimu) kwenye nyumba za ibada hadi mtaani. Kila mtu anataka aonje.
Unasema tena awe na kazii. Hapo uwezekano wa hiyo bikra kuendelea kuwepo ni ya kusaka kwa manati. Mabosi wenyewe ndio hawa hawa??? Tena mtoto ni mzuri??
Wewe oa jobless tu
Duh vitoto apana kwa kwel ,majimama ya 90- 99 ni minato zaidi kuliko hivi vitoto vya 2000 .Wenzako wanawaangalia wale waliopo class 6 wanawapa Christmas moja au mbili halafu wanawawahi. Wewe utakuwa unatafuta bikira wa chuo kikuu wewe.
Ila wanaume walaku nyie, hamuwezi kuona embe linakomaa mkasubiri liive lianguke? 😏😏
AsanteeeJobless akiwa bikra hakuna tatizo , kazi nitamtafutia
Hivi 96,97,98,99 ni majimama tayari? Acha dhambi wewe😂😂😂Duh vitoto apana kwa kwel ,majimama ya 90- 99 ni minato zaidi kuliko hivi vitoto vya 2000 .
Kama kitoto cha 2007 kinalika, sasa 96 si mmama kabisa.Hivi 96,97,98,99 ni majimama tayari? Acha dhambi wewe😂😂😂
Assume kaka mzuri angekukuta sealed , How fortunate would he feel to be bestowed with that honor?,However, matokeo juu ya maamuzi yetu yanatokana na nia nzuri tulizokuwa nazo ...Unastahili kupendwa na kupenda haijalishi ni Virgin or not.Masharti meeeeengi!
Namshukuru Mungu mimi na kaka mzuri kigezo chetu kikuu ni upendo wa dhati ambao kwetu hauna mashaka, mengine ni kudanganyana tu.
Masharti meeeeengi!
Namshukuru Mungu mimi na kaka mzuri kigezo chetu kikuu ni upendo wa dhati ambao kwetu hauna mashaka, mengine ni kudanganyana tu.
Kwani unadhani hawezi kuwapata hao sealed, au hajui hilo? Sijui kwanini watu mnapenda kuleta hoja zenu binafsi kwenye maamuzi binafsi ya maisha ya wengine...Assume kaka mzuri angekukuta sealed , How fortunate would he feel to be bestowed with that honor?,However, matokeo juu ya maamuzi yetu yanatokana na nia nzuri tulizokuwa nazo ...Unastahili kupendwa na kupenda haijalishi ni Virgin or not.
Mnapigana vita tenaHujui lolote kwenye mahusiano zaidi ya Bikira.
Upendo na masharti tena? Sio kwamba ukipenda mwenyewe unajiweka katika njia iliyonyooka?Hakuna upendo usiokuwa na masharti/sheria.
Msingi mkuu wa upendo ni sheria popote Pale
Upendo na masharti tena? Sio kwamba ukipenda mwenyewe unajiweka katika njia iliyonyooka?
Ukipenda kweli hukwazi wala kukera, muda wote unajali juu ya unayempenda.