dawa ya kuacha pombe,sigara na madawaKwa wale wanaotumia sigara,bangi na madawa ya kulevya na wanahitaji KUACHA hii ndyo dawa mujarabu kwa

wanywaji wa pombe
Bhangi, sigara
Mirungi , ugoro
Na madawa mengine ya kulevya ukitaka KUACHA

Chukua dawa inayoitwa MURDA , chukua majani yake uyaanike yakauke


Kisha chukua majani hayo na uyasokote kama sigara kisha vuta msokoto huo nusu asubui na nusu yake jioni , yaani kutwa mara mbili

Dawa hiyo utayumia kwa siku tano tuu. Hakika hutotamani walakutimia tena vilevi vyako

Na dawa hii ilivyo mujarabu ukivuta mara ya kwanza tu hapo hapo jaribu kuvuta bhangi au sigara au kunywa Hakika utaona inakukera sanaa na ni mbaya
Mti gani huu kuna dogo anasumbua wazazi huku
 
HOW TO USE ALLIGATOR PEPPER

1)If You are having Attack or bad feelings for something that is gonna happen

SOLUTION->Come outside with one piece of Alligator pepper and pray with it saying "anywhere these attack is coming from, that you are sending it back to sender" after the prayers wave it over your head 7times and throw it away

2)if You are leaving in a house where you and your husband or your wife are having problem or quarreling all the time for no reasons and you are sure it was caused by someone SOLUTION-> Just use one piece of Alligator pepper to cleanse yourselves and say whatever this problem is coming from, it should stop and go back to sender

3)If You wake up in the morning and have bad feelings SOLUTION-> just use 7pieces of Alligator pepper, put it inside your bucket of water and bath with it, as you are bathing pray that no evil shall be fall you

4)if You do have bad dreams and you don't want it to come to Reality SOLUTION-> Take 7pieces of alligator pepper, put it in your mouth and and chew it, while chewing it go outside and pray that no evil shall be fall you, as you are saying these prayers, you will be spitting it up

5)if You do experience bad market or bad businesses SOLUTION-> Take four pieces of Alligator pepper to cleanse your shop and throw it where people are passing, after that take another two pieces and cleanse yourself after that, throw it the same place, as you did the first one

6) Also if you are the type that sleeps with different girls, remember some girls have bad spirit in which they carry from another man and while sleeping with them without cleansing yourself can bring bad luck to you also that badluck brings business failures SOLUTION-> Before you sleep with any girl, use 7pieces of Alligator pepper to cleanse yourself before and after you are through with the person
View attachment 2273850
Hii Kwa kiswahili inaitwaje ndugu yangu?
 
Hakuna tabia ambayo iliponza watu kama ile ya kuudhuria ghafla za watu tusiowafahamu na kukuta umeandaliwa pilau safi yenye nyama tele bila kujua muandaaji anamalengo gani juu ya tafrija aliyoiandaa, wanyama kama mbuzi na ngombe huwezwa kuchinjwa kwa manuizi maalumu na kafara maalum kwa sababu maalumu na hakika ikaja kuyagharimu maisha yako yote "kwa dhiki kali utakazozipata bila kujua ufumbuzi wake"

Tusiruhusu vijana wetu kula kula hovyo katika majumba ya watu.

Tujifunze kwa nini watoto wa uswahilini hufyatuka hovyo, na wale wa geti huwa angalao ingawa wapo wanaokuwa wanafyatuka akili, Tuwakinge wenetu juu ya tabia mbaya ya kulakula ovyo kwa watu msiowaelewa vizuri.
Kweli kabisa
 
Kutoona mbali kunasababishwa na matatizo tofauti hivyo mpaka utibu chanzo, mfano uzee, pressure, sukari vyote hivyo vinaleta shida ya uoni hafifu, wale wamama wanaotumia uzazi wa mpango pia wengine hulalamikia uoni hafifu Sasa wewe sijui tatizo unaona linasababishwa na nini?
Sijui kwa kweli limetokana na nini, sio mzee, sina sukari wala pressure ndugu
 
Wakuu mimi mgongo unanisumbua na nyonga inauma sana, kila niki twist kiuno nasikia kama mifupa inasagana
 
DAWA YA CHEMBE YA MOYO/KIJEMBE,,,,Chukua hayo majani weka katika chungu unguza upate unga wake kisha changanya na unga wa jumba la konokono mchanje mgonjwa sehemu ya chembe chale 7 na mgongoni usawa wa chembe pia chale 7 kisha muweke hiyo dawa bandika na plasta,,,atalala na dawa hiyo mpaka asubuhi utaitoa umpake mafuta ya nyonyo au kupikia hapo kazi imeisha,,,ukitaka upone haraka sana chimba mizizi ya huu mmea chemsha unywe kikombe kimoja asubuhi na jioni kwa siku 7 utakuwa sawa kabisa. Masharti ya dawa hii usifanye mapenzi, usiinue vitu vizito, wala kufanya kazi ngumu kabisa mpaka zipite wiki mbili. Dawa za chembe zipo nyingi kama hiyo nilivyoelekeza, ipo ya bilauri, na mchanganyiko wa dawa za kisunna ambazo hauchanji.
 

Attachments

  • IMG_20240407_102500_083.jpg
    IMG_20240407_102500_083.jpg
    152.9 KB · Views: 9
Asante sana, miaka 26 ,tatizo nimeanza kuliona nikiwa na miaka 21 japo ndani ya hii miaka miwili naona kidogo linakuwa serious
Kwa historia ya muda ulioanza kupata shida hiyo,kuna uwezekano mkubwa ukawa na ugonjwa wa mifupa(Osteoporosis) ambao umeshindwa kuutibu muda mrefu na sasa umeendelea kujijenga na hatimaye unaonyesha kuwa limekuwa tatizo kubwa.Ugonjwa huu una sifa ya kupungua kwa molekuli ya mfupa na kuzorota kwa usanifu wa mfupa na ubora.Jambo ambalo huongeza udhaifu wa mifupa na kusababisha hatari kubwa ya kusagana na kuvunjika kwa mifupa, hasa katika baadhi ya maeneo mahususi ya mifupa yetu, kama vile nyonga, uti wa mgongo na kifundo cha mkono.Mhimu ni kuwa ugonjwa huu hutibika japo tiba yake ni ya polepole na inahitaji uvumilivu kulingana na ukubwa wa tatizo.
 
Kwa historia ya muda ulioanza kupata shida hiyo,kuna uwezekano mkubwa ukawa na ugonjwa wa mifupa(Osteoporosis) ambao umeshindwa kuutibu muda mrefu na sasa umeendelea kujijenga na hatimaye unaonyesha kuwa limekuwa tatizo kubwa.Ugonjwa huu una sifa ya kupungua kwa molekuli ya mfupa na kuzorota kwa usanifu wa mfupa na ubora.Jambo ambalo huongeza udhaifu wa mifupa na kusababisha hatari kubwa ya kusagana na kuvunjika kwa mifupa, hasa katika baadhi ya maeneo mahususi ya mifupa yetu, kama vile nyonga, uti wa mgongo na kifundo cha mkono.Mhimu ni kuwa ugonjwa huu hutibika japo tiba yake ni ya polepole na inahitaji uvumilivu kulingana na ukubwa wa tatizo.
Nini nifanye na wapi niende? I mean hospital iliyobobea kwa hizi issue
 
Kama mtu ana Ndugu au yey mwenyewe imetokea bahati Mbaya kavunjika miguu au mikono kwa Bahati Mbaya au kwa ajali na anaona Tiba ya Hospitali hailewi au imetokea Hospitali Gharama kubwa au amewahi Tibiwa hospital na hakufanikiwa kupona vizuri kama anaweza kuna mzee yupo iringa wilaya ya kilolo ilula isele tena barabarani kabisa anatibu na Kuunga mifupa kwa dawa za asili kabisa anaitwa maliga nandika kwa HERUFI KUBWA YUPO IRINGA WILAYA YA KILOLO MJI MDOGO WA ILULA KATA YA ISELE
 
Tumia juisi ya bamia inasaidia sana mifupa.
Hapo anatakiwa atafute tiba tu hakuna namna.Huwezi kuugua malaria ukajitibu kwa kulala kwenye neti,hutapona.Bamia zinasaidia kutokupata tatizo na sasa tatizo ameshalipata,kwa hiyo lazima ajitibu apone halafu ndiyo aendelee na huo utaratibu,vinginevyo atamaliza magunia bila kupona.
 
JE UNA TATIZO LA MIMBA KUHARIBIKA



🗣️Hii Ni maalum kwa wanawake wote ambao wamekuwa wakishika ujauzito na huwa zinaharibika kabla ya muda wake.

✍️Sasa Leo tumewaletea kaujanja ambako hakatumii gharama kubwa katika kulidhibiti tatizo Hilo.

🤏Huu unaouona pichani Ni mchicha, lakini siyo tu mchicha Ila Ni mchicha bwasi.

👀Huu mchicha bwasi tumekuwa tukiutumia kila siku katiku katika vyakula vyetu, lakini Ni moja Kati ya mimea ambayo Ina kazi kubwa Sana katika kuulinda na kuukuza mwili wako.

🗣️Kwanza acha nikupe kaujanja kwanza Kisha tutaendelea kuuchambua kidogo.

🤷Kama umekuwa na tatizo Hilo ambalo tumelielezea hapo juu ya kushuka mimba Kisha inaharibika Basi fanya haka kaujanja.

🤏Chukua majani ya kijani ya huu mchicha bwasi, yajae kwenye kiganja chako Cha mkono, Kisha yachemshe na unywe asubuhi kabla ya kula chochote na usiku kabla ya kwenda kulala.

✍️Lakini fanya hivi baada ya kuhisi au kutambua kwamba umebeba ujauzito, hapo utajionea maajabu.

🗣️Kwa Nini tumeuchagua huu mmea wa kuitwa mchicha bwasi katika tiba yetu hii, Ni kwa sababu hizi zifuazo.

✍️Huu mchicha majani yake una wingi wa mkusanyiko wa vitamin B, mfano folates, riboflavin, niacin, thiamine, Vitamin B6, na nyinginezo zote zinapatikana kwenye majani ya huu mchicha.

🗣️Ambazo hizo zote zinamsaidia au zipo kwa ajili ya kumlinda mtoto aliye tumboni kiafya ya akili na kimwili.

✍️Lakini pia huu mchicha una boost Kinga za mwili maana una vitamin C za kutosha pia.

✍️Una vitamin A za kutosha kwa ajili ya kumlinda ngozi na afya ya macho kwenye kuona.

✍️Pia una calories chache Sana kwa ajili ya kuzuia unene usio na faida.

✍️Pia huu mmea una vitamin K, kwa ajili ya kulinda na kufanya mifupa iwe imara.

✍️Pia una potassium za kutosha kwa ajili ya kudhibiti kiwango Cha mapigo ya moyo mwilini.

✍️Pia una protein za kutosha, una calcium za kutosha, una lysine, na pia husaidia katika suala
1716104579217.jpg
zima la mmeng'enyo mzuri wa chakula.
 
Back
Top Bottom