Upendeleo wa Jeshi la Polisi kwa Mwenyekiti wa UVCCM Kagera, Faris Buruan

kagoshima

JF-Expert Member
Dec 31, 2015
2,652
5,173
Nawaza tu angekuwa kiongozi wa BAVICHA au ACT Wazalendo katoa lugha au vitisho au kauli ya uvunjifu wa amani kama iliotolewa UVCCM kiongozi mkoa wa Kagera.
  • Polisi wangemkamata kwa kosa la lugha ya uchochezi
  • Angeteswa na kuzungushwa huku na huko vituo vya polisi
  • Ungesikia hata msajili wa viama ana ki reprimand chama husika
Kama ilivyo kawaida vitisho na lugha ya uchochezi imetolewa na kada wa CCM hutosikia polis wakitia neno.

Pia soma
 
Ndio tatizo kubwa la hii nchi kama marehemu Zeloth aliyekua RPC zen baadae akaja kuwa mwenyekiti wa ccm mkoa unategemea nini hapo .

Hii nchi inatakiwa Jeshi la Polisi lifumuliwe liundwe upya uteuzi wa IGP na ma RPC ufanywe na kamati maalumu zinazojitegemea Na hata JWTZ
 
Waache.Hawakawii kukuambia una kiherehere tu!Mzazi usipomkanya mwanako kwa matendo,maneno hata mawazo yake ya kibaradhuli akija kukurudi usiililie dunia.Wakileta madhara napo wanyamaze hivyohivyo.
 
Hao ndiyo maana wanatambulika kama policcm. Maana miaka yote wapo kwa ajili ya kuilinda ccm na watu wake.
 
Iko hivyo duniani kote,tofauti tu ni kwamba hapa kwetu ccm hakuna cha maana imefanya.

Huyo mwenyekiti wa uviccm yuko karibu sana kuwa rais kuliko huyo RPC,sababu chama ndicho kinaamua nani awe rais.
 
Nawaza tu angekuwa kiongozi wa BAVICHA au ACT Wazalendo katoa lugha au vitisho au kauli ya uvunjifu wa amani kama iliotolewa UVCCM kiongozi mkoa wa Kagera.
  • Polisi wangemkamata kwa kosa la lugha ya uchochezi
  • Angeteswa na kuzungushwa huku na huko vituo vya polisi
  • Ungesikia hata msajili wa viama ana ki reprimand chama husika
Kama ilivyo kawaida vitisho na lugha ya uchochezi imetolewa na kada wa CCM hutosikia polis wakitia neno.

Pia soma
Bumunda hilo
 
Nawaza tu angekuwa kiongozi wa BAVICHA au ACT Wazalendo katoa lugha au vitisho au kauli ya uvunjifu wa amani kama iliotolewa UVCCM kiongozi mkoa wa Kagera.
  • Polisi wangemkamata kwa kosa la lugha ya uchochezi
  • Angeteswa na kuzungushwa huku na huko vituo vya polisi
  • Ungesikia hata msajili wa viama ana ki reprimand chama husika
Kama ilivyo kawaida vitisho na lugha ya uchochezi imetolewa na kada wa CCM hutosikia polis wakitia neno.

Pia soma
Naona kuna baadhi ya watu humu kwenye Mitandao huwa wanawaita Polisi kwa jina la 'PolisiCCM.'
 
Back
Top Bottom