BABA TUPAC
JF-Expert Member
- Sep 30, 2015
- 1,527
- 3,806
Wanabodi,
Ni miezi mitatu sasa toka house girl amekuja hapa kwangu, kila siku zinapozidi naona anazidi kupendeza. Najua tamaa mbaya lakini nashindwa kujizuia kabisa.
Wakuu, wenzangu mnafanyaje mpaka mnawaacha kabisa mahouse girl wenu bila kuwatafuna? nisaidieni wakuu nisijevunja ndoa bure
Ni miezi mitatu sasa toka house girl amekuja hapa kwangu, kila siku zinapozidi naona anazidi kupendeza. Najua tamaa mbaya lakini nashindwa kujizuia kabisa.
Wakuu, wenzangu mnafanyaje mpaka mnawaacha kabisa mahouse girl wenu bila kuwatafuna? nisaidieni wakuu nisijevunja ndoa bure