Intelligent businessman
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 26,769
- 54,089
Nakojoa pazuri 🤒
Salama, shikamoohabari ya leo binti yangu leeja
Na wewe umepata Dem?Nakojoa pazuri 🤒
kheri!..rasharasha za mvua umezipoke vipiSalama za kwako?
Nimetoka nayo huko asubuhi, na nimeikuta huku yani Shida tukheri!..rasharasha za mvua umezipoke vipi
Sawasawa 👊Nope, am on my own
View attachment 2862452
hujaloa lakiniNimetoka nayo huko asubuhi, na nimeikuta huku yani Shida tu
Namshukuru Mungu haijanilowesha aisee 😃hujaloa lakini
Kuna kusikia na kusikiliza.Mtu mwenye akili timamu hawezi kuwa na hasira.
Hasira ni ugonjwa