Excel
JF-Expert Member
- Jul 8, 2011
- 19,816
- 10,200
mufti tulia..Ipi?
mufti tulia..Ipi?
🤣mufti tulia..
Ha ha ha haMimi pia paka kama siwaelewi, wana viburi sana. Halafu huwezi kujua mood yake kama amekasirika ama anafuraha, yeye yupo tu.
Ni tofauti na mbwa, mbwa akikasirika unajua, akiwa ana huzuri ama mawazo ama stress kwa mfano ameachwa na mke wake ama mume wake ama mchepuko unajua na akiwa na furaha unajua mapema tu.
Binafsi Mbwa is my favorite hasa hawa local breed. Ni washkaji sana.
Paka akae mbali na mimi.
Pussy dune sio.Paka naonaga ni kitu Cha kike, hata mtoto wa kiume ukiona achora paka lazima uwe na mashaka nae