Wengi tumebahatia kusoma na tuliamua kuchagua kusoma masuala fulani ili yaje yatusaidie kwenye ajira. Kwako Mdau, wewe ulichosoma ndicho unakifanyia kazi kwasasa?
Serikali ishaanza kuwa dalali haswa inatumia watu wa kujitolea bila posho
Hakinisaidii direct ila kwenda chuo kulinipa uelewa fula i ambao nautumia kwa ninachokifanya sasaWengi tumebahatia kusoma na tuliamua kuchagua kusoma masuala fulani ili yaje yatusaidie kwenye ajira. Kwako Mdau, wewe ulichosoma ndicho unakifanyia kazi kwasasa?