Justin Dimee
JF-Expert Member
- Apr 17, 2012
- 1,146
- 248
ni za gafla yani unakuta hukua nawazo lakutafunana unajikuta umekulana duh ukitoka hapo hata hauamini mapenz bwana
Mpk kojoleo langu lisimame na kuingia kwny kojoleo nyingine hamna bahati mbaya hapo.
Kama kuna kaukweli flan vile,sababu hata bao la mimba ya bahat mbaya ni tam kuliko inayokua planned
Hizo zipo nyingi sana ila wengi husahau condom,jaribuni kuwa wabunifu ukiwa na safari popote pale pack na condom kabisa usisahau,ilishanitokea kwenye harusi nikiwa msaidizi wa bwana harusi nikajimegea msimamizi wa bi harusi na unexpected mimba ikatunga ikabidi tukubaliane na khali halisi namtunza mtoto na maisha yanasonga.
Kapime na ngoma uwa inakuja kwa style hiyo
Aaah wapi hakuna kitu kama hiki. Eti hukuwa na wazo, wazo unakuwa nalo sana tu. Huwezi kufanya sex out of the blue bila kuwa na wazo labda useme hukutegemea kukubaliwa kirahisi. Wewe unamwambie mtu mkodi chumba kimoja mwanamke humju hakujui halafu useme hukuwa na wazo?!ni za gafla yani unakuta hukua nawazo lakutafunana unajikuta umekulana duh ukitoka hapo hata hauamini mapenz bwana
Well said, binafsi naona kutoa nguo ni kitendo tosha cha kuhamasika na litakalo tokea, huwe sielewi watu wanapo toa visingizio eti ilikuwa bahati mbaya! Siwezi kuwasemea wanawake lakini kwa wanaume menzangu unawezaje kufakisha kitendo hicho kama hauko fully arosed - hii inaqingia akilini kweli? Wenzangu hapa wamezungumzia kuhusu body language, lugha hiyo speaks VOLUMES na ndio uwavuta watu sio maneno tu.nakubaliana na wewe hadi mtu unatoa nguo hakuna cha bahati mbaya may be uwe unsound mind... watu wanaanza ktamaniana na ndo mana wanaishia huku kwenye ngono zmbe
Aaah wapi hakuna kitu kama hiki. Eti hukuwa na wazo, wazo unakuwa nalo sana tu. Huwezi kufanya sex out of the blue bila kuwa na wazo labda useme hukutegemea kukubaliwa kirahisi. Wewe unamwambie mtu mkodi chumba kimoja mwanamke humju hakujui halafu useme hukuwa na wazo?!
Well said, binafsi naona kutoa nguo ni kitendo tosha cha kuhamasika na litakalo tokea, huwe sielewi watu wanapo toa visingizio eti ilikuwa bahati mbaya! Siwezi kuwasemea wanawake lakini kwa wanaume menzangu unawezaje kufakisha kitendo hicho kama hauko fully arosed - hii inaqingia akilini kweli? Wenzangu hapa wamezungumzia kuhusu body language, lugha hiyo speaks VOLUMES na ndio uwavuta watu sio maneno tu.
Hellow Guyz,,,,,,
Nimewahi kupata experience ya matukio mawili ambayo yalinipa maana halisi ya "UNEXPECTED SEX" .
Tukio la kwanza lilitokea mwaka 2009 ambapo nilipanda basi nikielekea Tabora kwenda kumuona ndugu yangu wilayani Uyui lakn ndani ya gari nilikutana n mdada ambaye she was 25 by then na baada ya stori mbili tatu tukafahamiana na tuliposhuka stend nikamwambia mi nitalala hapa town then asubuhi niende wilayani nikaamua kumjaribu kwa kumuomba tulale wote she didn't mind it at all.
Kilichofuata ilikua ni shoo ya kufa mtu ambayo I never had it before na ilipofika asubuhi tukaagana na hatukuwahi kuwasiliana tena till now.
Tukio la pili limetokea last year kipindi cha mwezi wa february;Shemeji yangu mmoja alikuja kuleta mzigo wa kaka yangu sasa cha ajabu alipoingia ndani mvua ikaanza kunyesha kwa nguvu mpaka nikaamua kufunga milango.
Baada ya hapo nikakaa na shemeji na baada ya stori mbili tatu nikaona ananiambia "shem cku hizi unaonekana mrefu",nilipomuuliza kwanini akaniambia naona kama unanizidi vile,ndipo tulipoaamua kupima kwa kusimama huku yeye akiwa mbele yangu na niliposhika her WAIST nikaona anavuta mikano basi ikabidi nimpe mamboz na mvua ilipoisha akaondoka and we never did it again coz it was a good sex to a wrong person.
Sasa wanajamvi naomba kupata experiences zenu katika hili.
Nani amewahi kufanya mapenzi kwa bahati mbaya???? And how did it happen??????
Na kuna ukweli wowote kwamba UNEXPECTED SEX NI TAMU ZAIDI KULIKO ILE INAYOKUA PLANNED???????