jiwekuu770
JF-Expert Member
- Feb 12, 2015
- 2,247
- 1,635
Habari jf
Katka kupambana na maisha kuna malengo tunajiwekea Shida ni changamoto ya kuyafikia. Mwanzo mwa mwaka 2016 nilijiwekea target kufikisha milion 3.
Kwangu ilikuwa hela nyingi coz nilikua nasoma na hela ambazo nilikuwa nashika ni laki laki mwisho laki 5 balance ya akiba laki moja!!... Lakini baadae nilipataga kazi kwahiyo kushika milion 3 ikawa siyo kazi but siyo akiba!! Unakuta hiyo milioni tatu ndio ufanye kila kitu akiba au saving ndio laki 3 au 5.
Najaribu kupambana nifike milioni 10 wapi!!
Kila ikifika milioni 3 au 4 napata shida natumia. Sasa nilitaka tubadilishane experience na wanajf wenzangu ambao mmeshavuka huko au mna idea.
NB: Hapa naongelea saving, hela unayoisave baada ya kufanya mambo mengine.
Je, wewe ulifikishaje milioni 10 yako ya mwanzo?
Katka kupambana na maisha kuna malengo tunajiwekea Shida ni changamoto ya kuyafikia. Mwanzo mwa mwaka 2016 nilijiwekea target kufikisha milion 3.
Kwangu ilikuwa hela nyingi coz nilikua nasoma na hela ambazo nilikuwa nashika ni laki laki mwisho laki 5 balance ya akiba laki moja!!... Lakini baadae nilipataga kazi kwahiyo kushika milion 3 ikawa siyo kazi but siyo akiba!! Unakuta hiyo milioni tatu ndio ufanye kila kitu akiba au saving ndio laki 3 au 5.
Najaribu kupambana nifike milioni 10 wapi!!
Kila ikifika milioni 3 au 4 napata shida natumia. Sasa nilitaka tubadilishane experience na wanajf wenzangu ambao mmeshavuka huko au mna idea.
NB: Hapa naongelea saving, hela unayoisave baada ya kufanya mambo mengine.
Je, wewe ulifikishaje milioni 10 yako ya mwanzo?