Kichwamoto
JF-Expert Member
- Jan 21, 2019
- 3,366
- 4,557
Kulikuwa na wafalme kama hawa
1.. Joseph Mbilinyi SUGu, Mr II, 2proud, Taita
2. Professor J
3. JUMA Nature
4. Inspector Haroun
5. Ferouz
6. Mr. Nice
7. Mr. Blue
8. Mangwea
9. Afande Selle
10. 20 Percent
11. Fid Q
12. G.Nako na Clue yake yote
13. Dully Sikes (Huyu ndio Mr. Bongo Flavor)
14. Q.ChiefChillah
15. T.I.D Mnyama, Top In Dar huyu alitawala hatari
16. Chidi Benzi The power The Dragon Master
Nje na figisu za akina Ruge na Cloud FM Ali Kiba alienda Kibra baada ya kutoka kuimba na RKelly na Psquare alipotea kwenye game miaka kadhaa.
Tunaoujua mziki wa bongo na nyakati zake na wabeba tuzo wote tunawajua.
Hitimisho Ali Kiba hajawahi kuwa ni Mfalme wa Bongo Flavor, ni mwanaharakati tu katika maisha ya muziki wa Bongo Flavor.
Ujumbe ndio huo nawasubiria kwenye comments.
I rest my case
Kichwamoto The Fountain of Bongo Flavor history.
1.. Joseph Mbilinyi SUGu, Mr II, 2proud, Taita
2. Professor J
3. JUMA Nature
4. Inspector Haroun
5. Ferouz
6. Mr. Nice
7. Mr. Blue
8. Mangwea
9. Afande Selle
10. 20 Percent
11. Fid Q
12. G.Nako na Clue yake yote
13. Dully Sikes (Huyu ndio Mr. Bongo Flavor)
14. Q.ChiefChillah
15. T.I.D Mnyama, Top In Dar huyu alitawala hatari
16. Chidi Benzi The power The Dragon Master
Nje na figisu za akina Ruge na Cloud FM Ali Kiba alienda Kibra baada ya kutoka kuimba na RKelly na Psquare alipotea kwenye game miaka kadhaa.
Tunaoujua mziki wa bongo na nyakati zake na wabeba tuzo wote tunawajua.
Hitimisho Ali Kiba hajawahi kuwa ni Mfalme wa Bongo Flavor, ni mwanaharakati tu katika maisha ya muziki wa Bongo Flavor.
Ujumbe ndio huo nawasubiria kwenye comments.
I rest my case
Kichwamoto The Fountain of Bongo Flavor history.