Bushmamy
JF-Expert Member
- Aug 18, 2019
- 8,847
- 15,260
King Kong III una lolote la nyongeza?mzabzab namba zinasomaje hapo kwako?
King Kong III una lolote la nyongeza?mzabzab namba zinasomaje hapo kwako?
Ule mstari haujataja number of yearsRudia kusoma uzi nimeuweka
Neno miaka liko wapi hapo?Wagane NI wachache kuliko WAJANE
Tafakari chukua hatua
Mithali 6:32
Mtu aziniye na mwanamke hana akili kabisa;
Afanya jambo litakalomwangamiza nafsi yake.
Kwahiyo walikaa miaka yote hiyo kwa sababu hawakuzini..?Wewee, JifunzE Kwa waliokutangulia
Kwanini wewe Leo hauishi Miaka 400 wakati Adam na mkewe wamejaa mpaka Miaka 400
Nuhu Miaka 400
Anatembelea Rehema za Mungu Huyo au kaokoka kimya kimya
mzabzab namba zinasomaje hapo kwako?
Itakua alishafariki
Nakufa jumanne
MAI GODI
Hapa ni kuzini generally, not necessarily na mke wa mtu.Nimetoka kusoma Biblia sasa hivi
Dah, kupunguziwa Miaka 5 nayo mbaya.
Imagine Mungu alikuandikia kuishi Duniani Miaka 100, lakini ukazini na mwanamke nje ya ndoa kama 10 ivi ina maana wewe tuko nawe Kwa Miaka 50 tu.
Jamani ACHENI uzinzi, tuishi milele
Mithali 6:32
Mtu aziniye na mwanamke hana akili kabisa; afanya jambo litakalomwangamiza nafsi yake.
View attachment 2727635
King Kong III una lolote la nyongeza?
Tofauti ya umri kati ya mume na mke unaijua?Mithali 6:32
Mtu aziniye na mwanamke hana akili kabisa;
Afanya jambo litakalomwangamiza nafsi yake.
Wagane NI wachache kuliko WAJANE
Tafakari
Hivi kumbe zembelwa ni mwanahabari, nilikuwa sijuiNdoa zina mambo mengi sana...Cha msingi ni kuomba Mungu tu ili atupe hofu yake.
Ndoa na iheshimiwe na watu wote ,kama aziniye na mwanamke hana akili ,vipi(M/ke) aziniye na mwanamme?
Mwanahabari Zembwela alishwahi kusema Wanawake wapo wa aina 3:-
1. Mke Mkeo
2.Mke Jina
3.Mke Wetu
Mwanamme akipata aina ya kwanza(Mke Mkeo) ndoa inakuwa na amani otherwise ni Majanga.
Hivi kumbe zembelwa ni mwanahabari, nilikuwa sijui
Wajane sawa ni wengi na wagane wachache ila hata hii inaweza changiaWagane NI wachache kuliko WAJANE
Tafakari chukua hatua
Mithali 6:32
Mtu aziniye na mwanamke hana akili kabisa;
Afanya jambo litakalomwangamiza nafsi yake.
We umesema 5 years zinapungua. Ndio maana nakwambia mbona solomoni hakufa mapema. Ishu ya kuondolewa ufalme. Ni nyingine but about 5 years hapo umemlisha Mungu maneno maana Hakuna kifungu hiko.Solomon ufalme wake ulikatishwa akarithi mwanae mcha Mungu, Mungu alimkasirikia
Kasome Biblia vizuri
Wagane NI wachache kuliko WAJANE
Tafakari chukua hatua
Mithali 6:32
Mtu aziniye na mwanamke hana akili kabisa;
Afanya jambo litakalomwangamiza nafsi yake.
Asee kwenye hili kuna watu wana NegativeNimetoka kusoma Biblia sasa hivi
Dah, kupunguziwa Miaka 5 nayo mbaya.
Imagine Mungu alikuandikia kuishi Duniani Miaka 100, lakini ukazini na mwanamke nje ya ndoa kama 10 ivi ina maana wewe tuko nawe Kwa Miaka 50 tu.
Jamani ACHENI uzinzi, tuishi milele
Mithali 6:32
Mtu aziniye na mwanamke hana akili kabisa; afanya jambo litakalomwangamiza nafsi yake.
View attachment 2727635
Huyu anaishi Kwa Nguvu ya MolaKing Kong III una lolote la nyongeza?