Live circuit
Senior Member
- Mar 11, 2023
- 120
- 360
Hapana haya ni yako,Nimetoka kusoma Biblia sasa hivi
Dah, kupunguziwa Miaka 5 nayo mbaya.
Imagine Mungu alikuandikia kuishi Duniani Miaka 100, lakini ukazini na mwanamke nje ya ndoa kama 10 ivi ina maana wewe tuko nawe Kwa Miaka 50 tu.
Jamani ACHENI uzinzi, tuishi milele
Mithali 6:32
Mtu aziniye na mwanamke hana akili kabisa; afanya jambo litakalomwangamiza nafsi yake.
Uzinzi ni dhambi lakin maswala ya miaka 5 off hapana,
Ni uongo mzuri Sana,
Watu wasitishwe kwamba miaka itapungua ndo waache kuzini, waache kuzini kwa kumpenda kristo and nothing else