Mzee wa kupambania
JF-Expert Member
- Aug 14, 2022
- 18,463
- 44,696
Umesema vyema mkuuNaunga mkono mnufaika wa ndoa ndio awe mnyenyekevu
Umesema vyema mkuuNaunga mkono mnufaika wa ndoa ndio awe mnyenyekevu
Siyo mjinga tu, ukubali kupigwa masingi, kunyanyaswa, maneno ya kiburi na kejeli, dharau na ujinga gani sijuwi!Yaani dunia ya sasa mwanaume ukijiweka kwenye angle ya kujifanya nice guy lazima ulambwe. 20% zinatosha kua humble na 80% kua katili ukiwa humble lazima lilikukute jambo baya na gumu.
Yamewahi nikuta hayo mambo ya kujifanya Nice guy ila baada ya kua katili yaani ghafla tu upepo umebadilika kila kitu smooth.
NB: Usimpe umuhimu mwanamke zaidi ya 20% ya muda wako nk zilizobaki focus na mambo yako.
nakiomba mkuuUmewaza vyema na umesema vyema. Ila Ukatili hapo ndo umekosea.
Njoo nikupe kitabu cha the Way of Superior Man, kina shule nene kwa wanaume wote , how to man up.
That book imeongelea saikolojia ya wanawake na wanaume, rohoni na mwilini. Ni kitabu bombaa.
Yeyote anayetaka nakupa freee kabisa, nashindwa ku attach hapa, someone asaidie.
Hawa Ke wenyewe kina Diva au kuna wengine?Mnafarijiana kucha kutwa kujiliza hapa,nasemaje hamna ujanja kwa ke.
Sasa wewe utaogopa hata kumtia dole mwanamke na mko chumbani wawili tu.You have such a poor perceptive on viewing this, Oh My Gosh.... Men
mbn umevua viatu apo kwenye avatar yako.Mnafarijiana kucha kutwa kujiliza hapa,nasemaje hamna ujanja kwa ke.
Mkuu naomba unitumie PMUmewaza vyema na umesema vyema. Ila Ukatili hapo ndo umekosea.
Njoo nikupe kitabu cha the Way of Superior Man, kina shule nene kwa wanaume wote , how to man up.
That book imeongelea saikolojia ya wanawake na wanaume, rohoni na mwilini. Ni kitabu bombaa.
Yeyote anayetaka nakupa freee kabisa, nashindwa ku attach hapa, someone asaidie.
I encourage Vijana someni hiki. Kipo kingine pia, Ukimaliza nijuzeUmewaza vyema na umesema vyema. Ila Ukatili hapo ndo umekosea.
Njoo nikupe kitabu cha the Way of Superior Man, kina shule nene kwa wanaume wote , how to man up.
That book imeongelea saikolojia ya wanawake na wanaume, rohoni na mwilini. Ni kitabu bombaa.
Yeyote anayetaka nakupa freee kabisa, nashindwa ku attach hapa, someone asaidie.
Nice guy = a guy with no msimamo, too much caring, stepover, doormatYaani dunia ya sasa mwanaume ukijiweka kwenye angle ya kujifanya nice guy lazima ulambwe. 20% zinatosha kua humble na 80% kua katili ukiwa humble lazima lilikukute jambo baya na gumu.
Yamewahi nikuta hayo mambo ya kujifanya Nice guy ila baada ya kua katili yaani ghafla tu upepo umebadilika kila kitu smooth.
NB: Usimpe umuhimu mwanamke zaidi ya 20% ya muda wako nk zilizobaki focus na mambo yako.
Link ya download kitabu hii hapa ashindwe sasaUmewaza vyema na umesema vyema. Ila Ukatili hapo ndo umekosea.
Njoo nikupe kitabu cha the Way of Superior Man, kina shule nene kwa wanaume wote , how to man up.
That book imeongelea saikolojia ya wanawake na wanaume, rohoni na mwilini. Ni kitabu bombaa.
Yeyote anayetaka nakupa freee kabisa, nashindwa ku attach hapa, someone asaidie.
Kuna kitu bado wanaume hatukijui, mwanamke ataku heshimu jinsi unavyo muheshimu. Zinagtia neno heshima . Sasa wewe jifanye vandame yakukute. Jiheshimu kwanza wewe kama mwanaume. Swala la sijui kukaza sula, sijui kutojali na bullshit zingine hazisaidii kama wewe bado ni kilaza tu.
Kabisa maana wanaume tunatoboka tu.Naunga mkono mnufaika wa ndoa ndio awe mnyenyekevu