feyzal
JF-Expert Member
- Apr 20, 2016
- 6,818
- 12,689
Yaani dunia ya sasa mwanaume ukijiweka kwenye angle ya kujifanya nice guy lazima ulambwe. 20% zinatosha kua humble na 80% kua katili ukiwa humble lazima lilikukute jambo baya na gumu.
Yamewahi nikuta hayo mambo ya kujifanya Nice guy ila baada ya kua katili yaani ghafla tu upepo umebadilika kila kitu smooth.
NB: Usimpe umuhimu mwanamke zaidi ya 20% ya muda wako nk zilizobaki focus na mambo yako.
Yamewahi nikuta hayo mambo ya kujifanya Nice guy ila baada ya kua katili yaani ghafla tu upepo umebadilika kila kitu smooth.
NB: Usimpe umuhimu mwanamke zaidi ya 20% ya muda wako nk zilizobaki focus na mambo yako.