Ukiona una tabia hizi basi jua unaanza kuzeeka

DR SANTOS

JF-Expert Member
Mar 11, 2019
10,624
21,685
Ukiona unafanya yafuatayo basi jua umeanza kuzeeka, upo nyuma ya muda:

👉Kuwa hasira bila sababu ya msingi: ishu ndogo mara anakua agressive balaa

👉Kuilaumu serikali Kwa ishu zako binafsi: Hapa mtu Hana pesa anaanza Kuilaumu serikali🤣🤣 serikali ifanyeje Sasa?

👉Kukosoa kosoa watu na kuona Kila kitu anachofanya mtu anakosea huku wewe ukiwa sahihi.

👉Kitu kidogo unapata masikitiko ya Karne nzima.

👉kuanza kuongea peke yako: yaani hapa jua umeanza na kua Chizi kabisa😓

👉Mtu unakua muoga muoga hujiamini unachukua tahadhali ata Kwa vitu sio vya msingi (kuhofia usalama).

Hizo ni chache tu hebu ongeza na zingine apa.
 
Ukiona unafanya yafuatayo basi jua umeanza kuzeeka, upo nyuma ya muda
👉Kuwa hasira bila sababu ya msingi: ishu ndogo mry anakua agressive balaa

👉Kuilaumu serikali Kwa ishu zako binafsi: hapa mtu Hana pesa anaanza Kuilaumu serikali🤣🤣 serikali ifanyeje Sasa?

👉Kukosoa kosoa watu na kuona Kila kitu anachofanya mtu anakosea huku wewe ukiwa sahihi

👉Kitu kidogo unapata masikitiko ya Karne nzima.

👉kuanza kuongea peke yako: yaani hapa jua umeanza na kua Chizi kabisa😓

👉Mtu unakua muoga muoga hujiamini unachukua tahadhali ata Kwa vitu sio vya msingi (kuhofia usalama)

Hizo ni chache tu hebu ongeza na zingine apa...
Hio sio tabia za mtu kuzeeka. Hizo ni tabia za mtu aliepigika.
 
Kutoendana na mabadiliko; anasema vijana wa siku hizi hawasomi chochote, kusoma tulikuwa tunasoma sisi huku akitolea mifano ya mavitu ya kizamani, wakati mambo anayoongelea yamepitwa na wakati. Haelewi kuwa kila jambo lina wakati wake; nyie wazee acheni mambo ya analogia, huu ni wakati wa digitali, ebo! Badilikeni kulingana na mazingira! Watawacheka watu!
 
Kutoendana na mabadiliko; anasema vijana wa siku hizi hawasomi chochote, kusoma tulikuwa tunasoma sisi huku akitolea mifano ya mavitu ya kizamani, wakati mambo anayoongelea yamepitwa na wakati. Haelewi kuwa kila jambo lina wakati wake; nyie wazee acheni mambo ya analogia, huu ni wakati wa digitali, ebo! Badilikeni kulingana na mazingira! Watawacheka watu!
Na kusema kwamba enzi zangu nilikua nafaulu sana
 
Ukiona unafanya yafuatayo basi jua umeanza kuzeeka, upo nyuma ya muda:

👉Kuwa hasira bila sababu ya msingi: ishu ndogo mara anakua agressive balaa

👉Kuilaumu serikali Kwa ishu zako binafsi: Hapa mtu Hana pesa anaanza Kuilaumu serikali🤣🤣 serikali ifanyeje Sasa?

👉Kukosoa kosoa watu na kuona Kila kitu anachofanya mtu anakosea huku wewe ukiwa sahihi.

👉Kitu kidogo unapata masikitiko ya Karne nzima.

👉kuanza kuongea peke yako: yaani hapa jua umeanza na kua Chizi kabisa😓

👉Mtu unakua muoga muoga hujiamini unachukua tahadhali ata Kwa vitu sio vya msingi (kuhofia usalama).

Hizo ni chache tu hebu ongeza na zingine apa.
tabia za uchizi unaita za uzee, uchaga ujinga dogo
 
Ukiona unafanya yafuatayo basi jua umeanza kuzeeka, upo nyuma ya muda:

Kuwa hasira bila sababu ya msingi: ishu ndogo mara anakua agressive balaa

Kuilaumu serikali Kwa ishu zako binafsi: Hapa mtu Hana pesa anaanza Kuilaumu serikali serikali ifanyeje Sasa?

Kukosoa kosoa watu na kuona Kila kitu anachofanya mtu anakosea huku wewe ukiwa sahihi.

Kitu kidogo unapata masikitiko ya Karne nzima.

kuanza kuongea peke yako: yaani hapa jua umeanza na kua Chizi kabisa

Mtu unakua muoga muoga hujiamini unachukua tahadhali ata Kwa vitu sio vya msingi (kuhofia usalama).

Hizo ni chache tu hebu ongeza na zingine apa.

yoote uliyoyasema hayana maana
 
Kutoendana na mabadiliko; anasema vijana wa siku hizi hawasomi chochote, kusoma tulikuwa tunasoma sisi huku akitolea mifano ya mavitu ya kizamani, wakati mambo anayoongelea yamepitwa na wakati. Haelewi kuwa kila jambo lina wakati wake; nyie wazee acheni mambo ya analogia, huu ni wakati wa digitali, ebo! Badilikeni kulingana na mazingira! Watawacheka watu!
Mbona vijana wengi wa sasa ni magwangala, hawajitambui na ni wachafu wanategemea kuoga kwa kujipulizia marashi lakini ukipishana naye unaisikia harufu ya shuka zake za kulalia.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom