Ukija kuamua kuanza kufuga utafuga mnyama gani?

Ila wanyama na ndege wana feeling nzuri ukiwa nao karibu, hapa home nna vinjiwa nikitoka tu vinanifatafata nyuma navipa choroko....napenda mno, wakiniona tu lazma wanifate nafurahi nawapenda hadi nashindwa kuwala
 
Kwasasabu tatu nitafuga Ng'ombe.

Kwanza Nyama yake ni biashara.

Mbili Maziwa yake ni biashara.

Tatu Mavi yake ni mbolea shambani kwangu.
Shida ya ng'ombe ni kwamba hajali leo una msiba au harusi yeye anataka kulishwa na kunyweshwa.

Utakua msibani utakumbuka hilo unaaga mbio mbio kwenda kukamilisha majukumu. Ukiajiri vijana akikuambia kesho sipo na wewe haupo ndiyo utauona utata mubashara
 
Shida ya ng'ombe ni kwamba hajali leo una msiba au harusi yeye anataka kulishwa na kunyweshwa.

Utakua msibani utakumbuka hilo unaaga mbio mbio kwenda kukamilisha majukumu. Ukiajiri vijana akikuambia kesho sipo na wewe haupo ndiyo utauona utata mubashara
Kwani akishinda njaa siku moja kuna ttz
 
Kuku
Nilfuga wa kienyeji aisee nilikuwa sisahau tareh ya chanjo wakiumwa nahngaika 😄😄😄 natamni niwabebe 🤣🤣
 
  • Nzuri
Reactions: EEX
Nimeshafuga Kuku na Nguruwe toka nikiwa shule ya msingi na sekondari, sasa hivi nimeamua kufunga ng'ombe pekee, haswa ng'ombe dume wa kunenepesha na kuuza.


Ufugaji ni mzuri, ufugaji ni utajiri! Ukifanya kwa weledi unaweza kukutoa hatua moja kwenda hatua nyingine Bora zaidi
 

 
Nienza ufugaji toka nikiwa kijana mdogo, nimeshafuga Sana Kuku na Nguruwe. Ila sasa nimeamua kutulia na ufugaji wa Ng'ombe dume kwa ajili ya kunenepesha na kuuza nyama.


Ufugaji unalipa , ufugaji ni utajiri kama utaufanya kwa weledi
 
Back
Top Bottom