Ujio wa 4g tigo

emike

JF-Expert Member
Sep 13, 2011
345
108
Wana jf heshima zanu, leo katika pita pita yangu kwenye net nimesoma uzinduzi wa 4g tigo hapo bongo katika maeneo ya mlimani na masaki, walio katika maeneo hayo na wameshatumia hiyo service watujuze kuhusu performance yake????
 
4G voda walifunga masaki for testing tuone na tigo yao kama itapatikana uswazz
 
Okay, naona kila mtu anajifagilia. Kama ni hivyo basi.
Hapa kwetu msoga toka mwaka jana watu wanatumia Airtel kwa 8G. Tena Kikwete mwenyewe ndio aliizindua.
 
Huku kahama ndo kwanza juzi niliwasikia wakipromo 3g wkt wenzao long time kitambo
 
Kuna ka ugonjwa kamewaingia watu hapa....
back to the post, kwa walio jaribu hii huduma tunaomba mrejesho tafadhali.
 
Wana jf heshima zanu, leo katika pita pita yangu kwenye net nimesoma uzinduzi wa 4g tigo hapo bongo katika maeneo ya mlimani na masaki, walio katika maeneo hayo na wameshatumia hiyo service watujuze kuhusu performance yake????
Wanaoishi maeneo yaliyotajwa hapo juu tunaomba mtujuze..
 
Sijui, ngojea waje wakujuze...huku UG tuna 5G from yu

Duh. Mko nyuma sana. Unga Limited Arusha watu wanatumia 7G tangu mwaka 2009

Okay, naona kila mtu anajifagilia. Kama ni hivyo basi.
Hapa kwetu msoga toka mwaka jana watu wanatumia Airtel kwa 8G. Tena Kikwete mwenyewe ndio aliizindua.

Nyie mnasema nini wakati apa UDSM watu tunatumia 10G kitaaaaambo!

Basis huku 2nduma 2na2mia 100G
Guys jitahidin kuheshim thread za watu...kama hamkua na cha kusema ni bora mngekaa kmya kuliko kuharub thread..
 
Mimi naona tigo wangefunga 3g kwanza ktk minara yao yote mijini na vijijini kabla ya kujitanua kwenda 4g.hapo dar penyewe internet ktk mtandao wa tigo ni mwendo wa kobe, any way ngoja tuwasubiri

Nataka kuwakimbia tigo cause of mambo yao internet mbovu.
 
Back
Top Bottom