S skafunje Member Sep 4, 2016 7 0 May 4, 2024 #1 Wadau nimeshafanya uhamisho huu online, status inasoma ALLOWED, kwa waliowahi kufanya uhamisho huu nini kinafuatia baada ya hapo natanguliza shukrani.
Wadau nimeshafanya uhamisho huu online, status inasoma ALLOWED, kwa waliowahi kufanya uhamisho huu nini kinafuatia baada ya hapo natanguliza shukrani.
CK Allan JF-Expert Member Aug 14, 2013 2,736 5,943 May 4, 2024 #2 Unaendelea na ngazi inayofuata, Kutoka kwa supervisor wako kwenda kwa huyo wa juu yake.. Mpaka unakamilika
Unaendelea na ngazi inayofuata, Kutoka kwa supervisor wako kwenda kwa huyo wa juu yake.. Mpaka unakamilika
S skafunje Member Sep 4, 2016 7 0 May 4, 2024 Thread starter #3 Huko kote ishapita finally ishakua approved status ndo hiyo ALLOWED
jiwe angavu JF-Expert Member Aug 28, 2015 19,283 36,373 May 5, 2024 #6 Utumishi wa umma kuna ujinga mwingi sana,sasa ALLowed then what?waombe wakupe barua
YAKUTA JF-Expert Member Aug 11, 2013 407 171 May 5, 2024 #7 Nenda kaangalie yutubu video za namna ya kutumia mfumo wa ESS wameeleza haya yote unayouliza humu ndani
Nenda kaangalie yutubu video za namna ya kutumia mfumo wa ESS wameeleza haya yote unayouliza humu ndani
S skafunje Member Sep 4, 2016 7 0 May 5, 2024 Thread starter #8 YAKUTA said: Nenda kaangalie yutubu video za namna ya kutumia mfumo wa ESS wameeleza haya yote unayouliza humu ndani Click to expand... Soma vizuri nilichokiandika kiongozi,shida sio namna ya kutumia..
YAKUTA said: Nenda kaangalie yutubu video za namna ya kutumia mfumo wa ESS wameeleza haya yote unayouliza humu ndani Click to expand... Soma vizuri nilichokiandika kiongozi,shida sio namna ya kutumia..
To yeye JF-Expert Member Oct 4, 2022 28,663 66,805 May 5, 2024 #9 Elli said: Mifumo fake Click to expand... Sana