Hao kuku ni wageni sana Tanzania.Kaka!Hilo jina la kuchi ndiyo jina labda geni lakini kuku hao wamekuwepo miaka mingi tu.
Hata miaka 70 toka waingizwe nchini hawajatimiza.
Usiwe unabishia vitu usivyokuwa na ufahamu juu yake.
Hao kuku ni wageni sana Tanzania.Kaka!Hilo jina la kuchi ndiyo jina labda geni lakini kuku hao wamekuwepo miaka mingi tu.
Hii mbuzi inayojiita kalamu imenishinda Tania.Miaka ya 80 huko sisi tunakua,watu wa mikoa ya pwani walikuwa wanaogopa kula nyama za kuku hapo Saranda station kwa madai eti zile siyo nyama za kuku kwa kuwa eti ni kubwa na ndefu!Wakifikiri eti ni nyama za ndege wakubwa wasiowajua wao na kumbe ndiyo hawa kuku ambao leo wanahitwa kuchi eti!.
Mzee vitu vingi vinaweza kuwa vya asili kwa Mana sio gmo Ila vikawa vya kutoka maeneo mwengine duniani..wewe mbona mbishi Kama shipaEEeeenHeeeee!
Sasa umebaki kuhololoja tu, huna hoja tena!
Sasa hapa unataka wasomaji wa mada hii waelewe kitu gani?
Hujaeleza hao kuku asili yao hasa ni wapi! Kwa sababu hujui.
Huu Uzi umevurugwa na kalamuUzi unaboa sana huu unategemea kupata madini lakini wapi! Watu mnarumbana tu kujaza thread wote mnaobishana masaburi zenu.
Hawa wa kienyeji pure naomba utaalamu kdgo nataka nifuge huku mkoaniLabda nitoe msaada kidogo.hii biashara ni ngum usipoweza kupunguza gharama.pia usipoweza kutambua chanzo sahihi na wakati sahihi wa dawa...sikuanza Jana hii kitu.nilishafuga kuku Aina ya saso takribani kuku 500 na walinifanya kitu hamna. Na nikafuga Tena wakienyeji pure nao walinipelekesha balaa mpaka nakuja kupata formula nimechakaa.hakuna lisilowezekana chini ya just labda roho
Ni mtoto aliyekaririshwa ujinga huko darasani.Hii mbuzi inayojiita kalamu imenishinda Tania.
Umeshindwa kujibu maswali hayo niliyokuuliza?.EEeeenHeeeee!
Sasa umebaki kuhololoja tu, huna hoja tena!
Sasa hapa unataka wasomaji wa mada hii waelewe kitu gani?
Hujaeleza hao kuku asili yao hasa ni wapi! Kwa sababu hujui.
Sasa umeandika kitu gani hapa!Umeshindwa kujibu maswali hayo niliyokuuliza?.
Najua uwezi kujibu kwa sababu ni maswali toka nje ya yale yote uliyokaririshwa.
Mpaka hapa nimemaliza kukupa tuition.
Jamani tulianza na mjadala wa kuku wa kienjeji humu ndani.sasa Nina kuku miatatu hamsini wa kienjeji pure na pia naiona faida mnoSasa umeandika kitu gani hapa!
'Tuition" iko wapi?
Kama mimi nimekaririshwa, naona wewe upo patupu kabisa, huna hili wala lile kuhusu ufugaji wa kuku, na wala hujui asili ya kuku, kama huyo kuchi ni wapi.
Nimejitahidi mno kupunguza cost za chakula chao.pia siwapi madawa ya kununua bali natengeneza supliment mwenyewe..kitu chochote kinalipa ..ishu ni kwa namba gani umekikamiaJamani tulianza na mjadala wa kuku wa kienjeji humu ndani.sasa Nina kuku miatatu hamsini wa kienjeji pure na pia naiona faida mno
Kawadanganye wapumbavu.Jamani tulianza na mjadala wa kuku wa kienjeji humu ndani.sasa Nina kuku miatatu hamsini wa kienjeji pure na pia naiona faida mno
Hii sio kwa ajili yako.hii ni kwa ajili ya watu wanataka kinufaika na ufugaji.sio Kila kitu ni Cha mtu fulani.stay away stupidKawadanganye wapumbavu.
Mkuu 'Cleverman324', naona unatafuta tu kunivunjia heshima ili nikujibu vibaya kwa vile unatafuta tu kupotezea watu muda wao.
Huna kitu hapo cha kujivunia, ni hasara tupu kama ni kweli unawafuga hao kuku.
Ninakuomba usinihusishe tena katika ujinga huu wa kujadili kitu kisichokuwepo kiuhalisia, ila kiko mawazoni mwako tu.
Ulinijibu mimi, kwa hiyo ulinilenga mimi, huoni kuwa wewe ni mpumbavu kama hata hilo hulielewi?Hii sio kwa ajili yako.hii ni kwa ajili ya watu wanataka kinufaika na ufugaji.sio Kila kitu ni Cha mtu fulani.stay away stupid
Pure layers Ni wapi hao kwa kiswahiliWanasiasa na maafisa ugani wanawadanganya watu kujiajiri et ujasiliamari kwa kufuga kuku
hii ni kazi kichaa, watu wanaona ina faida bcoz hawaweki records za matumiz
Pure layers atleast ina faida hizi nyingne is for fun guyz
Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
kuku wa mayai ya kisasaPure layers Ni wapi hao kwa kiswahili