SoC03 Uchambuzi: Namna ambavyo ubovu wa mifumo endeshi ya kiutawala inavyofifisha utawala bora na namna ya kuuendea utatuzi wake ili kuleta mabadiliko

Stories of Change - 2023 Competition

Almalik mokiwa

Senior Member
Jun 5, 2020
147
157
Kwa mataifa mengi duniani, imekuwa kawaida watawala kutumia mifumo ya kiutawala inayokiuka misingi ya utawala bora. Katika kukuza na kudumisha utawala unao zingatia zaidi uhuru wa kujieleza, uhuru wa vyombo vya habari, uhuru wa mahakama, uwazi, haki na umoja, ushirikishwaji wa wananchi na utawala wa sheria, dhana ya uwajibikaji siyo ya KUEPUKIKA. Na hii ndio huchora tafsiri halisi ya dhana ya utawala bora.

Tanzania ni moja ya nchi zenye viashiria vya kudhoofika kwa misingi ya utawala wa sheria, uhuru wa kujieleza, uhuru wa mahakama, kusheheni kwa matukio ya ufisadi na rushwa, kukosekana kwa uwazi, uwajibikaji MBOVU wa viongozi wa umma, ushirikishwaji hafifu wa wananchi katika kuamua, kudhoofika kwa uhuru wa vyombo vya habari na kuzorota kwa umoja na haki unaotokana na migongano ya tofauti za kiitikadi. Uchambuzi huu utaenda kugusa moja kwa moja ni kwa namna gani mifumo ya uendeshaji wa kiutawala umekuwa ukikiuka misingi ya utawala bora, na namna ya kuuendea utatuzi wake ili kuhuisha na kusimika nguzo ya utawala bora.

Licha ya Tanzania kutumia mfumo endeshi wa kidemokrasia kama nyenzo kuu ya kupitia ili kudumisha utawala ambao unaitanabaisha serikali kuwa serikali ya watu, inayoipa mamlaka makubwa wananchi katika kufanya maamuzi, lakini bado imeonekana kuwa ni demokrasia iliyochujwa kutokana na ubabaishaji katika kufatwa kwa kanuni zake.

Mambo machache, yanayo dhoofisha utawala bora ni kama ifuatavyo;

Kudhoofu kwa uhuru wa vyombo vya habari;
Tanzania imekuwa ikiingia katika ukakasi juu uhuru wa vyombo vya habari, ambapo umeonekana kuzorota kutokana na kujitokeza kwa matukio mbalimbali ambayo yamekuwa yakitishia usalama wa waandishi wa habari. Mwishoni mwa mwaka 2017, vichwa vya habari vya magazeti mbali mbali nchini, viliripoti taarifa ya kupotea katika mazingira ya kutatanisha kwa mwandishi machachari wa habari za uchunguzi aliyekuwa akihudumu katika gazeti la Mwananchi, ndugu Azory Gwanda. Matukio hayo yamekuwa yakiendelea kujitokeza ambapo waandishi wengine hasa wa habari za uchunguzi, kama Stan Katabalo, Daudi Mwangosi, Josephat Isango na Ben Sanaane kupotea na maisha yao kuwa katika mashaka. Waandishi hawa machachari wameonekana kuingia mashakani hasa baada ya kuonekana wakihoji juu ya utendaji na uwajibikaji wa viongozi wa umma. Kutungwa kwa sheria kandamizi za habari zinazowapa karaha waandishi wa habari na kufifisha utendaji na uwajibikaji wao katika kuuhabarisha umma. Mfano , sheria ya makosa ya kimtandao ya 2015 pamoja na kanuni za maudhui ya mtandaoni ya mwaka 2018.


IMG-20230730-WA0078.jpg

Picha kutoka StockImages

Kuzorota kwa uwazi, uwajibikaji na ushirikishwaji wa wananchi
Kumekuwa na ushirikishwaji mdogo wa wananchi katika kushiriki kwenye shughuli za maendeleo ya nchi, kama vile ushiriki katika uundaji wa bajeti ya taifa, kama katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ilivyo ainisha katika ibara ya 8, vile vile kudogodeshwa kwa ushiriki wa umma katika kufanya maamuzi juu ya ulinzi na utunzaji wa rasilimali zao kumekuwa kukionyesha ukinzani baina ya watawala na dhana ya utawala bora. Mfano azimio la Bandari, na kuidhinishwa kwa makubaliano ya ubinafsishaji wa bandari kwa DP world bila kusikilizwa na kuchambuliwa kwa kina kwa maoni ya wananchi, kumechora tafsiri halisi ya kupunjwa kwa ushirikishwaji wa wananchi katika kufanya maamuzi.

DEMOCRACY.jpg

Picha kutoka PA times

Kukiukwa kwa misingi ya utawala wa Sheria na kuongezeka kwa vitendo vya ufisadi na Rushwa
Yapo matukio tofauti tofauti yanayo dhihirisha ukiukwaji wa utawala wa sheria, ambapo viongozi wameonekana kujiingiza katika matendo yasio randana na sheria za nchi yetu, tunaweza kujikumbusha kupitia zuio la mikutano ya vyama vya siasa lililowekwa kinyume na sheria za vyama vya siasa. Kutofatwa kwa misingi ya utawala wa sheria kumesababisha kuongezeka kwa vitendo vya ufisadi, kwani wanao husishwa na vitendo hivyo wamekuwa wakitoa RUSHWA ili wasiwajibishwe na sheria kutochukua mkondo wake.
IMG-20230730-WA0086.jpg

Picha kutoka AdobeStock

NAMNA YA KUUENDEA UTATUZI WAKE ILI KUKUZA DHANA YA UTAWALA BORA KWA MANUFAA YA JAMII.

Uchambuzi wa makala hii umelenga kuleta utatuzi juu ya masuala yanayo zorotesha dhana ya utawala bora na kusimamisha nguzo ya utawala wenye tija katika jamii, ili jamii ipate kunufaika.

Kuundwa kwa mifumo ya uwajibishwaji wa viongozi
Mifumo hiyo inaweza kuwa, utunzi wa sheria ya kuwachukulia hatua viongozi wote wa umma wanaohusishwa na ufisadi kutoka katika ripoti ya mkaguzi wa hesabu za serikali (CAG) kama vile, kifungo cha maisha na kutaifishwa kwa mali za mshitakiwa wa makosa ya ufisadi. Mwaka 2021 ripoti ya CAG ilimtuhumu mkurugenzi mtendaji wa bandari kwa kumhusisha na ufisadi wa fedha za umma bilioni 3.7 na kuishiwa kusimamishwa kazi tu.

b32890f32a9906f55320423e4da0f538.jpg

Picha kutoka Daily News


Mabadiliko katika mitaala ya elimu, yenye kulenga kuwajenga vijana kuwa WAZALENDO
Vijana ndio nguzo na muelekeo wa leo na kesho ya taifa lolote duniani, taasisi za kielimu zinapaswa kuwalea vijana katika makuzi ya kizalendo, kuwafanya vijana kuwa viziwi wa kutosikia sauti zenye maudhui ya kupewa RUSHWA, vipofu wasioona ubora katika kujibinafsisha na kujilimbikizia mali za umma, viwete wasio weza kuuendea ufisadi na ubadhirifu wa mali ya umma, mbadala wake, wawe wakali pale rasilimali zao zinapoguswa na walowezi. Vilevile, taasisi za elimu ziweke somo la sheria kuwa la lazima, kwa lengo la kuwaandaa vijana kuwa weledi katika kuzielewa vyema sheria za nchi yao, hii itasaidia katika kudumisha ulinzi wa rasilimali na kuhuisha utawala wa sheria.

Hero - Transforming Education (11).jpg

Picha kutoka UNICEF

Matumizi ya sanaa katika kuchochea utawala bora
Mtawala mwenye maono ya kulifikisha taifa au taasisi katika nchi ya ahadi, iliyo na miti ya mitende, mito ya maziwa na harufu ya Haluwa, anapaswa kufanya uwekezaji mkubwa katika sanaa, kuwaondolea vikwazo vyote kwa wasanii wenye roho ya ujasiri wa kudadavua athari za uwajibikaji mbovu wa viongozi wa umma na kukosoa vikali vitendo vya RUSHWA na UFISADI kupitia kutanua na kuupigia chepeo UHURU WA KUJIELEZA. Hii itachangia katika kukuza utawala bora.
shutterstock_187662866-1.jpg

Picha kutoka East Side Online

Kuundwa kwa mfumo wa kielektroniki unaoupa umma fursa ya kuweka maoni juu ya viwango vya utendaji na uwajibikaji wa viongozi wa umma
Mfumo huu utaweza kuonyesha utendaji wa viongozi kupitia viwango vilivyopendekezwa na umma, kiongozi ambae anaonekana kuwa na viwango vya chini zaidi anapaswa kuondolewa na kubadilisha kuweka mwingine ambae ataendana na kasi ya mahitaji ya wanajamii. Hii itachochea uwajibikaji wa viongozi wa umma.

IMG-20230730-WA0091.jpg

Picha kutoka Adobe Stock

Mwisho; Ili kudumisha utawala bora mahakama zinapaswa kuwa huru kupitia kupunguza mamlaka ya rais kuteua majaji, mbadala wake iundwe tume ya majaji kwaajili ya kuteua majaji.
 
Kwa mataifa mengi duniani, imekuwa kawaida watawala kutumia mifumo ya kiutawala inayokiuka misingi ya utawala bora. Katika kukuza na kudumisha utawala unao zingatia zaidi uhuru wa kujieleza, uhuru wa vyombo vya habari, uhuru wa mahakama, uwazi, haki na umoja, ushirikishwaji wa wananchi na utawala wa sheria, dhana ya uwajibikaji siyo ya KUEPUKIKA. Na hii ndio huchora tafsiri halisi ya dhana ya utawala bora.

Tanzania ni moja ya nchi zenye viashiria vya kudhoofika kwa misingi ya utawala wa sheria, uhuru wa kujieleza, uhuru wa mahakama, kusheheni kwa matukio ya ufisadi na rushwa, kukosekana kwa uwazi, uwajibikaji MBOVU wa viongozi wa umma, ushirikishwaji hafifu wa wananchi katika kuamua, kudhoofika kwa uhuru wa vyombo vya habari na kuzorota kwa umoja na haki unaotokana na migongano ya tofauti za kiitikadi. Uchambuzi huu utaenda kugusa moja kwa moja ni kwa namna gani mifumo ya uendeshaji wa kiutawala umekuwa ukikiuka misingi ya utawala bora, na namna ya kuuendea utatuzi wake ili kuhuisha na kusimika nguzo ya utawala bora.

Licha ya Tanzania kutumia mfumo endeshi wa kidemokrasia kama nyenzo kuu ya kupitia ili kudumisha utawala ambao unaitanabaisha serikali kuwa serikali ya watu, inayoipa mamlaka makubwa wananchi katika kufanya maamuzi, lakini bado imeonekana kuwa ni demokrasia iliyochujwa kutokana na ubabaishaji katika kufatwa kwa kanuni zake.

Mambo machache, yanayo dhoofisha utawala bora ni kama ifuatavyo;

Kudhoofu kwa uhuru wa vyombo vya habari; Tanzania imekuwa ikiingia katika ukakasi juu uhuru wa vyombo vya habari, ambapo umeonekana kuzorota kutokana na kujitokeza kwa matukio mbalimbali ambayo yamekuwa yakitishia usalama wa waandishi wa habari. Mwishoni mwa mwaka 2017, vichwa vya habari vya magazeti mbali mbali nchini, viliripoti taarifa ya kupotea katika mazingira ya kutatanisha kwa mwandishi machachari wa habari za uchunguzi aliyekuwa akihudumu katika gazeti la Mwananchi, ndugu Azory Gwanda. Matukio hayo yamekuwa yakiendelea kujitokeza ambapo waandishi wengine hasa wa habari za uchunguzi, kama Stan Katabalo, Daudi Mwangosi, Josephat Isango na Ben Sanaane kupotea na maisha yao kuwa katika mashaka. Waandishi hawa machachari wameonekana kuingia mashakani hasa baada ya kuonekana wakihoji juu ya utendaji na uwajibikaji wa viongozi wa umma. Kutungwa kwa sheria kandamizi za habari zinazowapa karaha waandishi wa habari na kufifisha utendaji na uwajibikaji wao katika kuuhabarisha umma. Mfano , sheria ya makosa ya kimtandao ya 2015 pamoja na kanuni za maudhui ya mtandaoni ya mwaka 2018.View attachment 2704166
Picha kutoka StockImages

Kuzorota kwa uwazi, uwajibikaji na ushirikishwaji wa wananchi: Kumekuwa na ushirikishwaji mdogo wa wananchi katika kushiriki kwenye shughuli za maendeleo ya nchi, kama vile ushiriki katika uundaji wa bajeti ya taifa, kama katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ilivyo ainisha katika ibara ya 8, vile vile kudogodeshwa kwa ushiriki wa umma katika kufanya maamuzi juu ya ulinzi na utunzaji wa rasilimali zao kumekuwa kukionyesha ukinzani baina ya watawala na dhana ya utawala bora. Mfano azimio la Bandari, na kuidhinishwa kwa makubaliano ya ubinafsishaji wa bandari kwa DP world bila kusikilizwa na kuchambuliwa kwa kina kwa maoni ya wananchi, kumechora tafsiri halisi ya kupunjwa kwa ushirikishwaji wa wananchi katika kufanya maamuzi.
View attachment 2704180
Picha kutoka PA times

Kukiukwa kwa misingi ya utawala wa Sheria na kuongezeka kwa vitendo vya ufisadi na Rushwa; Yapo matukio tofauti tofauti yanayo dhihirisha ukiukwaji wa utawala wa sheria, ambapo viongozi wameonekana kujiingiza katika matendo yasio randana na sheria za nchi yetu, tunaweza kujikumbusha kupitia zuio la mikutano ya vyama vya siasa lililowekwa kinyume na sheria za vyama vya siasa. Kutofatwa kwa misingi ya utawala wa sheria kumesababisha kuongezeka kwa vitendo vya ufisadi, kwani wanao husishwa na vitendo hivyo wamekuwa wakitoa RUSHWA ili wasiwajibishwe na sheria kutochukua mkondo wake.
View attachment 2704183
Picha kutoka AdobeStock

NAMNA YA KUUENDEA UTATUZI WAKE ILI KUKUZA DHANA YA UTAWALA BORA KWA MANUFAA YA JAMII.

Uchambuzi wa makala hii umelenga kuleta utatuzi juu ya masuala yanayo zorotesha dhana ya utawala bora na kusimamisha nguzo ya utawala wenye tija katika jamii, ili jamii ipate kunufaika.

Kuundwa kwa mifumo ya uwajibishwaji wa viongozi; Mifumo hiyo inaweza kuwa, utunzi wa sheria ya kuwachukulia hatua viongozi wote wa umma wanaohusishwa na ufisadi kutoka katika ripoti ya mkaguzi wa hesabu za serikali (CAG) kama vile, kifungo cha maisha na kutaifishwa kwa mali za mshitakiwa wa makosa ya ufisadi. Mwaka 2021 ripoti ya CAG ilimtuhumu mkurugenzi mtendaji wa bandari kwa kumhusisha na ufisadi wa fedha za umma bilioni 3.7 na kuishiwa kusimamishwa kazi tu.
View attachment 2704187
Picha kutoka Daily News

Mabadiliko katika mitaala ya elimu, yenye kulenga kuwajenga vijana kuwa WAZALENDO; Vijana ndio nguzo na muelekeo wa leo na kesho ya taifa lolote duniani, taasisi za kielimu zinapaswa kuwalea vijana katika makuzi ya kizalendo, kuwafanya vijana kuwa viziwi wa kutosikia sauti zenye maudhui ya kupewa RUSHWA, vipofu wasioona ubora katika kujibinafsisha na kujilimbikizia mali za umma, viwete wasio weza kuuendea ufisadi na ubadhirifu wa mali ya umma, mbadala wake, wawe wakali pale rasilimali zao zinapoguswa na walowezi. Vilevile, taasisi za elimu ziweke somo la sheria kuwa la lazima, kwa lengo la kuwaandaa vijana kuwa weledi katika kuzielewa vyema sheria za nchi yao, hii itasaidia katika kudumisha ulinzi wa rasilimali na kuhuisha utawala wa sheria.
View attachment 2704191
Picha kutoka UNICEF

Matumizi ya sanaa katika kuchochea utawala bora; Mtawala mwenye maono ya kulifikisha taifa au taasisi katika nchi ya ahadi, iliyo na miti ya mitende, mito ya maziwa na harufu ya Haluwa, anapaswa kufanya uwekezaji mkubwa katika sanaa, kuwaondolea vikwazo vyote kwa wasanii wenye roho ya ujasiri wa kudadavua athari za uwajibikaji mbovu wa viongozi wa umma na kukosoa vikali vitendo vya RUSHWA na UFISADI kupitia kutanua na kuupigia chepeo UHURU WA KUJIELEZA. Hii itachangia katika kukuza utawala bora.
View attachment 2704193
Picha kutoka East Side Online

Kuundwa kwa mfumo wa kielektroniki unaoupa umma fursa ya kuweka maoni juu ya viwango vya utendaji na uwajibikaji wa viongozi wa umma; Mfumo huu utaweza kuonyesha utendaji wa viongozi kupitia viwango vilivyopendekezwa na umma, kiongozi ambae anaonekana kuwa na viwango vya chini zaidi anapaswa kuondolewa na kubadilisha kuweka mwingine ambae ataendana na kasi ya mahitaji ya wanajamii. Hii itachochea uwajibikaji wa viongozi wa umma.
View attachment 2704196
Picha kutoka Adobe Stock

Mwisho; Ili kudumisha utawala bora mahakama zinapaswa kuwa huru kupitia kupunguza mamlaka ya rais kuteua majaji, mbadala wake iundwe tume ya majaji kwaajili ya kuteua majaji.
Uzi makini hii tunapita kama.

Reference makini na zilizo hai, matumizi ya picha na mtililiko mzuri wa hoja hakika nimeipenda KAZI hii.
Ndani yako Kuna maono ya utawala bora na Kila mwenye fikra tunduizi katika kuijenga nchi yenye utawala Bora hili andiko lazima asalende.

Maktaba ichue hili litunzwe litafanywa reference kwa MIAKA ijayo.

Kijana ahifadhiwe huyu ni Mali ya TAIFA๐Ÿ˜๐Ÿ‘๐Ÿพ๐Ÿ‘๐Ÿพ๐Ÿ‘๐Ÿพ๐Ÿ‘๐Ÿพ๐Ÿ‘๐Ÿพ๐Ÿ‘๐Ÿพ๐Ÿ‘๐Ÿพ๐Ÿ‘๐Ÿพ๐Ÿ‘๐Ÿพ๐Ÿ‘๐Ÿพ๐Ÿ‘๐Ÿพ๐Ÿ‘๐Ÿพ๐Ÿ‘๐Ÿพ๐Ÿ‘๐Ÿพ๐Ÿ‘๐Ÿพ๐Ÿ‘๐Ÿพ๐Ÿ‘๐Ÿพ๐Ÿ‘๐Ÿพ๐Ÿ”ฅ๐Ÿ”ฅ
 
Kwa mataifa mengi duniani, imekuwa kawaida watawala kutumia mifumo ya kiutawala inayokiuka misingi ya utawala bora. Katika kukuza na kudumisha utawala unao zingatia zaidi uhuru wa kujieleza, uhuru wa vyombo vya habari, uhuru wa mahakama, uwazi, haki na umoja, ushirikishwaji wa wananchi na utawala wa sheria, dhana ya uwajibikaji siyo ya KUEPUKIKA. Na hii ndio huchora tafsiri halisi ya dhana ya utawala bora.

Tanzania ni moja ya nchi zenye viashiria vya kudhoofika kwa misingi ya utawala wa sheria, uhuru wa kujieleza, uhuru wa mahakama, kusheheni kwa matukio ya ufisadi na rushwa, kukosekana kwa uwazi, uwajibikaji MBOVU wa viongozi wa umma, ushirikishwaji hafifu wa wananchi katika kuamua, kudhoofika kwa uhuru wa vyombo vya habari na kuzorota kwa umoja na haki unaotokana na migongano ya tofauti za kiitikadi. Uchambuzi huu utaenda kugusa moja kwa moja ni kwa namna gani mifumo ya uendeshaji wa kiutawala umekuwa ukikiuka misingi ya utawala bora, na namna ya kuuendea utatuzi wake ili kuhuisha na kusimika nguzo ya utawala bora.

Licha ya Tanzania kutumia mfumo endeshi wa kidemokrasia kama nyenzo kuu ya kupitia ili kudumisha utawala ambao unaitanabaisha serikali kuwa serikali ya watu, inayoipa mamlaka makubwa wananchi katika kufanya maamuzi, lakini bado imeonekana kuwa ni demokrasia iliyochujwa kutokana na ubabaishaji katika kufatwa kwa kanuni zake.

Mambo machache, yanayo dhoofisha utawala bora ni kama ifuatavyo;

Kudhoofu kwa uhuru wa vyombo vya habari; Tanzania imekuwa ikiingia katika ukakasi juu uhuru wa vyombo vya habari, ambapo umeonekana kuzorota kutokana na kujitokeza kwa matukio mbalimbali ambayo yamekuwa yakitishia usalama wa waandishi wa habari. Mwishoni mwa mwaka 2017, vichwa vya habari vya magazeti mbali mbali nchini, viliripoti taarifa ya kupotea katika mazingira ya kutatanisha kwa mwandishi machachari wa habari za uchunguzi aliyekuwa akihudumu katika gazeti la Mwananchi, ndugu Azory Gwanda. Matukio hayo yamekuwa yakiendelea kujitokeza ambapo waandishi wengine hasa wa habari za uchunguzi, kama Stan Katabalo, Daudi Mwangosi, Josephat Isango na Ben Sanaane kupotea na maisha yao kuwa katika mashaka. Waandishi hawa machachari wameonekana kuingia mashakani hasa baada ya kuonekana wakihoji juu ya utendaji na uwajibikaji wa viongozi wa umma. Kutungwa kwa sheria kandamizi za habari zinazowapa karaha waandishi wa habari na kufifisha utendaji na uwajibikaji wao katika kuuhabarisha umma. Mfano , sheria ya makosa ya kimtandao ya 2015 pamoja na kanuni za maudhui ya mtandaoni ya mwaka 2018.View attachment 2704166
Picha kutoka StockImages

Kuzorota kwa uwazi, uwajibikaji na ushirikishwaji wa wananchi: Kumekuwa na ushirikishwaji mdogo wa wananchi katika kushiriki kwenye shughuli za maendeleo ya nchi, kama vile ushiriki katika uundaji wa bajeti ya taifa, kama katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ilivyo ainisha katika ibara ya 8, vile vile kudogodeshwa kwa ushiriki wa umma katika kufanya maamuzi juu ya ulinzi na utunzaji wa rasilimali zao kumekuwa kukionyesha ukinzani baina ya watawala na dhana ya utawala bora. Mfano azimio la Bandari, na kuidhinishwa kwa makubaliano ya ubinafsishaji wa bandari kwa DP world bila kusikilizwa na kuchambuliwa kwa kina kwa maoni ya wananchi, kumechora tafsiri halisi ya kupunjwa kwa ushirikishwaji wa wananchi katika kufanya maamuzi.
View attachment 2704180
Picha kutoka PA times

Kukiukwa kwa misingi ya utawala wa Sheria na kuongezeka kwa vitendo vya ufisadi na Rushwa; Yapo matukio tofauti tofauti yanayo dhihirisha ukiukwaji wa utawala wa sheria, ambapo viongozi wameonekana kujiingiza katika matendo yasio randana na sheria za nchi yetu, tunaweza kujikumbusha kupitia zuio la mikutano ya vyama vya siasa lililowekwa kinyume na sheria za vyama vya siasa. Kutofatwa kwa misingi ya utawala wa sheria kumesababisha kuongezeka kwa vitendo vya ufisadi, kwani wanao husishwa na vitendo hivyo wamekuwa wakitoa RUSHWA ili wasiwajibishwe na sheria kutochukua mkondo wake.
View attachment 2704183
Picha kutoka AdobeStock

NAMNA YA KUUENDEA UTATUZI WAKE ILI KUKUZA DHANA YA UTAWALA BORA KWA MANUFAA YA JAMII.

Uchambuzi wa makala hii umelenga kuleta utatuzi juu ya masuala yanayo zorotesha dhana ya utawala bora na kusimamisha nguzo ya utawala wenye tija katika jamii, ili jamii ipate kunufaika.

Kuundwa kwa mifumo ya uwajibishwaji wa viongozi; Mifumo hiyo inaweza kuwa, utunzi wa sheria ya kuwachukulia hatua viongozi wote wa umma wanaohusishwa na ufisadi kutoka katika ripoti ya mkaguzi wa hesabu za serikali (CAG) kama vile, kifungo cha maisha na kutaifishwa kwa mali za mshitakiwa wa makosa ya ufisadi. Mwaka 2021 ripoti ya CAG ilimtuhumu mkurugenzi mtendaji wa bandari kwa kumhusisha na ufisadi wa fedha za umma bilioni 3.7 na kuishiwa kusimamishwa kazi tu.
View attachment 2704187
Picha kutoka Daily News

Mabadiliko katika mitaala ya elimu, yenye kulenga kuwajenga vijana kuwa WAZALENDO; Vijana ndio nguzo na muelekeo wa leo na kesho ya taifa lolote duniani, taasisi za kielimu zinapaswa kuwalea vijana katika makuzi ya kizalendo, kuwafanya vijana kuwa viziwi wa kutosikia sauti zenye maudhui ya kupewa RUSHWA, vipofu wasioona ubora katika kujibinafsisha na kujilimbikizia mali za umma, viwete wasio weza kuuendea ufisadi na ubadhirifu wa mali ya umma, mbadala wake, wawe wakali pale rasilimali zao zinapoguswa na walowezi. Vilevile, taasisi za elimu ziweke somo la sheria kuwa la lazima, kwa lengo la kuwaandaa vijana kuwa weledi katika kuzielewa vyema sheria za nchi yao, hii itasaidia katika kudumisha ulinzi wa rasilimali na kuhuisha utawala wa sheria.
View attachment 2704191
Picha kutoka UNICEF

Matumizi ya sanaa katika kuchochea utawala bora; Mtawala mwenye maono ya kulifikisha taifa au taasisi katika nchi ya ahadi, iliyo na miti ya mitende, mito ya maziwa na harufu ya Haluwa, anapaswa kufanya uwekezaji mkubwa katika sanaa, kuwaondolea vikwazo vyote kwa wasanii wenye roho ya ujasiri wa kudadavua athari za uwajibikaji mbovu wa viongozi wa umma na kukosoa vikali vitendo vya RUSHWA na UFISADI kupitia kutanua na kuupigia chepeo UHURU WA KUJIELEZA. Hii itachangia katika kukuza utawala bora.
View attachment 2704193
Picha kutoka East Side Online

Kuundwa kwa mfumo wa kielektroniki unaoupa umma fursa ya kuweka maoni juu ya viwango vya utendaji na uwajibikaji wa viongozi wa umma; Mfumo huu utaweza kuonyesha utendaji wa viongozi kupitia viwango vilivyopendekezwa na umma, kiongozi ambae anaonekana kuwa na viwango vya chini zaidi anapaswa kuondolewa na kubadilisha kuweka mwingine ambae ataendana na kasi ya mahitaji ya wanajamii. Hii itachochea uwajibikaji wa viongozi wa umma.
View attachment 2704196
Picha kutoka Adobe Stock

Mwisho; Ili kudumisha utawala bora mahakama zinapaswa kuwa huru kupitia kupunguza mamlaka ya rais kuteua majaji, mbadala wake iundwe tume ya majaji kwaajili ya kuteua maja

Kwa mataifa mengi duniani, imekuwa kawaida watawala kutumia mifumo ya kiutawala inayokiuka misingi ya utawala bora. Katika kukuza na kudumisha utawala unao zingatia zaidi uhuru wa kujieleza, uhuru wa vyombo vya habari, uhuru wa mahakama, uwazi, haki na umoja, ushirikishwaji wa wananchi na utawala wa sheria, dhana ya uwajibikaji siyo ya KUEPUKIKA. Na hii ndio huchora tafsiri halisi ya dhana ya utawala bora.

Tanzania ni moja ya nchi zenye viashiria vya kudhoofika kwa misingi ya utawala wa sheria, uhuru wa kujieleza, uhuru wa mahakama, kusheheni kwa matukio ya ufisadi na rushwa, kukosekana kwa uwazi, uwajibikaji MBOVU wa viongozi wa umma, ushirikishwaji hafifu wa wananchi katika kuamua, kudhoofika kwa uhuru wa vyombo vya habari na kuzorota kwa umoja na haki unaotokana na migongano ya tofauti za kiitikadi. Uchambuzi huu utaenda kugusa moja kwa moja ni kwa namna gani mifumo ya uendeshaji wa kiutawala umekuwa ukikiuka misingi ya utawala bora, na namna ya kuuendea utatuzi wake ili kuhuisha na kusimika nguzo ya utawala bora.

Licha ya Tanzania kutumia mfumo endeshi wa kidemokrasia kama nyenzo kuu ya kupitia ili kudumisha utawala ambao unaitanabaisha serikali kuwa serikali ya watu, inayoipa mamlaka makubwa wananchi katika kufanya maamuzi, lakini bado imeonekana kuwa ni demokrasia iliyochujwa kutokana na ubabaishaji katika kufatwa kwa kanuni zake.

Mambo machache, yanayo dhoofisha utawala bora ni kama ifuatavyo;

Kudhoofu kwa uhuru wa vyombo vya habari; Tanzania imekuwa ikiingia katika ukakasi juu uhuru wa vyombo vya habari, ambapo umeonekana kuzorota kutokana na kujitokeza kwa matukio mbalimbali ambayo yamekuwa yakitishia usalama wa waandishi wa habari. Mwishoni mwa mwaka 2017, vichwa vya habari vya magazeti mbali mbali nchini, viliripoti taarifa ya kupotea katika mazingira ya kutatanisha kwa mwandishi machachari wa habari za uchunguzi aliyekuwa akihudumu katika gazeti la Mwananchi, ndugu Azory Gwanda. Matukio hayo yamekuwa yakiendelea kujitokeza ambapo waandishi wengine hasa wa habari za uchunguzi, kama Stan Katabalo, Daudi Mwangosi, Josephat Isango na Ben Sanaane kupotea na maisha yao kuwa katika mashaka. Waandishi hawa machachari wameonekana kuingia mashakani hasa baada ya kuonekana wakihoji juu ya utendaji na uwajibikaji wa viongozi wa umma. Kutungwa kwa sheria kandamizi za habari zinazowapa karaha waandishi wa habari na kufifisha utendaji na uwajibikaji wao katika kuuhabarisha umma. Mfano , sheria ya makosa ya kimtandao ya 2015 pamoja na kanuni za maudhui ya mtandaoni ya mwaka 2018.View attachment 2704166
Picha kutoka StockImages

Kuzorota kwa uwazi, uwajibikaji na ushirikishwaji wa wananchi: Kumekuwa na ushirikishwaji mdogo wa wananchi katika kushiriki kwenye shughuli za maendeleo ya nchi, kama vile ushiriki katika uundaji wa bajeti ya taifa, kama katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ilivyo ainisha katika ibara ya 8, vile vile kudogodeshwa kwa ushiriki wa umma katika kufanya maamuzi juu ya ulinzi na utunzaji wa rasilimali zao kumekuwa kukionyesha ukinzani baina ya watawala na dhana ya utawala bora. Mfano azimio la Bandari, na kuidhinishwa kwa makubaliano ya ubinafsishaji wa bandari kwa DP world bila kusikilizwa na kuchambuliwa kwa kina kwa maoni ya wananchi, kumechora tafsiri halisi ya kupunjwa kwa ushirikishwaji wa wananchi katika kufanya maamuzi.
View attachment 2704180
Picha kutoka PA times

Kukiukwa kwa misingi ya utawala wa Sheria na kuongezeka kwa vitendo vya ufisadi na Rushwa; Yapo matukio tofauti tofauti yanayo dhihirisha ukiukwaji wa utawala wa sheria, ambapo viongozi wameonekana kujiingiza katika matendo yasio randana na sheria za nchi yetu, tunaweza kujikumbusha kupitia zuio la mikutano ya vyama vya siasa lililowekwa kinyume na sheria za vyama vya siasa. Kutofatwa kwa misingi ya utawala wa sheria kumesababisha kuongezeka kwa vitendo vya ufisadi, kwani wanao husishwa na vitendo hivyo wamekuwa wakitoa RUSHWA ili wasiwajibishwe na sheria kutochukua mkondo wake.
View attachment 2704183
Picha kutoka AdobeStock

NAMNA YA KUUENDEA UTATUZI WAKE ILI KUKUZA DHANA YA UTAWALA BORA KWA MANUFAA YA JAMII.

Uchambuzi wa makala hii umelenga kuleta utatuzi juu ya masuala yanayo zorotesha dhana ya utawala bora na kusimamisha nguzo ya utawala wenye tija katika jamii, ili jamii ipate kunufaika.

Kuundwa kwa mifumo ya uwajibishwaji wa viongozi; Mifumo hiyo inaweza kuwa, utunzi wa sheria ya kuwachukulia hatua viongozi wote wa umma wanaohusishwa na ufisadi kutoka katika ripoti ya mkaguzi wa hesabu za serikali (CAG) kama vile, kifungo cha maisha na kutaifishwa kwa mali za mshitakiwa wa makosa ya ufisadi. Mwaka 2021 ripoti ya CAG ilimtuhumu mkurugenzi mtendaji wa bandari kwa kumhusisha na ufisadi wa fedha za umma bilioni 3.7 na kuishiwa kusimamishwa kazi tu.
View attachment 2704187
Picha kutoka Daily News

Mabadiliko katika mitaala ya elimu, yenye kulenga kuwajenga vijana kuwa WAZALENDO; Vijana ndio nguzo na muelekeo wa leo na kesho ya taifa lolote duniani, taasisi za kielimu zinapaswa kuwalea vijana katika makuzi ya kizalendo, kuwafanya vijana kuwa viziwi wa kutosikia sauti zenye maudhui ya kupewa RUSHWA, vipofu wasioona ubora katika kujibinafsisha na kujilimbikizia mali za umma, viwete wasio weza kuuendea ufisadi na ubadhirifu wa mali ya umma, mbadala wake, wawe wakali pale rasilimali zao zinapoguswa na walowezi. Vilevile, taasisi za elimu ziweke somo la sheria kuwa la lazima, kwa lengo la kuwaandaa vijana kuwa weledi katika kuzielewa vyema sheria za nchi yao, hii itasaidia katika kudumisha ulinzi wa rasilimali na kuhuisha utawala wa sheria.
View attachment 2704191
Picha kutoka UNICEF

Matumizi ya sanaa katika kuchochea utawala bora; Mtawala mwenye maono ya kulifikisha taifa au taasisi katika nchi ya ahadi, iliyo na miti ya mitende, mito ya maziwa na harufu ya Haluwa, anapaswa kufanya uwekezaji mkubwa katika sanaa, kuwaondolea vikwazo vyote kwa wasanii wenye roho ya ujasiri wa kudadavua athari za uwajibikaji mbovu wa viongozi wa umma na kukosoa vikali vitendo vya RUSHWA na UFISADI kupitia kutanua na kuupigia chepeo UHURU WA KUJIELEZA. Hii itachangia katika kukuza utawala bora.
View attachment 2704193
Picha kutoka East Side Online

Kuundwa kwa mfumo wa kielektroniki unaoupa umma fursa ya kuweka maoni juu ya viwango vya utendaji na uwajibikaji wa viongozi wa umma; Mfumo huu utaweza kuonyesha utendaji wa viongozi kupitia viwango vilivyopendekezwa na umma, kiongozi ambae anaonekana kuwa na viwango vya chini zaidi anapaswa kuondolewa na kubadilisha kuweka mwingine ambae ataendana na kasi ya mahitaji ya wanajamii. Hii itachochea uwajibikaji wa viongozi wa umma.
View attachment 2704196
Picha kutoka Adobe Stock

Mwisho; Ili kudumisha utawala bora mahakama zinapaswa kuwa huru kupitia kupunguza mamlaka ya rais kuteua majaji, mbadala wake iundwe tume ya majaji kwaajili ya kuteua majaji.
Andiko hili limesheheni mengi Sana ya kujifunza, kongole kwa mwandishi hakika umepangilia andiko kimantiki na mtiririko mzuri ambao unamvutia msomaji kusoma na kuelewa madini yaliyo ktk uzi huo
 
Kwa mataifa mengi duniani, imekuwa kawaida watawala kutumia mifumo ya kiutawala inayokiuka misingi ya utawala bora. Katika kukuza na kudumisha utawala unao zingatia zaidi uhuru wa kujieleza, uhuru wa vyombo vya habari, uhuru wa mahakama, uwazi, haki na umoja, ushirikishwaji wa wananchi na utawala wa sheria, dhana ya uwajibikaji siyo ya KUEPUKIKA. Na hii ndio huchora tafsiri halisi ya dhana ya utawala bora.

Tanzania ni moja ya nchi zenye viashiria vya kudhoofika kwa misingi ya utawala wa sheria, uhuru wa kujieleza, uhuru wa mahakama, kusheheni kwa matukio ya ufisadi na rushwa, kukosekana kwa uwazi, uwajibikaji MBOVU wa viongozi wa umma, ushirikishwaji hafifu wa wananchi katika kuamua, kudhoofika kwa uhuru wa vyombo vya habari na kuzorota kwa umoja na haki unaotokana na migongano ya tofauti za kiitikadi. Uchambuzi huu utaenda kugusa moja kwa moja ni kwa namna gani mifumo ya uendeshaji wa kiutawala umekuwa ukikiuka misingi ya utawala bora, na namna ya kuuendea utatuzi wake ili kuhuisha na kusimika nguzo ya utawala bora.

Licha ya Tanzania kutumia mfumo endeshi wa kidemokrasia kama nyenzo kuu ya kupitia ili kudumisha utawala ambao unaitanabaisha serikali kuwa serikali ya watu, inayoipa mamlaka makubwa wananchi katika kufanya maamuzi, lakini bado imeonekana kuwa ni demokrasia iliyochujwa kutokana na ubabaishaji katika kufatwa kwa kanuni zake.

Mambo machache, yanayo dhoofisha utawala bora ni kama ifuatavyo;

Kudhoofu kwa uhuru wa vyombo vya habari; Tanzania imekuwa ikiingia katika ukakasi juu uhuru wa vyombo vya habari, ambapo umeonekana kuzorota kutokana na kujitokeza kwa matukio mbalimbali ambayo yamekuwa yakitishia usalama wa waandishi wa habari. Mwishoni mwa mwaka 2017, vichwa vya habari vya magazeti mbali mbali nchini, viliripoti taarifa ya kupotea katika mazingira ya kutatanisha kwa mwandishi machachari wa habari za uchunguzi aliyekuwa akihudumu katika gazeti la Mwananchi, ndugu Azory Gwanda. Matukio hayo yamekuwa yakiendelea kujitokeza ambapo waandishi wengine hasa wa habari za uchunguzi, kama Stan Katabalo, Daudi Mwangosi, Josephat Isango na Ben Sanaane kupotea na maisha yao kuwa katika mashaka. Waandishi hawa machachari wameonekana kuingia mashakani hasa baada ya kuonekana wakihoji juu ya utendaji na uwajibikaji wa viongozi wa umma. Kutungwa kwa sheria kandamizi za habari zinazowapa karaha waandishi wa habari na kufifisha utendaji na uwajibikaji wao katika kuuhabarisha umma. Mfano , sheria ya makosa ya kimtandao ya 2015 pamoja na kanuni za maudhui ya mtandaoni ya mwaka 2018.View attachment 2704166
Picha kutoka StockImages

Kuzorota kwa uwazi, uwajibikaji na ushirikishwaji wa wananchi: Kumekuwa na ushirikishwaji mdogo wa wananchi katika kushiriki kwenye shughuli za maendeleo ya nchi, kama vile ushiriki katika uundaji wa bajeti ya taifa, kama katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ilivyo ainisha katika ibara ya 8, vile vile kudogodeshwa kwa ushiriki wa umma katika kufanya maamuzi juu ya ulinzi na utunzaji wa rasilimali zao kumekuwa kukionyesha ukinzani baina ya watawala na dhana ya utawala bora. Mfano azimio la Bandari, na kuidhinishwa kwa makubaliano ya ubinafsishaji wa bandari kwa DP world bila kusikilizwa na kuchambuliwa kwa kina kwa maoni ya wananchi, kumechora tafsiri halisi ya kupunjwa kwa ushirikishwaji wa wananchi katika kufanya maamuzi.
View attachment 2704180
Picha kutoka PA times

Kukiukwa kwa misingi ya utawala wa Sheria na kuongezeka kwa vitendo vya ufisadi na Rushwa; Yapo matukio tofauti tofauti yanayo dhihirisha ukiukwaji wa utawala wa sheria, ambapo viongozi wameonekana kujiingiza katika matendo yasio randana na sheria za nchi yetu, tunaweza kujikumbusha kupitia zuio la mikutano ya vyama vya siasa lililowekwa kinyume na sheria za vyama vya siasa. Kutofatwa kwa misingi ya utawala wa sheria kumesababisha kuongezeka kwa vitendo vya ufisadi, kwani wanao husishwa na vitendo hivyo wamekuwa wakitoa RUSHWA ili wasiwajibishwe na sheria kutochukua mkondo wake.
View attachment 2704183
Picha kutoka AdobeStock

NAMNA YA KUUENDEA UTATUZI WAKE ILI KUKUZA DHANA YA UTAWALA BORA KWA MANUFAA YA JAMII.

Uchambuzi wa makala hii umelenga kuleta utatuzi juu ya masuala yanayo zorotesha dhana ya utawala bora na kusimamisha nguzo ya utawala wenye tija katika jamii, ili jamii ipate kunufaika.

Kuundwa kwa mifumo ya uwajibishwaji wa viongozi; Mifumo hiyo inaweza kuwa, utunzi wa sheria ya kuwachukulia hatua viongozi wote wa umma wanaohusishwa na ufisadi kutoka katika ripoti ya mkaguzi wa hesabu za serikali (CAG) kama vile, kifungo cha maisha na kutaifishwa kwa mali za mshitakiwa wa makosa ya ufisadi. Mwaka 2021 ripoti ya CAG ilimtuhumu mkurugenzi mtendaji wa bandari kwa kumhusisha na ufisadi wa fedha za umma bilioni 3.7 na kuishiwa kusimamishwa kazi tu.
View attachment 2704187
Picha kutoka Daily News

Mabadiliko katika mitaala ya elimu, yenye kulenga kuwajenga vijana kuwa WAZALENDO; Vijana ndio nguzo na muelekeo wa leo na kesho ya taifa lolote duniani, taasisi za kielimu zinapaswa kuwalea vijana katika makuzi ya kizalendo, kuwafanya vijana kuwa viziwi wa kutosikia sauti zenye maudhui ya kupewa RUSHWA, vipofu wasioona ubora katika kujibinafsisha na kujilimbikizia mali za umma, viwete wasio weza kuuendea ufisadi na ubadhirifu wa mali ya umma, mbadala wake, wawe wakali pale rasilimali zao zinapoguswa na walowezi. Vilevile, taasisi za elimu ziweke somo la sheria kuwa la lazima, kwa lengo la kuwaandaa vijana kuwa weledi katika kuzielewa vyema sheria za nchi yao, hii itasaidia katika kudumisha ulinzi wa rasilimali na kuhuisha utawala wa sheria.
View attachment 2704191
Picha kutoka UNICEF

Matumizi ya sanaa katika kuchochea utawala bora; Mtawala mwenye maono ya kulifikisha taifa au taasisi katika nchi ya ahadi, iliyo na miti ya mitende, mito ya maziwa na harufu ya Haluwa, anapaswa kufanya uwekezaji mkubwa katika sanaa, kuwaondolea vikwazo vyote kwa wasanii wenye roho ya ujasiri wa kudadavua athari za uwajibikaji mbovu wa viongozi wa umma na kukosoa vikali vitendo vya RUSHWA na UFISADI kupitia kutanua na kuupigia chepeo UHURU WA KUJIELEZA. Hii itachangia katika kukuza utawala bora.
View attachment 2704193
Picha kutoka East Side Online

Kuundwa kwa mfumo wa kielektroniki unaoupa umma fursa ya kuweka maoni juu ya viwango vya utendaji na uwajibikaji wa viongozi wa umma; Mfumo huu utaweza kuonyesha utendaji wa viongozi kupitia viwango vilivyopendekezwa na umma, kiongozi ambae anaonekana kuwa na viwango vya chini zaidi anapaswa kuondolewa na kubadilisha kuweka mwingine ambae ataendana na kasi ya mahitaji ya wanajamii. Hii itachochea uwajibikaji wa viongozi wa umma.
View attachment 2704196
Picha kutoka Adobe Stock

Mwisho; Ili kudumisha utawala bora mahakama zinapaswa kuwa huru kupitia kupunguza mamlaka ya rais kuteua majaji, mbadala wake iundwe tume ya majaji kwaajili ya kuteua majaji.
Imenichukua Dakika nyingi sana kutafakari ukitumia muda gani kuandaa andika bora Kama hili.Hakika andika limebeba uhalisia na kipi kinatakiwa kifanyike.

Kazi nzuri sana Alimalick Mokiwa
 
Kwa mataifa mengi duniani, imekuwa kawaida watawala kutumia mifumo ya kiutawala inayokiuka misingi ya utawala bora. Katika kukuza na kudumisha utawala unao zingatia zaidi uhuru wa kujieleza, uhuru wa vyombo vya habari, uhuru wa mahakama, uwazi, haki na umoja, ushirikishwaji wa wananchi na utawala wa sheria, dhana ya uwajibikaji siyo ya KUEPUKIKA. Na hii ndio huchora tafsiri halisi ya dhana ya utawala bora.

Tanzania ni moja ya nchi zenye viashiria vya kudhoofika kwa misingi ya utawala wa sheria, uhuru wa kujieleza, uhuru wa mahakama, kusheheni kwa matukio ya ufisadi na rushwa, kukosekana kwa uwazi, uwajibikaji MBOVU wa viongozi wa umma, ushirikishwaji hafifu wa wananchi katika kuamua, kudhoofika kwa uhuru wa vyombo vya habari na kuzorota kwa umoja na haki unaotokana na migongano ya tofauti za kiitikadi. Uchambuzi huu utaenda kugusa moja kwa moja ni kwa namna gani mifumo ya uendeshaji wa kiutawala umekuwa ukikiuka misingi ya utawala bora, na namna ya kuuendea utatuzi wake ili kuhuisha na kusimika nguzo ya utawala bora.

Licha ya Tanzania kutumia mfumo endeshi wa kidemokrasia kama nyenzo kuu ya kupitia ili kudumisha utawala ambao unaitanabaisha serikali kuwa serikali ya watu, inayoipa mamlaka makubwa wananchi katika kufanya maamuzi, lakini bado imeonekana kuwa ni demokrasia iliyochujwa kutokana na ubabaishaji katika kufatwa kwa kanuni zake.

Mambo machache, yanayo dhoofisha utawala bora ni kama ifuatavyo;

Kudhoofu kwa uhuru wa vyombo vya habari; Tanzania imekuwa ikiingia katika ukakasi juu uhuru wa vyombo vya habari, ambapo umeonekana kuzorota kutokana na kujitokeza kwa matukio mbalimbali ambayo yamekuwa yakitishia usalama wa waandishi wa habari. Mwishoni mwa mwaka 2017, vichwa vya habari vya magazeti mbali mbali nchini, viliripoti taarifa ya kupotea katika mazingira ya kutatanisha kwa mwandishi machachari wa habari za uchunguzi aliyekuwa akihudumu katika gazeti la Mwananchi, ndugu Azory Gwanda. Matukio hayo yamekuwa yakiendelea kujitokeza ambapo waandishi wengine hasa wa habari za uchunguzi, kama Stan Katabalo, Daudi Mwangosi, Josephat Isango na Ben Sanaane kupotea na maisha yao kuwa katika mashaka. Waandishi hawa machachari wameonekana kuingia mashakani hasa baada ya kuonekana wakihoji juu ya utendaji na uwajibikaji wa viongozi wa umma. Kutungwa kwa sheria kandamizi za habari zinazowapa karaha waandishi wa habari na kufifisha utendaji na uwajibikaji wao katika kuuhabarisha umma. Mfano , sheria ya makosa ya kimtandao ya 2015 pamoja na kanuni za maudhui ya mtandaoni ya mwaka 2018.View attachment 2704166
Picha kutoka StockImages

Kuzorota kwa uwazi, uwajibikaji na ushirikishwaji wa wananchi: Kumekuwa na ushirikishwaji mdogo wa wananchi katika kushiriki kwenye shughuli za maendeleo ya nchi, kama vile ushiriki katika uundaji wa bajeti ya taifa, kama katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ilivyo ainisha katika ibara ya 8, vile vile kudogodeshwa kwa ushiriki wa umma katika kufanya maamuzi juu ya ulinzi na utunzaji wa rasilimali zao kumekuwa kukionyesha ukinzani baina ya watawala na dhana ya utawala bora. Mfano azimio la Bandari, na kuidhinishwa kwa makubaliano ya ubinafsishaji wa bandari kwa DP world bila kusikilizwa na kuchambuliwa kwa kina kwa maoni ya wananchi, kumechora tafsiri halisi ya kupunjwa kwa ushirikishwaji wa wananchi katika kufanya maamuzi.
View attachment 2704180
Picha kutoka PA times

Kukiukwa kwa misingi ya utawala wa Sheria na kuongezeka kwa vitendo vya ufisadi na Rushwa; Yapo matukio tofauti tofauti yanayo dhihirisha ukiukwaji wa utawala wa sheria, ambapo viongozi wameonekana kujiingiza katika matendo yasio randana na sheria za nchi yetu, tunaweza kujikumbusha kupitia zuio la mikutano ya vyama vya siasa lililowekwa kinyume na sheria za vyama vya siasa. Kutofatwa kwa misingi ya utawala wa sheria kumesababisha kuongezeka kwa vitendo vya ufisadi, kwani wanao husishwa na vitendo hivyo wamekuwa wakitoa RUSHWA ili wasiwajibishwe na sheria kutochukua mkondo wake.
View attachment 2704183
Picha kutoka AdobeStock

NAMNA YA KUUENDEA UTATUZI WAKE ILI KUKUZA DHANA YA UTAWALA BORA KWA MANUFAA YA JAMII.

Uchambuzi wa makala hii umelenga kuleta utatuzi juu ya masuala yanayo zorotesha dhana ya utawala bora na kusimamisha nguzo ya utawala wenye tija katika jamii, ili jamii ipate kunufaika.

Kuundwa kwa mifumo ya uwajibishwaji wa viongozi; Mifumo hiyo inaweza kuwa, utunzi wa sheria ya kuwachukulia hatua viongozi wote wa umma wanaohusishwa na ufisadi kutoka katika ripoti ya mkaguzi wa hesabu za serikali (CAG) kama vile, kifungo cha maisha na kutaifishwa kwa mali za mshitakiwa wa makosa ya ufisadi. Mwaka 2021 ripoti ya CAG ilimtuhumu mkurugenzi mtendaji wa bandari kwa kumhusisha na ufisadi wa fedha za umma bilioni 3.7 na kuishiwa kusimamishwa kazi tu.
View attachment 2704187
Picha kutoka Daily News

Mabadiliko katika mitaala ya elimu, yenye kulenga kuwajenga vijana kuwa WAZALENDO; Vijana ndio nguzo na muelekeo wa leo na kesho ya taifa lolote duniani, taasisi za kielimu zinapaswa kuwalea vijana katika makuzi ya kizalendo, kuwafanya vijana kuwa viziwi wa kutosikia sauti zenye maudhui ya kupewa RUSHWA, vipofu wasioona ubora katika kujibinafsisha na kujilimbikizia mali za umma, viwete wasio weza kuuendea ufisadi na ubadhirifu wa mali ya umma, mbadala wake, wawe wakali pale rasilimali zao zinapoguswa na walowezi. Vilevile, taasisi za elimu ziweke somo la sheria kuwa la lazima, kwa lengo la kuwaandaa vijana kuwa weledi katika kuzielewa vyema sheria za nchi yao, hii itasaidia katika kudumisha ulinzi wa rasilimali na kuhuisha utawala wa sheria.
View attachment 2704191
Picha kutoka UNICEF

Matumizi ya sanaa katika kuchochea utawala bora; Mtawala mwenye maono ya kulifikisha taifa au taasisi katika nchi ya ahadi, iliyo na miti ya mitende, mito ya maziwa na harufu ya Haluwa, anapaswa kufanya uwekezaji mkubwa katika sanaa, kuwaondolea vikwazo vyote kwa wasanii wenye roho ya ujasiri wa kudadavua athari za uwajibikaji mbovu wa viongozi wa umma na kukosoa vikali vitendo vya RUSHWA na UFISADI kupitia kutanua na kuupigia chepeo UHURU WA KUJIELEZA. Hii itachangia katika kukuza utawala bora.
View attachment 2704193
Picha kutoka East Side Online

Kuundwa kwa mfumo wa kielektroniki unaoupa umma fursa ya kuweka maoni juu ya viwango vya utendaji na uwajibikaji wa viongozi wa umma; Mfumo huu utaweza kuonyesha utendaji wa viongozi kupitia viwango vilivyopendekezwa na umma, kiongozi ambae anaonekana kuwa na viwango vya chini zaidi anapaswa kuondolewa na kubadilisha kuweka mwingine ambae ataendana na kasi ya mahitaji ya wanajamii. Hii itachochea uwajibikaji wa viongozi wa umma.
View attachment 2704196
Picha kutoka Adobe Stock

Mwisho; Ili kudumisha utawala bora mahakama zinapaswa kuwa huru kupitia kupunguza mamlaka ya rais kuteua majaji, mbadala wake iundwe tume ya majaji kwaajili ya kuteua majaji.
 
Uzi makini hii tunapita kama.

Reference makini na zilizo hai, matumizi ya picha na mtililiko mzuri wa hoja hakika nimeipenda KAZI hii.
Ndani yako Kuna maono ya utawala bora na Kila mwenye fikra tunduizi katika kuijenga nchi yenye utawala Bora hili andiko lazima asalende.

Maktaba ichue hili litunzwe litafanywa reference kwa MIAKA ijayo.

Kijana ahifadhiwe huyu ni Mali ya TAIFA๐Ÿ˜๐Ÿ‘๐Ÿพ๐Ÿ‘๐Ÿพ๐Ÿ‘๐Ÿพ๐Ÿ‘๐Ÿพ๐Ÿ‘๐Ÿพ๐Ÿ‘๐Ÿพ๐Ÿ‘๐Ÿพ๐Ÿ‘๐Ÿพ๐Ÿ‘๐Ÿพ๐Ÿ‘๐Ÿพ๐Ÿ‘๐Ÿพ๐Ÿ‘๐Ÿพ๐Ÿ‘๐Ÿพ๐Ÿ‘๐Ÿพ๐Ÿ‘๐Ÿพ๐Ÿ‘๐Ÿพ๐Ÿ‘๐Ÿพ๐Ÿ‘๐Ÿพ๐Ÿ”ฅ๐Ÿ”ฅ
Ahsante sana mkuu. Ubarikiwe๐Ÿ™
 
Andiko lako ni zuri sana nimelipenda limekaa kisomi na mpangilio wako wa hoja umekaa vizuri sanaa matumizi ya lugha rahisi na picha inatengeneza uelewa mpana zaidi kwetu sisi tuliosoma.

Hongera sana Mr Almalick Mokiwa una kitu utafika mbali, tutembee na hili andiko tutaleta mabadiliko makubwa kwenye jamii na Kutengeneza utawala bora wenye tija na unaoleta maendeleo kwa jamii.
๐Ÿ‘๐Ÿ‘๐Ÿ‘๐Ÿ‘๐Ÿ‘๐Ÿ‘๐Ÿ‘
 
Kwa mataifa mengi duniani, imekuwa kawaida watawala kutumia mifumo ya kiutawala inayokiuka misingi ya utawala bora. Katika kukuza na kudumisha utawala unao zingatia zaidi uhuru wa kujieleza, uhuru wa vyombo vya habari, uhuru wa mahakama, uwazi, haki na umoja, ushirikishwaji wa wananchi na utawala wa sheria, dhana ya uwajibikaji siyo ya KUEPUKIKA. Na hii ndio huchora tafsiri halisi ya dhana ya utawala bora.

Tanzania ni moja ya nchi zenye viashiria vya kudhoofika kwa misingi ya utawala wa sheria, uhuru wa kujieleza, uhuru wa mahakama, kusheheni kwa matukio ya ufisadi na rushwa, kukosekana kwa uwazi, uwajibikaji MBOVU wa viongozi wa umma, ushirikishwaji hafifu wa wananchi katika kuamua, kudhoofika kwa uhuru wa vyombo vya habari na kuzorota kwa umoja na haki unaotokana na migongano ya tofauti za kiitikadi. Uchambuzi huu utaenda kugusa moja kwa moja ni kwa namna gani mifumo ya uendeshaji wa kiutawala umekuwa ukikiuka misingi ya utawala bora, na namna ya kuuendea utatuzi wake ili kuhuisha na kusimika nguzo ya utawala bora.

Licha ya Tanzania kutumia mfumo endeshi wa kidemokrasia kama nyenzo kuu ya kupitia ili kudumisha utawala ambao unaitanabaisha serikali kuwa serikali ya watu, inayoipa mamlaka makubwa wananchi katika kufanya maamuzi, lakini bado imeonekana kuwa ni demokrasia iliyochujwa kutokana na ubabaishaji katika kufatwa kwa kanuni zake.

Mambo machache, yanayo dhoofisha utawala bora ni kama ifuatavyo;

Kudhoofu kwa uhuru wa vyombo vya habari; Tanzania imekuwa ikiingia katika ukakasi juu uhuru wa vyombo vya habari, ambapo umeonekana kuzorota kutokana na kujitokeza kwa matukio mbalimbali ambayo yamekuwa yakitishia usalama wa waandishi wa habari. Mwishoni mwa mwaka 2017, vichwa vya habari vya magazeti mbali mbali nchini, viliripoti taarifa ya kupotea katika mazingira ya kutatanisha kwa mwandishi machachari wa habari za uchunguzi aliyekuwa akihudumu katika gazeti la Mwananchi, ndugu Azory Gwanda. Matukio hayo yamekuwa yakiendelea kujitokeza ambapo waandishi wengine hasa wa habari za uchunguzi, kama Stan Katabalo, Daudi Mwangosi, Josephat Isango na Ben Sanaane kupotea na maisha yao kuwa katika mashaka. Waandishi hawa machachari wameonekana kuingia mashakani hasa baada ya kuonekana wakihoji juu ya utendaji na uwajibikaji wa viongozi wa umma. Kutungwa kwa sheria kandamizi za habari zinazowapa karaha waandishi wa habari na kufifisha utendaji na uwajibikaji wao katika kuuhabarisha umma. Mfano , sheria ya makosa ya kimtandao ya 2015 pamoja na kanuni za maudhui ya mtandaoni ya mwaka 2018.View attachment 2704166
Picha kutoka StockImages

Kuzorota kwa uwazi, uwajibikaji na ushirikishwaji wa wananchi: Kumekuwa na ushirikishwaji mdogo wa wananchi katika kushiriki kwenye shughuli za maendeleo ya nchi, kama vile ushiriki katika uundaji wa bajeti ya taifa, kama katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ilivyo ainisha katika ibara ya 8, vile vile kudogodeshwa kwa ushiriki wa umma katika kufanya maamuzi juu ya ulinzi na utunzaji wa rasilimali zao kumekuwa kukionyesha ukinzani baina ya watawala na dhana ya utawala bora. Mfano azimio la Bandari, na kuidhinishwa kwa makubaliano ya ubinafsishaji wa bandari kwa DP world bila kusikilizwa na kuchambuliwa kwa kina kwa maoni ya wananchi, kumechora tafsiri halisi ya kupunjwa kwa ushirikishwaji wa wananchi katika kufanya maamuzi.
View attachment 2704180
Picha kutoka PA times

Kukiukwa kwa misingi ya utawala wa Sheria na kuongezeka kwa vitendo vya ufisadi na Rushwa; Yapo matukio tofauti tofauti yanayo dhihirisha ukiukwaji wa utawala wa sheria, ambapo viongozi wameonekana kujiingiza katika matendo yasio randana na sheria za nchi yetu, tunaweza kujikumbusha kupitia zuio la mikutano ya vyama vya siasa lililowekwa kinyume na sheria za vyama vya siasa. Kutofatwa kwa misingi ya utawala wa sheria kumesababisha kuongezeka kwa vitendo vya ufisadi, kwani wanao husishwa na vitendo hivyo wamekuwa wakitoa RUSHWA ili wasiwajibishwe na sheria kutochukua mkondo wake.
View attachment 2704183
Picha kutoka AdobeStock

NAMNA YA KUUENDEA UTATUZI WAKE ILI KUKUZA DHANA YA UTAWALA BORA KWA MANUFAA YA JAMII.

Uchambuzi wa makala hii umelenga kuleta utatuzi juu ya masuala yanayo zorotesha dhana ya utawala bora na kusimamisha nguzo ya utawala wenye tija katika jamii, ili jamii ipate kunufaika.

Kuundwa kwa mifumo ya uwajibishwaji wa viongozi; Mifumo hiyo inaweza kuwa, utunzi wa sheria ya kuwachukulia hatua viongozi wote wa umma wanaohusishwa na ufisadi kutoka katika ripoti ya mkaguzi wa hesabu za serikali (CAG) kama vile, kifungo cha maisha na kutaifishwa kwa mali za mshitakiwa wa makosa ya ufisadi. Mwaka 2021 ripoti ya CAG ilimtuhumu mkurugenzi mtendaji wa bandari kwa kumhusisha na ufisadi wa fedha za umma bilioni 3.7 na kuishiwa kusimamishwa kazi tu.
View attachment 2704187
Picha kutoka Daily News

Mabadiliko katika mitaala ya elimu, yenye kulenga kuwajenga vijana kuwa WAZALENDO; Vijana ndio nguzo na muelekeo wa leo na kesho ya taifa lolote duniani, taasisi za kielimu zinapaswa kuwalea vijana katika makuzi ya kizalendo, kuwafanya vijana kuwa viziwi wa kutosikia sauti zenye maudhui ya kupewa RUSHWA, vipofu wasioona ubora katika kujibinafsisha na kujilimbikizia mali za umma, viwete wasio weza kuuendea ufisadi na ubadhirifu wa mali ya umma, mbadala wake, wawe wakali pale rasilimali zao zinapoguswa na walowezi. Vilevile, taasisi za elimu ziweke somo la sheria kuwa la lazima, kwa lengo la kuwaandaa vijana kuwa weledi katika kuzielewa vyema sheria za nchi yao, hii itasaidia katika kudumisha ulinzi wa rasilimali na kuhuisha utawala wa sheria.
View attachment 2704191
Picha kutoka UNICEF

Matumizi ya sanaa katika kuchochea utawala bora; Mtawala mwenye maono ya kulifikisha taifa au taasisi katika nchi ya ahadi, iliyo na miti ya mitende, mito ya maziwa na harufu ya Haluwa, anapaswa kufanya uwekezaji mkubwa katika sanaa, kuwaondolea vikwazo vyote kwa wasanii wenye roho ya ujasiri wa kudadavua athari za uwajibikaji mbovu wa viongozi wa umma na kukosoa vikali vitendo vya RUSHWA na UFISADI kupitia kutanua na kuupigia chepeo UHURU WA KUJIELEZA. Hii itachangia katika kukuza utawala bora.
View attachment 2704193
Picha kutoka East Side Online

Kuundwa kwa mfumo wa kielektroniki unaoupa umma fursa ya kuweka maoni juu ya viwango vya utendaji na uwajibikaji wa viongozi wa umma; Mfumo huu utaweza kuonyesha utendaji wa viongozi kupitia viwango vilivyopendekezwa na umma, kiongozi ambae anaonekana kuwa na viwango vya chini zaidi anapaswa kuondolewa na kubadilisha kuweka mwingine ambae ataendana na kasi ya mahitaji ya wanajamii. Hii itachochea uwajibikaji wa viongozi wa umma.
View attachment 2704196
Picha kutoka Adobe Stock

Mwisho; Ili kudumisha utawala bora mahakama zinapaswa kuwa huru kupitia kupunguza mamlaka ya rais kuteua majaji, mbadala wake iundwe tume ya majaji kwaajili ya kuteua majaji.
Kwa mataifa mengi duniani, imekuwa kawaida watawala kutumia mifumo ya kiutawala inayokiuka misingi ya utawala bora. Katika kukuza na kudumisha utawala unao zingatia zaidi uhuru wa kujieleza, uhuru wa vyombo vya habari, uhuru wa mahakama, uwazi, haki na umoja, ushirikishwaji wa wananchi na utawala wa sheria, dhana ya uwajibikaji siyo ya KUEPUKIKA. Na hii ndio huchora tafsiri halisi ya dhana ya utawala bora.

Tanzania ni moja ya nchi zenye viashiria vya kudhoofika kwa misingi ya utawala wa sheria, uhuru wa kujieleza, uhuru wa mahakama, kusheheni kwa matukio ya ufisadi na rushwa, kukosekana kwa uwazi, uwajibikaji MBOVU wa viongozi wa umma, ushirikishwaji hafifu wa wananchi katika kuamua, kudhoofika kwa uhuru wa vyombo vya habari na kuzorota kwa umoja na haki unaotokana na migongano ya tofauti za kiitikadi. Uchambuzi huu utaenda kugusa moja kwa moja ni kwa namna gani mifumo ya uendeshaji wa kiutawala umekuwa ukikiuka misingi ya utawala bora, na namna ya kuuendea utatuzi wake ili kuhuisha na kusimika nguzo ya utawala bora.

Licha ya Tanzania kutumia mfumo endeshi wa kidemokrasia kama nyenzo kuu ya kupitia ili kudumisha utawala ambao unaitanabaisha serikali kuwa serikali ya watu, inayoipa mamlaka makubwa wananchi katika kufanya maamuzi, lakini bado imeonekana kuwa ni demokrasia iliyochujwa kutokana na ubabaishaji katika kufatwa kwa kanuni zake.

Mambo machache, yanayo dhoofisha utawala bora ni kama ifuatavyo;

Kudhoofu kwa uhuru wa vyombo vya habari; Tanzania imekuwa ikiingia katika ukakasi juu uhuru wa vyombo vya habari, ambapo umeonekana kuzorota kutokana na kujitokeza kwa matukio mbalimbali ambayo yamekuwa yakitishia usalama wa waandishi wa habari. Mwishoni mwa mwaka 2017, vichwa vya habari vya magazeti mbali mbali nchini, viliripoti taarifa ya kupotea katika mazingira ya kutatanisha kwa mwandishi machachari wa habari za uchunguzi aliyekuwa akihudumu katika gazeti la Mwananchi, ndugu Azory Gwanda. Matukio hayo yamekuwa yakiendelea kujitokeza ambapo waandishi wengine hasa wa habari za uchunguzi, kama Stan Katabalo, Daudi Mwangosi, Josephat Isango na Ben Sanaane kupotea na maisha yao kuwa katika mashaka. Waandishi hawa machachari wameonekana kuingia mashakani hasa baada ya kuonekana wakihoji juu ya utendaji na uwajibikaji wa viongozi wa umma. Kutungwa kwa sheria kandamizi za habari zinazowapa karaha waandishi wa habari na kufifisha utendaji na uwajibikaji wao katika kuuhabarisha umma. Mfano , sheria ya makosa ya kimtandao ya 2015 pamoja na kanuni za maudhui ya mtandaoni ya mwaka 2018.View attachment 2704166
Picha kutoka StockImages

Kuzorota kwa uwazi, uwajibikaji na ushirikishwaji wa wananchi: Kumekuwa na ushirikishwaji mdogo wa wananchi katika kushiriki kwenye shughuli za maendeleo ya nchi, kama vile ushiriki katika uundaji wa bajeti ya taifa, kama katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ilivyo ainisha katika ibara ya 8, vile vile kudogodeshwa kwa ushiriki wa umma katika kufanya maamuzi juu ya ulinzi na utunzaji wa rasilimali zao kumekuwa kukionyesha ukinzani baina ya watawala na dhana ya utawala bora. Mfano azimio la Bandari, na kuidhinishwa kwa makubaliano ya ubinafsishaji wa bandari kwa DP world bila kusikilizwa na kuchambuliwa kwa kina kwa maoni ya wananchi, kumechora tafsiri halisi ya kupunjwa kwa ushirikishwaji wa wananchi katika kufanya maamuzi.
View attachment 2704180
Picha kutoka PA times

Kukiukwa kwa misingi ya utawala wa Sheria na kuongezeka kwa vitendo vya ufisadi na Rushwa; Yapo matukio tofauti tofauti yanayo dhihirisha ukiukwaji wa utawala wa sheria, ambapo viongozi wameonekana kujiingiza katika matendo yasio randana na sheria za nchi yetu, tunaweza kujikumbusha kupitia zuio la mikutano ya vyama vya siasa lililowekwa kinyume na sheria za vyama vya siasa. Kutofatwa kwa misingi ya utawala wa sheria kumesababisha kuongezeka kwa vitendo vya ufisadi, kwani wanao husishwa na vitendo hivyo wamekuwa wakitoa RUSHWA ili wasiwajibishwe na sheria kutochukua mkondo wake.
View attachment 2704183
Picha kutoka AdobeStock

NAMNA YA KUUENDEA UTATUZI WAKE ILI KUKUZA DHANA YA UTAWALA BORA KWA MANUFAA YA JAMII.

Uchambuzi wa makala hii umelenga kuleta utatuzi juu ya masuala yanayo zorotesha dhana ya utawala bora na kusimamisha nguzo ya utawala wenye tija katika jamii, ili jamii ipate kunufaika.

Kuundwa kwa mifumo ya uwajibishwaji wa viongozi; Mifumo hiyo inaweza kuwa, utunzi wa sheria ya kuwachukulia hatua viongozi wote wa umma wanaohusishwa na ufisadi kutoka katika ripoti ya mkaguzi wa hesabu za serikali (CAG) kama vile, kifungo cha maisha na kutaifishwa kwa mali za mshitakiwa wa makosa ya ufisadi. Mwaka 2021 ripoti ya CAG ilimtuhumu mkurugenzi mtendaji wa bandari kwa kumhusisha na ufisadi wa fedha za umma bilioni 3.7 na kuishiwa kusimamishwa kazi tu.
View attachment 2704187
Picha kutoka Daily News

Mabadiliko katika mitaala ya elimu, yenye kulenga kuwajenga vijana kuwa WAZALENDO; Vijana ndio nguzo na muelekeo wa leo na kesho ya taifa lolote duniani, taasisi za kielimu zinapaswa kuwalea vijana katika makuzi ya kizalendo, kuwafanya vijana kuwa viziwi wa kutosikia sauti zenye maudhui ya kupewa RUSHWA, vipofu wasioona ubora katika kujibinafsisha na kujilimbikizia mali za umma, viwete wasio weza kuuendea ufisadi na ubadhirifu wa mali ya umma, mbadala wake, wawe wakali pale rasilimali zao zinapoguswa na walowezi. Vilevile, taasisi za elimu ziweke somo la sheria kuwa la lazima, kwa lengo la kuwaandaa vijana kuwa weledi katika kuzielewa vyema sheria za nchi yao, hii itasaidia katika kudumisha ulinzi wa rasilimali na kuhuisha utawala wa sheria.
View attachment 2704191
Picha kutoka UNICEF

Matumizi ya sanaa katika kuchochea utawala bora; Mtawala mwenye maono ya kulifikisha taifa au taasisi katika nchi ya ahadi, iliyo na miti ya mitende, mito ya maziwa na harufu ya Haluwa, anapaswa kufanya uwekezaji mkubwa katika sanaa, kuwaondolea vikwazo vyote kwa wasanii wenye roho ya ujasiri wa kudadavua athari za uwajibikaji mbovu wa viongozi wa umma na kukosoa vikali vitendo vya RUSHWA na UFISADI kupitia kutanua na kuupigia chepeo UHURU WA KUJIELEZA. Hii itachangia katika kukuza utawala bora.
View attachment 2704193
Picha kutoka East Side Online

Kuundwa kwa mfumo wa kielektroniki unaoupa umma fursa ya kuweka maoni juu ya viwango vya utendaji na uwajibikaji wa viongozi wa umma; Mfumo huu utaweza kuonyesha utendaji wa viongozi kupitia viwango vilivyopendekezwa na umma, kiongozi ambae anaonekana kuwa na viwango vya chini zaidi anapaswa kuondolewa na kubadilisha kuweka mwingine ambae ataendana na kasi ya mahitaji ya wanajamii. Hii itachochea uwajibikaji wa viongozi wa umma.
View attachment 2704196
Picha kutoka Adobe Stock

Mwisho; Ili kudumisha utawala bora mahakama zinapaswa kuwa huru kupitia kupunguza mamlaka ya rais kuteua majaji, mbadala wake iundwe tume ya majaji kwaajili ya kuteua majaji.
Anaandika Alimaliki H. Mokiwa.
Bado utaendelea kuwa mwandishi nguli na hii mi kutokana na uwasilishaji mzuri wa hoja katika mtiririko ulionyooka.

Kwa kiasi kikubwa andiko hili limegusa nyanja mahususi na dhana nzima ya utawala bora.

Kongole kwako kijana natumaini wana JF wanajivunia uhodari huu wa vijana wenye ubunifu mzuri wa mantiki kuelekea ukombozi wa fikra katika mataifa yetu.

Itoshe tu kusema upewe maua yako kijana katika taaluma ya uandishi.
 
Anaandika Alimaliki H. Mokiwa.
Bado utaendelea kuwa mwandishi nguli na hii mi kutokana na uwasilishaji mzuri wa hoja katika mtiririko ulionyooka.

Kwa kiasi kikubwa andiko hili limegusa nyanja mahususi na dhana nzima ya utawala bora.

Kongole kwako kijana natumaini wana JF wanajivunia uhodari huu wa vijana wenye ubunifu mzuri wa mantiki kuelekea ukombozi wa fikra katika mataifa yetu.

Itoshe tu kusema upewe maua yako kijana katika taaluma ya uandishi.
Kaka umesema point hapo.

Itoshe tu kusema apewe maua yeke kwa kweli atakua amesoma utawala huyu na kama hasomi basi ni mtawala mahali.

Anaona mbali๐Ÿ“Œ
 
Kwa mataifa mengi duniani, imekuwa kawaida watawala kutumia mifumo ya kiutawala inayokiuka misingi ya utawala bora. Katika kukuza na kudumisha utawala unao zingatia zaidi uhuru wa kujieleza, uhuru wa vyombo vya habari, uhuru wa mahakama, uwazi, haki na umoja, ushirikishwaji wa wananchi na utawala wa sheria, dhana ya uwajibikaji siyo ya KUEPUKIKA. Na hii ndio huchora tafsiri halisi ya dhana ya utawala bora.

Tanzania ni moja ya nchi zenye viashiria vya kudhoofika kwa misingi ya utawala wa sheria, uhuru wa kujieleza, uhuru wa mahakama, kusheheni kwa matukio ya ufisadi na rushwa, kukosekana kwa uwazi, uwajibikaji MBOVU wa viongozi wa umma, ushirikishwaji hafifu wa wananchi katika kuamua, kudhoofika kwa uhuru wa vyombo vya habari na kuzorota kwa umoja na haki unaotokana na migongano ya tofauti za kiitikadi. Uchambuzi huu utaenda kugusa moja kwa moja ni kwa namna gani mifumo ya uendeshaji wa kiutawala umekuwa ukikiuka misingi ya utawala bora, na namna ya kuuendea utatuzi wake ili kuhuisha na kusimika nguzo ya utawala bora.

Licha ya Tanzania kutumia mfumo endeshi wa kidemokrasia kama nyenzo kuu ya kupitia ili kudumisha utawala ambao unaitanabaisha serikali kuwa serikali ya watu, inayoipa mamlaka makubwa wananchi katika kufanya maamuzi, lakini bado imeonekana kuwa ni demokrasia iliyochujwa kutokana na ubabaishaji katika kufatwa kwa kanuni zake.

Mambo machache, yanayo dhoofisha utawala bora ni kama ifuatavyo;

Kudhoofu kwa uhuru wa vyombo vya habari; Tanzania imekuwa ikiingia katika ukakasi juu uhuru wa vyombo vya habari, ambapo umeonekana kuzorota kutokana na kujitokeza kwa matukio mbalimbali ambayo yamekuwa yakitishia usalama wa waandishi wa habari. Mwishoni mwa mwaka 2017, vichwa vya habari vya magazeti mbali mbali nchini, viliripoti taarifa ya kupotea katika mazingira ya kutatanisha kwa mwandishi machachari wa habari za uchunguzi aliyekuwa akihudumu katika gazeti la Mwananchi, ndugu Azory Gwanda. Matukio hayo yamekuwa yakiendelea kujitokeza ambapo waandishi wengine hasa wa habari za uchunguzi, kama Stan Katabalo, Daudi Mwangosi, Josephat Isango na Ben Sanaane kupotea na maisha yao kuwa katika mashaka. Waandishi hawa machachari wameonekana kuingia mashakani hasa baada ya kuonekana wakihoji juu ya utendaji na uwajibikaji wa viongozi wa umma. Kutungwa kwa sheria kandamizi za habari zinazowapa karaha waandishi wa habari na kufifisha utendaji na uwajibikaji wao katika kuuhabarisha umma. Mfano , sheria ya makosa ya kimtandao ya 2015 pamoja na kanuni za maudhui ya mtandaoni ya mwaka 2018.View attachment 2704166
Picha kutoka StockImages

Kuzorota kwa uwazi, uwajibikaji na ushirikishwaji wa wananchi: Kumekuwa na ushirikishwaji mdogo wa wananchi katika kushiriki kwenye shughuli za maendeleo ya nchi, kama vile ushiriki katika uundaji wa bajeti ya taifa, kama katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ilivyo ainisha katika ibara ya 8, vile vile kudogodeshwa kwa ushiriki wa umma katika kufanya maamuzi juu ya ulinzi na utunzaji wa rasilimali zao kumekuwa kukionyesha ukinzani baina ya watawala na dhana ya utawala bora. Mfano azimio la Bandari, na kuidhinishwa kwa makubaliano ya ubinafsishaji wa bandari kwa DP world bila kusikilizwa na kuchambuliwa kwa kina kwa maoni ya wananchi, kumechora tafsiri halisi ya kupunjwa kwa ushirikishwaji wa wananchi katika kufanya maamuzi.
View attachment 2704180
Picha kutoka PA times

Kukiukwa kwa misingi ya utawala wa Sheria na kuongezeka kwa vitendo vya ufisadi na Rushwa; Yapo matukio tofauti tofauti yanayo dhihirisha ukiukwaji wa utawala wa sheria, ambapo viongozi wameonekana kujiingiza katika matendo yasio randana na sheria za nchi yetu, tunaweza kujikumbusha kupitia zuio la mikutano ya vyama vya siasa lililowekwa kinyume na sheria za vyama vya siasa. Kutofatwa kwa misingi ya utawala wa sheria kumesababisha kuongezeka kwa vitendo vya ufisadi, kwani wanao husishwa na vitendo hivyo wamekuwa wakitoa RUSHWA ili wasiwajibishwe na sheria kutochukua mkondo wake.
View attachment 2704183
Picha kutoka AdobeStock

NAMNA YA KUUENDEA UTATUZI WAKE ILI KUKUZA DHANA YA UTAWALA BORA KWA MANUFAA YA JAMII.

Uchambuzi wa makala hii umelenga kuleta utatuzi juu ya masuala yanayo zorotesha dhana ya utawala bora na kusimamisha nguzo ya utawala wenye tija katika jamii, ili jamii ipate kunufaika.

Kuundwa kwa mifumo ya uwajibishwaji wa viongozi; Mifumo hiyo inaweza kuwa, utunzi wa sheria ya kuwachukulia hatua viongozi wote wa umma wanaohusishwa na ufisadi kutoka katika ripoti ya mkaguzi wa hesabu za serikali (CAG) kama vile, kifungo cha maisha na kutaifishwa kwa mali za mshitakiwa wa makosa ya ufisadi. Mwaka 2021 ripoti ya CAG ilimtuhumu mkurugenzi mtendaji wa bandari kwa kumhusisha na ufisadi wa fedha za umma bilioni 3.7 na kuishiwa kusimamishwa kazi tu.
View attachment 2704187
Picha kutoka Daily News

Mabadiliko katika mitaala ya elimu, yenye kulenga kuwajenga vijana kuwa WAZALENDO; Vijana ndio nguzo na muelekeo wa leo na kesho ya taifa lolote duniani, taasisi za kielimu zinapaswa kuwalea vijana katika makuzi ya kizalendo, kuwafanya vijana kuwa viziwi wa kutosikia sauti zenye maudhui ya kupewa RUSHWA, vipofu wasioona ubora katika kujibinafsisha na kujilimbikizia mali za umma, viwete wasio weza kuuendea ufisadi na ubadhirifu wa mali ya umma, mbadala wake, wawe wakali pale rasilimali zao zinapoguswa na walowezi. Vilevile, taasisi za elimu ziweke somo la sheria kuwa la lazima, kwa lengo la kuwaandaa vijana kuwa weledi katika kuzielewa vyema sheria za nchi yao, hii itasaidia katika kudumisha ulinzi wa rasilimali na kuhuisha utawala wa sheria.
View attachment 2704191
Picha kutoka UNICEF

Matumizi ya sanaa katika kuchochea utawala bora; Mtawala mwenye maono ya kulifikisha taifa au taasisi katika nchi ya ahadi, iliyo na miti ya mitende, mito ya maziwa na harufu ya Haluwa, anapaswa kufanya uwekezaji mkubwa katika sanaa, kuwaondolea vikwazo vyote kwa wasanii wenye roho ya ujasiri wa kudadavua athari za uwajibikaji mbovu wa viongozi wa umma na kukosoa vikali vitendo vya RUSHWA na UFISADI kupitia kutanua na kuupigia chepeo UHURU WA KUJIELEZA. Hii itachangia katika kukuza utawala bora.
View attachment 2704193
Picha kutoka East Side Online

Kuundwa kwa mfumo wa kielektroniki unaoupa umma fursa ya kuweka maoni juu ya viwango vya utendaji na uwajibikaji wa viongozi wa umma; Mfumo huu utaweza kuonyesha utendaji wa viongozi kupitia viwango vilivyopendekezwa na umma, kiongozi ambae anaonekana kuwa na viwango vya chini zaidi anapaswa kuondolewa na kubadilisha kuweka mwingine ambae ataendana na kasi ya mahitaji ya wanajamii. Hii itachochea uwajibikaji wa viongozi wa umma.
View attachment 2704196
Picha kutoka Adobe Stock

Mwisho; Ili kudumisha utawala bora mahakama zinapaswa kuwa huru kupitia kupunguza mamlaka ya rais kuteua majaji, mbadala wake iundwe tume ya majaji kwaajili ya kuteua majaji.
Heeh kumbe Kuna kupiga na kura๐Ÿค”๐Ÿค”


Yangu naweza hapa...... Like yangu naweka hapa..... Comment zangu nadondosha hapa.....

Mokiwa umetisha

Jamani nani anapinga hili?? ๐Ÿ˜๐Ÿ˜Ž
 
S
Hiki ni kitu ambacho kila msomi aliehai na mpenda maendeleo anapaswa kukifahamu, hongera sana kwa kuzidi kutukumbusha. Chapisho bora lamw

Ahsante sana kwa andiko zuri na mtiririko mzuri wa mawazo, hope it gonna be helpful to our society.

Ahsante sana kwa andiko zuri na mtiririko mzuri wa mawazo, hope it gonna be helpful to our society.

Andiko hili limesheheni mengi Sana ya kujifunza, kongole kwa mwandishi hakika umepangilia andiko kimantiki na mtiririko mzuri ambao unamvutia msomaji kusoma na kuelewa madini yaliyo ktk uzi huo
Shukrani sana. Ubarikiwe๐Ÿ™
Anaandika Alimaliki H. Mokiwa.
Bado utaendelea kuwa mwandishi nguli na hii mi kutokana na uwasilishaji mzuri wa hoja katika mtiririko ulionyooka.

Kwa kiasi kikubwa andiko hili limegusa nyanja mahususi na dhana nzima ya utawala bora.

Kongole kwako kijana natumaini wana JF wanajivunia uhodari huu wa vijana wenye ubunifu mzuri wa mantiki kuelekea ukombozi wa fikra katika mataifa yetu.

Itoshe tu kusema upewe maua yako kijana katika taaluma ya uandishi.
Ahsante sana๐Ÿ™
 
Andiko lako ni zuri sana nimelipenda limekaa kisomi na mpangilio wako wa hoja umekaa vizuri sanaa matumizi ya lugha rahisi na picha inatengeneza uelewa mpana zaidi kwetu sisi tuliosoma.

Hongera sana Mr Almalick Mokiwa una kitu utafika mbali, tutembee na hili andiko tutaleta mabadiliko makubwa kwenye jamii na Kutengeneza utawala bora wenye tija na unaoleta maendeleo kwa jamii.
๐Ÿ‘๐Ÿ‘๐Ÿ‘๐Ÿ‘๐Ÿ‘๐Ÿ‘๐Ÿ‘
Ubarikiwe sana. Shukrani mno๐Ÿ™
 
Back
Top Bottom