Mahotera
JF-Expert Member
- Mar 20, 2014
- 664
- 1,667
Kikwete Mzanzibari? Ubaguzi upo tu kila sehemu.Hao Wazee wa Mchambawima noma. Kama wanaweza kubaguana wao kwa wao mara huyu Hizbu huyu chotara sembuse wewe Msukuma wa Kisesa tena Muefeso?
Mbona alimbagua Dr. Salim Ahmed Salim kwa kisingizio cha Uhizbu tena hiyo ni baada ya Dr. Salim kushika nyadhifa nyeti kadhaa kitaifa na Kimataifa?!!