Kazini nanyanyasika sana. Pamoja na kuwa nina jina ambalo si la kikafir ila ubara wangu umekuwa kama kikwazo kwao.
Hapa mimi nmekuja kufanya kazi na ninajituma kiasi kuna wakati Boss anasema bila kuficha kuwa mimi ni mchapa kazi mzuri. Sina ukaribu naye yeye ni Raia wa kigeni. Anaona kazi zangu.
Nimetoka Dar tena nlikuwa naishi kwa sister... Imagine. Nije kupiga kazi. Huku nanyanyasika sana. Wanasema nataka ufanyakazi bora.... Wanasema najipendekeza kwa wakubwa nionekane.
Basi imekuwa ni maneno tu kwa hawa jamaa. Likitokea jambo tu utasikia "atakuwa huyo Mbara" kila jambo baya linahusishwa na mimi. Kuna siku mtu ka misplace simu yake akawa haioni. Anatafuta wanaongea kwa sauti kuwa wao huwa hawana hizo tabia atakuwa ni mtu mgeni ndo kaiba simu.
Bahati nzuri yule bwana alikuja ikuta simu yake kwenye gari lake chini ya seat kwa maelezo yake. Ila ilishaonekana kuwa mimi mbara ndo nitakuwa nimeiba. Binafsi sina tabia za wizi.
Jamaa wananinyanyasa, wananibagua waziwazi. Lakini nawaza jinsi ambavyo wapemba wanaishi nasi huku Bara. Wanaishi bila bugudha yoyote. Hawanyanyaswi wala kubughudhiwa.
Najua wanataka mwishowe niachie ngazi. Nami nawaambia naendelea kupiga kazi. Ila.... Watakuja home pia. Wanaamini katika haki nami ni muumini mzuri wa haki. Tutakutana tu.
Suluhisho la janga hili la Muungano ni aidha uvunjwe ili Kila upande ubaki na hamsini zake au ubadilishwe na uwe wa Serikali moja tu, sambamba na kubadioisha mfumo wote wa uendeshaji wa Serikali uliopo hivi Sasa pomoja na kubadilisha Sheria za umiliki wa ardhi. Watangabyika wengi wahamasishwe ili kwenda kumiliki ardhi ya Zanzibar. Aidha, Serikali ianzishe Mpango maalumu wa kuwahamishia Wafanyakazi wa Tanganyika kwenda kufanyakazi Zanzibar na Wafanyakazi Wazanzibari kuhamishiwa Tanganyika ili kufuta dhana ya Uzanzibari kutoka akilini mwao.Ishu ni kuvunja muungano na kututeka huto tuvisiwa na kuifanya nchi moja tubaki kuwa mkoa....
Nasi huku bara kila ushoga tuseme ni wazanzibari hao.Kazini nanyanyasika sana. Pamoja na kuwa nina jina ambalo si la kikafir ila ubara wangu umekuwa kama kikwazo kwao.
Hapa mimi nmekuja kufanya kazi na ninajituma kiasi kuna wakati Boss anasema bila kuficha kuwa mimi ni mchapa kazi mzuri. Sina ukaribu naye yeye ni Raia wa kigeni. Anaona kazi zangu.
Nimetoka Dar tena nlikuwa naishi kwa sister... Imagine. Nije kupiga kazi. Huku nanyanyasika sana. Wanasema nataka ufanyakazi bora.... Wanasema najipendekeza kwa wakubwa nionekane.
Basi imekuwa ni maneno tu kwa hawa jamaa. Likitokea jambo tu utasikia "atakuwa huyo Mbara" kila jambo baya linahusishwa na mimi. Kuna siku mtu ka misplace simu yake akawa haioni. Anatafuta wanaongea kwa sauti kuwa wao huwa hawana hizo tabia atakuwa ni mtu mgeni ndo kaiba simu.
Bahati nzuri yule bwana alikuja ikuta simu yake kwenye gari lake chini ya seat kwa maelezo yake. Ila ilishaonekana kuwa mimi mbara ndo nitakuwa nimeiba. Binafsi sina tabia za wizi.
Jamaa wananinyanyasa, wananibagua waziwazi. Lakini nawaza jinsi ambavyo wapemba wanaishi nasi huku Bara. Wanaishi bila bugudha yoyote. Hawanyanyaswi wala kubughudhiwa.
Najua wanataka mwishowe niachie ngazi. Nami nawaambia naendelea kupiga kazi. Ila.... Watakuja home pia. Wanaamini katika haki nami ni muumini mzuri wa haki. Tutakutana tu.
Kwa hio aache kibarua chake kwa sababu ya majungu ? Binadamu ndo tulivyo hatuna jema ,,, afanye majukumu yake na kuweka malengo yake sawaInaonyesha wewe ni mtu wa ajabu sana mkuu
Hayo manyanyaso yategemee kwa sana. Unajua tangu Samia ameingia madarakani, Zanzibar imejengeka kiuchumi. Athari zake ni Watu wengi kutoka Bara, kujimwaga Zenji.Kazini nanyanyasika sana. Pamoja na kuwa nina jina ambalo si la kikafir ila ubara wangu umekuwa kama kikwazo kwao.
Hapa mimi nmekuja kufanya kazi na ninajituma kiasi kuna wakati Boss anasema bila kuficha kuwa mimi ni mchapa kazi mzuri. Sina ukaribu naye yeye ni Raia wa kigeni. Anaona kazi zangu.
Nimetoka Dar tena nlikuwa naishi kwa sister... Imagine. Nije kupiga kazi. Huku nanyanyasika sana. Wanasema nataka ufanyakazi bora.... Wanasema najipendekeza kwa wakubwa nionekane.
Basi imekuwa ni maneno tu kwa hawa jamaa. Likitokea jambo tu utasikia "atakuwa huyo Mbara" kila jambo baya linahusishwa na mimi. Kuna siku mtu ka misplace simu yake akawa haioni. Anatafuta wanaongea kwa sauti kuwa wao huwa hawana hizo tabia atakuwa ni mtu mgeni ndo kaiba simu.
Bahati nzuri yule bwana alikuja ikuta simu yake kwenye gari lake chini ya seat kwa maelezo yake. Ila ilishaonekana kuwa mimi mbara ndo nitakuwa nimeiba. Binafsi sina tabia za wizi.
Jamaa wananinyanyasa, wananibagua waziwazi. Lakini nawaza jinsi ambavyo wapemba wanaishi nasi huku Bara. Wanaishi bila bugudha yoyote. Hawanyanyaswi wala kubughudhiwa.
Najua wanataka mwishowe niachie ngazi. Nami nawaambia naendelea kupiga kazi. Ila.... Watakuja home pia. Wanaamini katika haki nami ni muumini mzuri wa haki. Tutakutana tu.
acha ushamba wewe..Ukiishi nchi z watu lazima upapende kwenu
Mie nikakutana na mzungu lazima nimzingue
Makaburi pale ukiingia ndani huko wamejazana hatari.Hao huku kigamboni wamejazana kama pemba
tatizo vitu vikipotea anaambiwa unawezaje kupotezea tuhuma zinazoua brand au zinaweza kukutia nguvuni au hata kuchomwa motoPiga kazi mkuu acha waongee we pambana tu.
Alafu naomba kuuliza swali, wewe ni mwanaume au mwanamke.
Sent from my Infinix X6511B using JamiiForums mobile app
Acha uteseke maana umesema huna jina la kikafiri. Inaelekea wewe mwenyewe ni muomini wa ubaguzi kwani unaona hao wenye majina ya makafiri ndio wanastahili kubaguliwa. Ujue hakuna sababu ya kumbagua binadamu mwenzako kwa lolote iwe dini au kabila. Basi wewe kula hiyo sumu ya ubaguzi bila kinyongo.Kazini nanyanyasika sana. Pamoja na kuwa nina jina ambalo si la kikafir ila ubara wangu umekuwa kama kikwazo kwao.
Hapa mimi nmekuja kufanya kazi na ninajituma kiasi kuna wakati Boss anasema bila kuficha kuwa mimi ni mchapa kazi mzuri. Sina ukaribu naye yeye ni Raia wa kigeni. Anaona kazi zangu.
Nimetoka Dar tena nlikuwa naishi kwa sister... Imagine. Nije kupiga kazi. Huku nanyanyasika sana. Wanasema nataka ufanyakazi bora.... Wanasema najipendekeza kwa wakubwa nionekane.
Basi imekuwa ni maneno tu kwa hawa jamaa. Likitokea jambo tu utasikia "atakuwa huyo Mbara" kila jambo baya linahusishwa na mimi. Kuna siku mtu ka misplace simu yake akawa haioni. Anatafuta wanaongea kwa sauti kuwa wao huwa hawana hizo tabia atakuwa ni mtu mgeni ndo kaiba simu.
Bahati nzuri yule bwana alikuja ikuta simu yake kwenye gari lake chini ya seat kwa maelezo yake. Ila ilishaonekana kuwa mimi mbara ndo nitakuwa nimeiba. Binafsi sina tabia za wizi.
Jamaa wananinyanyasa, wananibagua waziwazi. Lakini nawaza jinsi ambavyo wapemba wanaishi nasi huku Bara. Wanaishi bila bugudha yoyote. Hawanyanyaswi wala kubughudhiwa.
Najua wanataka mwishowe niachie ngazi. Nami nawaambia naendelea kupiga kazi. Ila.... Watakuja home pia. Wanaamini katika haki nami ni muumini mzuri wa haki. Tutakutana tu.
Walikufanya nini Mkuu, mbona hasira nyingi sana!Pole sana wazanzibar ni wa binafsi sana na wabaguzi namba moja halafu ni mabingwa wa kujihesabia haki wanajiona wao si wadhambi wakati ushetani umewajaa