mwanamichakato
JF-Expert Member
- Mar 20, 2015
- 902
- 718
Mamlaka ya mapato Tanzania ni chombo muhimu sana ktk kuijenga nchi kisiasa, kiuchumi, kijamii na kiutamaduni. TRA wana majukumu makubwa ya kukusanya mapato ili kufanikisha ulipaji wa gharama mbalimbali Za kuendesha Serikali (Matumizi,Miradi,Ulipaji madeni yanayokopwa nje na ndani).
Kimsingi sheria Za kodi za Tanzania ni photocopy ya sheria Za kodi toka ktk mataifa yaliondelea kiuchumi kama Uingereza hivyo ni sheria ngumu kwa kuzingatia utofauti wa mifumo ya kiuchumi,Elimu na uwezeshaji.
Miaka michache iliopita Wafanyabiashara,wajasiliamali na Wawekezaji walipitia kwenye ubatizo wa moto kutokana na approach Za ubabe, maguvu. Vilivyoenda sambamba na Uporaji mali,Rushwa na ukosefu wa uadirifu,Makadirio kandamizi.
Maafisa wengi wa TRA na wengine kupitia TASK FORCE walitajirika sana kupitia ukandamizaji,Unyongaji biashara,Uharamia wa kimamlaka..Ufungaji biashara,Ukwapuaji fedha kwenye akaunti za wafanyabiashara. Michakato hii ilipekekea wafanyabiashara wengi kufirisika,kufunga biashara,kujiua,Kukimbia nchi,Kuhamisha biashara na uwekezaji wao.
Mambo yamerudi yamerudi upya sasa..Maafisa kodi,Mameneja na waandamizi wamevaa koti na mavazi mapya ya Tax force. Wafanyabiashara wameanza kuishi kama digidigi, hofu, wasiwasi, huzuni na kukosa tumaini. Maafisa wamegeuka miungu watu. Mfanyabiashara anaamka anakuta EFD zimefungwa,akaunti zimezuiwa.
Kimsingi ktk makusanyo yanayofanyika,Wafanyakazi wasio waadirifu wana chukua robo na zaidi ya mapato kupitia Rushwa na mirungura. Ndio maana wengi wa watumishi ktk TRA wanaishi na kufanya uwekezaji mkubwa (Majumba, Magari, Apartments, Mitambo, Shares, Bonds, Extravagants life) kinyume na uhakisia wa vipato halali. Wengi wanafanya uwekezaji haramu na kutakatisha fedha kupitia ndugu,jamaa,marafiki kukwepa mikono ya dola na kujulikana.
Simu zinapigwa asubuhi,Mchana na jioni..akifika anapewa mkeka wa makadirio Vitisho, usumbufu, ubabe. Mwisho wa siku Rushwa, Mirungura, Vilio.
NINI KIFANYIKE
1: TRA lazima wapanue na kuongeza wigo wa walipa kodi (TRA must widen Tax base).Hili litasaidia sana kuepusha ku suffocate biashara chache zilizopo kwa kuzingatia idadi ya watu na mahitaji ya nchi sasa na baadae.
2: Wafanyakazi waongezwe, TRA is advised to recruit more staff to facilitate down top approach compliance sensitization. TRA inahitaji taaluma mtambuka kusaidia ktk kujenga mahusiano, kuelimisha, ni wakati wa kuwa na Relationship Officers, Relationship Managers, Transformations Officers, Business Advisors, Commercial Consultants. Wenye wigo wa kusaidia weredi ktk compliances badala ya kuwa wakusanya madeni kama Yono au Majembe, Adili..Court brokers..
Wafanyabiashara ni business partners/Affilliates wa nchi,TRA. Sio wezi, Majambazi, Maharamia. They deserve respect, honour, proffessional treatments. Consultative approached zitumike kudai kodi.
3: Review employee rotational strategy. Wafanyakazi wanakua aggressive kuomba na kupokea rushwa pindi wakihamishiwa kwenye vitengo vyenye fulsa dhidi ya vitengo/kanda/Mikoa mikavu.
4:SHERIA ZA KODI ZIFANYIWE MAREKEBISHO ILI KUENDANA NA UHALISIA WA BIASHARA NA MAZINGIRA YA NCHI. Mfano, VAT, PAYEE, SDL, Corporate Tax, Income Tax.
5: Corporate Tax ishushwe kufikia 20% ili kuwezesha ukuaji wa biashara,makampuni,uwekezaji.
6: Kuwe na Category rasmi za kibiashara ktk mifumo ya kodi na kodi zitofautiane. SME, Large Enterprises, Congromerates. Multinational Enterprises, Foreign State Owned Enterprises.
7: Kutokana na unyeti wa kazi ya ukusanyaji mapato na kulindima kwa vitendovya matumizi mabaya ya madaraka,Rushwa na Ufisadi kuundwe idara maaalumu ya ufuatiliaji wa maadili wa watumishi wa TRA nje ya mfumo wa TRA. Ama kuwe na vitengo ktk taasisi kama JWTZ, TAKUKURU ,DPP, etc.
8: Taratibu za kisheria (Mahakama) zifuatwe ktk utekelezaji wa maamuzi ya kufunga biashara,Kufunga Akaunti,Uchotaji fedha toka kwenye akaunti za wafanyabiashara kwa maguvu na ubabe.
9: Consultative Approach zitumike kuwajenga,Kuwasaidia na kuwainua wafanyabiashara ili kuwafanya kuwa more compliants (Voluntary)..Wakue ktk viwango vya ulipaji,waneemeke na kazi wafanyazo..Biashara sio mateso,jehanamu..
10:Misamaha ya kodi zisizolipika itolewe kusaidia kufufua biashara zinazokufa sababu ya malimbikizo makubwa ya kodi,penati na faini..Tuinue uchumi,Tukuze uchumi..
11:Tax incentives na Tax Holidays kwa SME..
12:Mikopo isio ya Lazima isikopwe na wanasiasa kuepuka mzigo mkubwa kwa walipa kodi wachache..Tukope kwenye miradi yenye tija endelevu..Sio miradi ya kisiasa..Makamishna wa kodi wawepo kwenye team za ukopaji kusaidia kutetea na kupigania uhalisia wa viwango na mizigo ya ulipaji..
13:Nguvu kubwa mnoo itumike kwenye kudhibiti upotevu wa mapato kupitia taasisi mbalimbali (CAG report).Hatua kali zichukuliwe kuwatia moyo wafanyakazi na wafanyabiashara wanao kosa usingizi kufanya biashara kwa jasho na damu ili kulipa kodi..
Kimsingi sheria Za kodi za Tanzania ni photocopy ya sheria Za kodi toka ktk mataifa yaliondelea kiuchumi kama Uingereza hivyo ni sheria ngumu kwa kuzingatia utofauti wa mifumo ya kiuchumi,Elimu na uwezeshaji.
Miaka michache iliopita Wafanyabiashara,wajasiliamali na Wawekezaji walipitia kwenye ubatizo wa moto kutokana na approach Za ubabe, maguvu. Vilivyoenda sambamba na Uporaji mali,Rushwa na ukosefu wa uadirifu,Makadirio kandamizi.
Maafisa wengi wa TRA na wengine kupitia TASK FORCE walitajirika sana kupitia ukandamizaji,Unyongaji biashara,Uharamia wa kimamlaka..Ufungaji biashara,Ukwapuaji fedha kwenye akaunti za wafanyabiashara. Michakato hii ilipekekea wafanyabiashara wengi kufirisika,kufunga biashara,kujiua,Kukimbia nchi,Kuhamisha biashara na uwekezaji wao.
Mambo yamerudi yamerudi upya sasa..Maafisa kodi,Mameneja na waandamizi wamevaa koti na mavazi mapya ya Tax force. Wafanyabiashara wameanza kuishi kama digidigi, hofu, wasiwasi, huzuni na kukosa tumaini. Maafisa wamegeuka miungu watu. Mfanyabiashara anaamka anakuta EFD zimefungwa,akaunti zimezuiwa.
Kimsingi ktk makusanyo yanayofanyika,Wafanyakazi wasio waadirifu wana chukua robo na zaidi ya mapato kupitia Rushwa na mirungura. Ndio maana wengi wa watumishi ktk TRA wanaishi na kufanya uwekezaji mkubwa (Majumba, Magari, Apartments, Mitambo, Shares, Bonds, Extravagants life) kinyume na uhakisia wa vipato halali. Wengi wanafanya uwekezaji haramu na kutakatisha fedha kupitia ndugu,jamaa,marafiki kukwepa mikono ya dola na kujulikana.
Simu zinapigwa asubuhi,Mchana na jioni..akifika anapewa mkeka wa makadirio Vitisho, usumbufu, ubabe. Mwisho wa siku Rushwa, Mirungura, Vilio.
NINI KIFANYIKE
1: TRA lazima wapanue na kuongeza wigo wa walipa kodi (TRA must widen Tax base).Hili litasaidia sana kuepusha ku suffocate biashara chache zilizopo kwa kuzingatia idadi ya watu na mahitaji ya nchi sasa na baadae.
2: Wafanyakazi waongezwe, TRA is advised to recruit more staff to facilitate down top approach compliance sensitization. TRA inahitaji taaluma mtambuka kusaidia ktk kujenga mahusiano, kuelimisha, ni wakati wa kuwa na Relationship Officers, Relationship Managers, Transformations Officers, Business Advisors, Commercial Consultants. Wenye wigo wa kusaidia weredi ktk compliances badala ya kuwa wakusanya madeni kama Yono au Majembe, Adili..Court brokers..
Wafanyabiashara ni business partners/Affilliates wa nchi,TRA. Sio wezi, Majambazi, Maharamia. They deserve respect, honour, proffessional treatments. Consultative approached zitumike kudai kodi.
3: Review employee rotational strategy. Wafanyakazi wanakua aggressive kuomba na kupokea rushwa pindi wakihamishiwa kwenye vitengo vyenye fulsa dhidi ya vitengo/kanda/Mikoa mikavu.
4:SHERIA ZA KODI ZIFANYIWE MAREKEBISHO ILI KUENDANA NA UHALISIA WA BIASHARA NA MAZINGIRA YA NCHI. Mfano, VAT, PAYEE, SDL, Corporate Tax, Income Tax.
5: Corporate Tax ishushwe kufikia 20% ili kuwezesha ukuaji wa biashara,makampuni,uwekezaji.
6: Kuwe na Category rasmi za kibiashara ktk mifumo ya kodi na kodi zitofautiane. SME, Large Enterprises, Congromerates. Multinational Enterprises, Foreign State Owned Enterprises.
7: Kutokana na unyeti wa kazi ya ukusanyaji mapato na kulindima kwa vitendovya matumizi mabaya ya madaraka,Rushwa na Ufisadi kuundwe idara maaalumu ya ufuatiliaji wa maadili wa watumishi wa TRA nje ya mfumo wa TRA. Ama kuwe na vitengo ktk taasisi kama JWTZ, TAKUKURU ,DPP, etc.
8: Taratibu za kisheria (Mahakama) zifuatwe ktk utekelezaji wa maamuzi ya kufunga biashara,Kufunga Akaunti,Uchotaji fedha toka kwenye akaunti za wafanyabiashara kwa maguvu na ubabe.
9: Consultative Approach zitumike kuwajenga,Kuwasaidia na kuwainua wafanyabiashara ili kuwafanya kuwa more compliants (Voluntary)..Wakue ktk viwango vya ulipaji,waneemeke na kazi wafanyazo..Biashara sio mateso,jehanamu..
10:Misamaha ya kodi zisizolipika itolewe kusaidia kufufua biashara zinazokufa sababu ya malimbikizo makubwa ya kodi,penati na faini..Tuinue uchumi,Tukuze uchumi..
11:Tax incentives na Tax Holidays kwa SME..
12:Mikopo isio ya Lazima isikopwe na wanasiasa kuepuka mzigo mkubwa kwa walipa kodi wachache..Tukope kwenye miradi yenye tija endelevu..Sio miradi ya kisiasa..Makamishna wa kodi wawepo kwenye team za ukopaji kusaidia kutetea na kupigania uhalisia wa viwango na mizigo ya ulipaji..
13:Nguvu kubwa mnoo itumike kwenye kudhibiti upotevu wa mapato kupitia taasisi mbalimbali (CAG report).Hatua kali zichukuliwe kuwatia moyo wafanyakazi na wafanyabiashara wanao kosa usingizi kufanya biashara kwa jasho na damu ili kulipa kodi..