Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 81,320
- 94,247
TRA waongeze kiwango cha kodi mpk tupate akili
Kama wananchi hawajui haki zao dawa yao ni kuwabambika kodi zaidiMnyororo wa rushwa ni mrefu sana.. Senior officers/Managers wa leo walikuwa juniors miaka 10 iliopita..vivo hivyo Commisdioners na deputies..
Chukua chako mapema.. Mfumo wa kulindana mwanzo mwisho..
Mabadiriko yanawezekana..Hakuna lisilowezekana
DuhTRA waongeze kiwango cha kodi mpk tupate akili
Hata ukikosoa kwani wana sikia?Duh
Wenye ufahamu ni wakati wa kufanya maamuzi ya kuingia kwenye Ulingo wa kuijenga nchi kupitia vyombo vya maamuzi..
Lakini Kwa uzalendo mkubwa tusisite kukosoa na kushauri Kwa stays kupitia majukwaa Kama haya..
Hatupaswi kuishia kulalamika kwenye mitandao na kuwaachia wasio na uwezo wa kuona mbali (Waliochoka kifikra,mbinu) wakifanya maamuzi au kutunga sheria wasizojua athari zake Kwa Taifa na kuishia kudumaza maendeleo endelevu..
Kama wananchi hawajui haki zao dawa yao ni kuwabambika kodi zaidi
Shida ni nani wa kumfunga nani kengere,kila mtu anataka green light katika maisha,kila mtu anataka maisha murua,Kazi iendeleeTRA ivunjwe ibaki halmashauri
Hata ukikosoa kwani wana sikia?
Shida ni nani wa kumfunga nani kengere,kila mtu anataka green light katika maisha,kila mtu anataka maisha murua,Kazi iendelee
TRA wanaweza nifanya nikatoa hela yangu kwenye uwekezaji bongo, niende nikatafute maisha hata Zambia mwakani
Ikiwa kuna mtumishi TRA haweki chake kwanza na mapato ya serikali baadae basi labda itakua ni asilimia moja tu..
Na kuna mfumo wa walaji wanashirikuana kuto chini hadi ngazi ya juu wako kazini kugawana chao.
Huwa sipati jibu hawa TAKUKURU nini wanafanya? Ikiwa mambo ya rushwa na ubadhirifu uko wazi hivi