Roboti Wa Nape
JF-Expert Member
- Nov 20, 2023
- 702
- 1,834
Mi naanza na My Motherland 🇹🇿 🇹🇿
fulu oksijeni na upepo, hadi rahaMi naweka hii ya Kwetu Machame.
View attachment 2837230
Wee jamaa ushanikumbusha nyumbani.Mi naweka hii ya Kwetu Machame.
View attachment 2837230
Dah we jamaaaMi naweka hii ya Kwetu Machame.
View attachment 2837230
Sio Lengo la huu uzi. Lengo ni kuweka picha zunazoonesha uzuri wa nchi yetu ya Tanzania. Tusianze kuweka ushabiki wa Mikoa na Kanda.Hapa zitajaa picha za Arusha na Kilimanjaro soon...!
Bila kusahau na Bukoba vijijini ndani ndani huko walikojenga majumbaHapa zitajaa picha za Arusha na Kilimanjaro soon...!
Mwisho wa Mwaka, karibu mkuuWee jamaa ushanikumbusha nyumbani.
Hakika hizi kona nazipenda vibaya mno. Nataman kupita hata kila siku. Huwa napata ile "natural high" nikiona mazingira kama haya, sio lazima nitumie mihadaratiView attachment 2837236
Kona za Nyong'oro Iringa Tanzania. Kuna siku tulikuwa na kundi la Wamarekani fulani toka USDA. Tulitoka nao Dodoma kwenda Iringa. Walivyofika hapa walikuwa na furaha sana. Wakataka tuwape wadrive wao maana walikuwa interested sana na hii "nature". Tulipita pia na Kitonga, walienjoy sana wale wazungu.
Umeona isiwe nongwa Bora
Hahaaaaa, siku ya kwanza kupita hapo kidogo nife kwa pressure. Nilikaa seat ya nyuma kwenye Capricorn natokea Njombe. Yule Dereva Mwarabu akawa analitungua tu kushuka huo mlima hizo kona. Mpaka tunaumaliza huo mlima na hizo kona nipo Hoi.Hakika hizi kona nazipenda vibaya mno. Nataman kupita hata kila siku. Huwa napata ile "natural high" nikiona mazingira kama haya, sio lazima nitumie mihadarati