Tupia picha zinazoonesha uzuri wa nchi yetu ya 🇹🇿 🇹🇿 🇹🇿

Roboti Wa Nape

JF-Expert Member
Nov 20, 2023
702
1,834
Mi naanza na My Motherland 🇹🇿 🇹🇿

12d98354fad24d33be777abc9cb1f58a.jpg
 
images.jpeg-2.jpg

Kona za Nyong'oro Iringa Tanzania. Kuna siku tulikuwa na kundi la Wamarekani fulani toka USDA. Tulitoka nao Dodoma kwenda Iringa. Walivyofika hapa walikuwa na furaha sana. Wakataka tuwape wadrive wao maana walikuwa interested sana na hii "nature". Tulipita pia na Kitonga, walienjoy sana wale wazungu.
 
View attachment 2837236
Kona za Nyong'oro Iringa Tanzania. Kuna siku tulikuwa na kundi la Wamarekani fulani toka USDA. Tulitoka nao Dodoma kwenda Iringa. Walivyofika hapa walikuwa na furaha sana. Wakataka tuwape wadrive wao maana walikuwa interested sana na hii "nature". Tulipita pia na Kitonga, walienjoy sana wale wazungu.
Hakika hizi kona nazipenda vibaya mno. Nataman kupita hata kila siku. Huwa napata ile "natural high" nikiona mazingira kama haya, sio lazima nitumie mihadarati
 
Hakika hizi kona nazipenda vibaya mno. Nataman kupita hata kila siku. Huwa napata ile "natural high" nikiona mazingira kama haya, sio lazima nitumie mihadarati
Hahaaaaa, siku ya kwanza kupita hapo kidogo nife kwa pressure. Nilikaa seat ya nyuma kwenye Capricorn natokea Njombe. Yule Dereva Mwarabu akawa analitungua tu kushuka huo mlima hizo kona. Mpaka tunaumaliza huo mlima na hizo kona nipo Hoi.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom