Tupeane mbinu za kuishi na viongozi wenye tabia za ovyo

Marcy

JF-Expert Member
Aug 12, 2013
1,535
3,605
Ni namna gani ya kuishi na kiongozi mwenye lugha ya ukali na matusi katika eneo la kazi

Asiyeshirikisha wengine katika jambo lolote zaid ya kuendekeza ubabe na paniki zisizo na msingi

Kubwatwa muda wote hata kama jambo ni dogo

Asiyependa ushauri kusikiliza watu na kukaa meza moja kupata suluhu

Mjuaji muda wote kujiona yupo sahih hakosei

Kuwa juu ya sheria na mengineyo

Wapendwa tupeane mbinu jinsi ya kuishi na watu wenye tabia kama hizi makazini na kwingineko.

KARIBUNI
 
1. Wahi kazini, ondoka muda wako ukifika.
2. Akikusema umefanya kazi vibaya, muombe ushauri ufanyeje, fanya anavyotaka.
3. Kua na simu/laini mbili. Ya kazini iwe on muda wa kazi. Ya nyumbani on 24/7.
4. Usijuane nae nje ya mambo ya kazi.
5. Dai haki zako kwa maandishi, kila kutunata ushauri weka kwa maandishi.
 
1. Wahi kazini, ondoka muda wako ukifika.
2. Akikusema umefanya kazi vibaya, muombe ushauri ufanyeje, fanya anavyotaka.
3. Kua na simu/laini mbili. Ya kazini iwe on muda wa kazi. Ya nyumbani on 24/7.
4. Usijuane nae nje ya mambo ya kazi.
5. Dai haki zako kwa maandishi, kila kutunata ushauri weka kwa maandishi.
Unafaa sana huu ushauri, mleta mada angalia namna ya kuuzingatia.
 
1. Wahi kazini, ondoka muda wako ukifika.
2. Akikusema umefanya kazi vibaya, muombe ushauri ufanyeje, fanya anavyotaka.
3. Kua na simu/laini mbili. Ya kazini iwe on muda wa kazi. Ya nyumbani on 24/7.
4. Usijuane nae nje ya mambo ya kazi.
5. Dai haki zako kwa maandishi, kila kutunata ushauri weka kwa maandishi.
Uko vizuri, Asisahau na kujiimarisha ki uchumi...
 
Back
Top Bottom