Newcastle1234
Member
- Oct 29, 2022
- 23
- 52
How do I futa this?
Kijana achana na puli. Amka asubuhi mapema kila siku na anza kukimbia. kisha oga maji ya baridi. jifunze kitu kipya kila siku.Ni kampuni ya Payment & Digital Solutions. Tuna leseni ya BOT na payment system ambao inafanya kazi mwaka wa 3 sasa. We want to expand massively na tayari kuna makampuni makubwa ambayo tayari yanahitaji huduma zetu, tunahitaji kuongeza wafanyakazi na infrastructure.
Kwa interested parties kindly inbox me for further information. Kwa wale ambao wanaweza kuwa wanawafahamu investors wanaoweza kuweka hela, ofcoz commission watapata.
Wakikujibu nistueJina la hiyo kampuni yenu linaitwaje?
Kijana achana na puli. Amka asubuhi mapema kila siku na anza kukimbia. kisha oga maji ya baridi. jifunze kitu kipya kila siku.
simple like thatNi kampuni ya Payment & Digital Solutions. Tuna leseni ya BOT na payment system ambao inafanya kazi mwaka wa 3 sasa. We want to expand massively na tayari kuna makampuni makubwa ambayo tayari yanahitaji huduma zetu, tunahitaji kuongeza wafanyakazi na infrastructure.
Kwa interested parties kindly inbox me for further information. Kwa wale ambao wanaweza kuwa wanawafahamu investors wanaoweza kuweka hela, ofcoz commission watapata.
Sasa mkuu uwekezajiwa bilioni mbili mdiscuss kwenye forum hapasimple like that
yaani unahiyaji mtu akuamini na kukupa bilioni 2 kwa paragraph 2 hizi .
Kila paragraph hapo ina thamani ya bilioni 1.