These Are Public Toilets In Serengeti National Park Tanzania

2 of Amerikaz most wanted

JF-Expert Member
Jan 13, 2023
1,328
3,692
IMG_20240319_153237.jpg


Would you go in?
 
Ninachowapendea hawa Simba huwa hawana matatizo na watu wafuatao sheria......ukinya pembeni au kukojoa kwenye nyasi ndipo utaona ubaya wao. Kama una mavi yamekubana, bisha hodi watakupisha. Big up Serikali ya Tanzania kuweka simba walinzi kama hawa. Tunahitaji kuwepo na simba wengine kwenye mbuga zetu zote ili kuepusha ujinga wa wataliii wanyao hovyo mbugani.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom