cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 87,184
- 140,140
Pole mwaya wengine wamekosa kuchaguliwa ati kwasababu walipigwa simu kuulizwa kama wako tayari hawakuiona.
Ukiwapigia wanakwambia "unaweza kulipa ada kweli"
Pole mwaya wengine wamekosa kuchaguliwa ati kwasababu walipigwa simu kuulizwa kama wako tayari hawakuiona.
Ukiwapigia wanakwambia "unaweza kulipa ada kweli"
Unajisifia upumbavu.Yes Mimi ni mmojawapo ndio maana nimewatoa watoto wangu English Mediums na kuwaleta Kayumba
Mungu wanguMh. Waziri Professor Adolf Mkenda, kuna mchezo kama unafanyika na Vyuo au na Mfumo wa TCU. Utaratibu wa kuthibitisha chuo (confirm) haki hiyo amepewa mwanafunzi baada ya kuwa chuo kimemdahili. Ila inaonekana kuna vyuo vinadahili na kuthibitisha kwa niaba ya wanafunzi kupitia Mfumo wa TCU bila ridhaa ya mwanafunzi mwenyewe, haijulikani tatizo nini.
Na mwanafunzi akionekana kuthibitisha chuo anakosa sifa ya kudahiliwa au kuchaguliwa vyuo vingine alivyoomba.
Mfano,
Huyo mwanafunzi anaitwa Haji Juma Rehan ana One ya 7.
Chemistry -B, Physics -B, biology -C aliomba
1. Bugando -Doctor of Medicine , Medical Lab , Pharmacy.
2. MUHAS -aliomba Doctor of Medicine .
3. UDSM -(Campus ya Mbeya ) aliomba Doctor of Medicine, Doctor of Dental Surgery.
4. UDOM -aliomba Doctor of Medicine , Nursing , Human Nutrition.
Vyote hivyo alivyoomba alikosa, sababu ameonekana amethibitisha chuo cha St. Augustine Campus ya Arusha Program ya Bachelor of Science in Tourism ikiwa hajaomba na hajui kuhusu hiyo Program na hicho chuo na hajathibitisha.
Mh. Waziri, huyu mwanafunzi hawezi kuomba chuo chochote sasa sababu inaonekana tayari kwenye Mfumo amedahiliwa SAUT na ame thibitisha kitu ambacho sio kweli.
Mh. Waziri na Wizara ya Elimu angalieni tatizo hili na mwisho wa maombi/udahili dirisha la pili ni Septemba 06. Hivyo mbali na ufaulu wake mzuri, mwanafunzi huyu anaweza kosa fursa ya kusoma. Tatizo hili ni kubwa na linanyima haki wanafunzi.
Mchezo huu unafanywa na vyuo ambavyo vina hofu ya kutopata wanafunzi, ni mchezo wa hovyo.
View attachment 2732018
We umejuaje kama alikosa kwa sababu hio kama hakuchaguliwa kabisa in the first place na hizo vyuo anavyovitaka..? Maana huyo anaonekana ana single admission, labda kama unasema chuo kimemu applyia, which will be very weirdMh. Waziri Professor Adolf Mkenda, kuna mchezo kama unafanyika na Vyuo au na Mfumo wa TCU. Utaratibu wa kuthibitisha chuo (confirm) haki hiyo amepewa mwanafunzi baada ya kuwa chuo kimemdahili. Ila inaonekana kuna vyuo vinadahili na kuthibitisha kwa niaba ya wanafunzi kupitia Mfumo wa TCU bila ridhaa ya mwanafunzi mwenyewe, haijulikani tatizo nini.
Na mwanafunzi akionekana kuthibitisha chuo anakosa sifa ya kudahiliwa au kuchaguliwa vyuo vingine alivyoomba.
Mfano,
Huyo mwanafunzi anaitwa Haji Juma Rehan ana One ya 7.
Chemistry -B, Physics -B, biology -C aliomba
1. Bugando -Doctor of Medicine , Medical Lab , Pharmacy.
2. MUHAS -aliomba Doctor of Medicine .
3. UDSM -(Campus ya Mbeya ) aliomba Doctor of Medicine, Doctor of Dental Surgery.
4. UDOM -aliomba Doctor of Medicine , Nursing , Human Nutrition.
Vyote hivyo alivyoomba alikosa, sababu ameonekana amethibitisha chuo cha St. Augustine Campus ya Arusha Program ya Bachelor of Science in Tourism ikiwa hajaomba na hajui kuhusu hiyo Program na hicho chuo na hajathibitisha.
Mh. Waziri, huyu mwanafunzi hawezi kuomba chuo chochote sasa sababu inaonekana tayari kwenye Mfumo amedahiliwa SAUT na ame thibitisha kitu ambacho sio kweli.
Mh. Waziri na Wizara ya Elimu angalieni tatizo hili na mwisho wa maombi/udahili dirisha la pili ni Septemba 06. Hivyo mbali na ufaulu wake mzuri, mwanafunzi huyu anaweza kosa fursa ya kusoma. Tatizo hili ni kubwa na linanyima haki wanafunzi.
Mchezo huu unafanywa na vyuo ambavyo vina hofu ya kutopata wanafunzi, ni mchezo wa hovyo.
View attachment 2732018
Asome tu nayo si imeandikwa science iyoMh. Waziri Professor Adolf Mkenda, kuna mchezo kama unafanyika na Vyuo au na Mfumo wa TCU. Utaratibu wa kuthibitisha chuo (confirm) haki hiyo amepewa mwanafunzi baada ya kuwa chuo kimemdahili. Ila inaonekana kuna vyuo vinadahili na kuthibitisha kwa niaba ya wanafunzi kupitia Mfumo wa TCU bila ridhaa ya mwanafunzi mwenyewe, haijulikani tatizo nini.
Na mwanafunzi akionekana kuthibitisha chuo anakosa sifa ya kudahiliwa au kuchaguliwa vyuo vingine alivyoomba.
Mfano,
Huyo mwanafunzi anaitwa Haji Juma Rehan ana One ya 7.
Chemistry -B, Physics -B, biology -C aliomba
1. Bugando -Doctor of Medicine , Medical Lab , Pharmacy.
2. MUHAS -aliomba Doctor of Medicine .
3. UDSM -(Campus ya Mbeya ) aliomba Doctor of Medicine, Doctor of Dental Surgery.
4. UDOM -aliomba Doctor of Medicine , Nursing , Human Nutrition.
Vyote hivyo alivyoomba alikosa, sababu ameonekana amethibitisha chuo cha St. Augustine Campus ya Arusha Program ya Bachelor of Science in Tourism ikiwa hajaomba na hajui kuhusu hiyo Program na hicho chuo na hajathibitisha.
Mh. Waziri, huyu mwanafunzi hawezi kuomba chuo chochote sasa sababu inaonekana tayari kwenye Mfumo amedahiliwa SAUT na ame thibitisha kitu ambacho sio kweli.
Mh. Waziri na Wizara ya Elimu angalieni tatizo hili na mwisho wa maombi/udahili dirisha la pili ni Septemba 06. Hivyo mbali na ufaulu wake mzuri, mwanafunzi huyu anaweza kosa fursa ya kusoma. Tatizo hili ni kubwa na linanyima haki wanafunzi.
Mchezo huu unafanywa na vyuo ambavyo vina hofu ya kutopata wanafunzi, ni mchezo wa hovyo.
View attachment 2732018
Liko wapi nione tafadhaliSt.Joseph wamelitolea tamko hili tangia tarehe 28.
kama halitafunguka tembelea kwenye website yao lipo piaView attachment TAARIFA KWA UMMA 1.pdfLiko wapi nione tafadhali
Thanks sanakama halitafunguka tembelea kwenye website yao lipo piaView attachment 2734278
English media ni biashara tu, tena ni kama biashara ya kutoa huduma ya massage.Yes Mimi ni mmojawapo ndio maana nimewatoa watoto wangu English Mediums na kuwaleta Kayumba
acha uongo ww,computer science hawalp 4MWalinichaguaga computer science nkakuta ada 4M nkasepa kimya kimya
nimestuka kidogo kwa haya majina, wavaa kobazi tuko nyuma sanaMh. Waziri Professor Adolf Mkenda, kuna mchezo kama unafanyika na Vyuo au na Mfumo wa TCU. Utaratibu wa kuthibitisha chuo (confirm) haki hiyo amepewa mwanafunzi baada ya kuwa chuo kimemdahili. Ila inaonekana kuna vyuo vinadahili na kuthibitisha kwa niaba ya wanafunzi kupitia Mfumo wa TCU bila ridhaa ya mwanafunzi mwenyewe, haijulikani tatizo nini.
Na mwanafunzi akionekana kuthibitisha chuo anakosa sifa ya kudahiliwa au kuchaguliwa vyuo vingine alivyoomba.
Mfano,
Huyo mwanafunzi anaitwa Haji Juma Rehan ana One ya 7.
Chemistry -B, Physics -B, biology -C aliomba
1. Bugando -Doctor of Medicine , Medical Lab , Pharmacy.
2. MUHAS -aliomba Doctor of Medicine .
3. UDSM -(Campus ya Mbeya ) aliomba Doctor of Medicine, Doctor of Dental Surgery.
4. UDOM -aliomba Doctor of Medicine , Nursing , Human Nutrition.
Vyote hivyo alivyoomba alikosa, sababu ameonekana amethibitisha chuo cha St. Augustine Campus ya Arusha Program ya Bachelor of Science in Tourism ikiwa hajaomba na hajui kuhusu hiyo Program na hicho chuo na hajathibitisha.
Mh. Waziri, huyu mwanafunzi hawezi kuomba chuo chochote sasa sababu inaonekana tayari kwenye Mfumo amedahiliwa SAUT na ame thibitisha kitu ambacho sio kweli.
Mh. Waziri na Wizara ya Elimu angalieni tatizo hili na mwisho wa maombi/udahili dirisha la pili ni Septemba 06. Hivyo mbali na ufaulu wake mzuri, mwanafunzi huyu anaweza kosa fursa ya kusoma. Tatizo hili ni kubwa na linanyima haki wanafunzi.
Mchezo huu unafanywa na vyuo ambavyo vina hofu ya kutopata wanafunzi, ni mchezo wa hovyo.
View attachment 2732018
Hilo jina tu la mvaa kobazi ni tatizo ,mmeshindwa kutafakari jambo dogo kama hili ? Huwezi chaguliwa chuo ambacho huja apply acha uongoo...afu chukua hili kama uyo kaomba vyuo vitano (5) kakosa vyote vi 4 afu kapata kimoja ..moja kwa moja kitaji confirm icho kimoja maana .option ya ku confirm ipo kwa walio na multiple selections tuMh. Waziri Professor Adolf Mkenda, kuna mchezo kama unafanyika na Vyuo au na Mfumo wa TCU. Utaratibu wa kuthibitisha chuo (confirm) haki hiyo amepewa mwanafunzi baada ya kuwa chuo kimemdahili. Ila inaonekana kuna vyuo vinadahili na kuthibitisha kwa niaba ya wanafunzi kupitia Mfumo wa TCU bila ridhaa ya mwanafunzi mwenyewe, haijulikani tatizo nini.
Na mwanafunzi akionekana kuthibitisha chuo anakosa sifa ya kudahiliwa au kuchaguliwa vyuo vingine alivyoomba.
Mfano,
Huyo mwanafunzi anaitwa Haji Juma Rehan ana One ya 7.
Chemistry -B, Physics -B, biology -C aliomba
1. Bugando -Doctor of Medicine , Medical Lab , Pharmacy.
2. MUHAS -aliomba Doctor of Medicine .
3. UDSM -(Campus ya Mbeya ) aliomba Doctor of Medicine, Doctor of Dental Surgery.
4. UDOM -aliomba Doctor of Medicine , Nursing , Human Nutrition.
Vyote hivyo alivyoomba alikosa, sababu ameonekana amethibitisha chuo cha St. Augustine Campus ya Arusha Program ya Bachelor of Science in Tourism ikiwa hajaomba na hajui kuhusu hiyo Program na hicho chuo na hajathibitisha.
Mh. Waziri, huyu mwanafunzi hawezi kuomba chuo chochote sasa sababu inaonekana tayari kwenye Mfumo amedahiliwa SAUT na ame thibitisha kitu ambacho sio kweli.
Mh. Waziri na Wizara ya Elimu angalieni tatizo hili na mwisho wa maombi/udahili dirisha la pili ni Septemba 06. Hivyo mbali na ufaulu wake mzuri, mwanafunzi huyu anaweza kosa fursa ya kusoma. Tatizo hili ni kubwa na linanyima haki wanafunzi.
Mchezo huu unafanywa na vyuo ambavyo vina hofu ya kutopata wanafunzi, ni mchezo wa hovyo.
View attachment 2732018