Tatizo kubwa la kitochi 4G za tigo ni ni anaganda baada ya matumizi. Nimeambatanisha picha

mkuu nimeku

mkuu nilikinunua hicho kisimu toka kama siku 4 au 5 zilizopita nimekifungia tu ndani, kinatumia micro sim card lakini kila nikiweka line haisomi, nimebadilisha line yangu nakuweka line nyingine mbili tofauti still bado tatizo nililelile, nimewacheki voda wameniambia nikirudishe dukani nilipokinunulia kwa msaada zaidi. Nashindwa kuleta mrejesho mzuri kwakua sikukichezea sana baada ya sim cards kukataa kusoma, ila kwa mda niliokitumia screen touch sensitivity iko poa tu, build quality haitofautiani nasmart vitochi vingine, buttons zake zipo zivuri kwakuchat, battery inaonekana ikopoa japo sikuitumia simu sana ila kitendo cha kuitoa battery nakuiweka mara kadhaa wakati naangaika na tatizo la sim card battery haikuonesha kushuka chaji, kuhusu OS no comment kwa sasa japo inaoneka ni light kidogo tofauti na kaios, kwenye kitabu cha matumizi ya simu wameandika "it runs on digitOS based on android latest versions". Ina kuja na app ya "aptoide" kwaajili yadownload applications, sasa sijui kama ina apps nyingi au la. Pia wameandika kwenye kitabu line zote mbili,1&2 zinasoma 4g which am not sure,pia kana uwezo wakuscreen shot.
Kwa ninavyoelewa simu za mitandao ya simu line ya kwanza wanaweka line yao ama wana activate yako ya mtandao wao, mpaka iwepo hio line ndio unatumia na line ya pili, kukiwa hakuna line yao haipigi kazi mpaka uitoe lock.

Ulipewa GB 24?

Shukran pia kwa feedback,
 
Kwa ninavyoelewa simu za mitandao ya simu line ya kwanza wanaweka line yao ama wana activate yako ya mtandao wao, mpaka iwepo hio line ndio unatumia na line ya pili, kukiwa hakuna line yao haipigi kazi mpaka uitoe lock.

Ulipewa GB 24?

Shukran pia kwa feedback,
mkuu nilifanya hivyohivyo kama ulivyosema hapo juu kuhusu laini lakini wapi, kuhusu gb 24 walinipa maelekezo ya kupata hiyo ofa ya GB &dakika, unaandika neno "ZAWADI" kwenda namba 15300 kupata ofa, nilijaribu kufanya hivyo kwa simu nyingine ninayoitumia kwa sasa kwakua kisimu chao kiligoma kusoma line wakaniju " simu yako haipo kwenye utaratibu wa ofa" hivyo sikupa ofa yao hio. Nadhani kupata ofa ni mpaka utume ujumbe huo kwakutumia kisimu husika
 
Kama hautojali tunaomba mrejesho mkuu! Maana Jumatatu ni leo
Kiongoz hiki kisimu kwa ufupi kinamapungu yake na maboresho yake kutoka toleo la kitochi lilipita; MAPUNGUFU 1.Kama wewe ni kazi yako niyakufanya miamala ya simu kama wakala wa m-pesa au tigo pesa hii simu sikushauri ununue inasumbua sana unapotaka kuswitch kati ya input mode “abc“, “ABC“ Au “123“. Itakulazimu ukikate hiki kiinterface hapo chini katikati ya transaction kama input mode awali ilikua kwenye “abc“ au “ABC“


Screenshot_20240508-035640.png
ili urudi tena huku
Screenshot_20240508-035713.png
Ili kuipata hiyo input mode ya “123“ uweze kufanya miamala, simu hii haikuruhusu kubadili input mode unayoitaka katikati ya muamala. 2.Kinasauti ndogo wakati wa mazungumzo itakubidi kama upo kwenye kelele uweke loudspeaker ili muweze kusikiliza vizuri
Screenshot_20240508-041343.png
3.Kinapata joto kias4 unapokichaji ukiwa haujakizima japo sio kila wakati au unapostream videos kwa mda mrefu,juzi kilipata joto kiasi nilipostream videos instagram kwa zaidi ya masaa 2 mfululizo. 4.Line namba moja inakupa machaguo yakutumia 4G,3G AU 2G kwenye settings
Screenshot_20240508-041729.png
wakati line namba mbili inakupa option moja tu yakuchagua mtandao wa 2G pekee nasio vinginevyo
Screenshot_20240508-041905.png
5.Settings za simu hazikuruhusu kutumia laini namba 2 kwenye internet,kuna option yakutumia line 2 kwenye kupiga simu na kutuma sms pekee,
Screenshot_20240508-041648.png
6.Screen resolution ni ndogo japo sio sana kwaupande wangu i can live with it,sijui kwa watu wengine. 7.Hiki kisimu kinakuja na app ya aptoide kama app store
Screenshot_20240508-041153.png
Screenshot_20240508-042539.png
kina apps nyingi zipo zakununua na za free,ila apps nyingi za free kwa upande wangu zimenigomea kufanya kazi na nyingine kama vile sofascore ilicrash upon downloading mara kadhaa
Screenshot_20240508-042751.png
Screenshot_20240508-042607.png
Screenshot_20240508-042622.png
Screenshot_20240508-042719.png
kwa ufupi hayo ndio mapungufu niliyoyagundua kwa upande wangu ndani ya huu md mfupi wakukitumia hiki kisimu.
 
Ila kama we ni mzee wakuperuzi sana mitandao ya kijamii kama tiktok, instagram, facebook na youtube kinafanya kazi vizuri mno
Screenshot_20240508-040928.png
Screenshot_20240508-041010.png
Screenshot_20240508-040425.png
Screenshot_20240508-040713.png
Screenshot_20240508-040020.png
Screenshot_20240508-040103.png
Kuhusu whatsapp sina chakukomenti kwakuwa huwa siutumii kabisa huo mtandao
Screenshot_20240508-040210.png
ukilinganisha na smart vitochi toleo la kwanza kwenye upande wa social media hakuna kinachokifikia hiki kisimu to be honest, pia speed yake iko vizuri na kinafungua website zote nzitonzito ambazo sikuweza kuzifungua kwa smart kitochi toleo lililopita bila shida yeyote ,pia opera mini app inapiga kazi perfectly,
 
Kiongoz hiki kisimu kwa ufupi kinamapungu yake na maboresho yake kutoka toleo la kitochi lilipita; MAPUNGUFU 1.Kama wewe ni kazi yako niyakufanya miamala ya simu kama wakala wa m-pesa au tigo pesa hii simu sikushauri ununue inasumbua sana unapotaka kuswitch kati ya input mode “abc“, “ABC“ Au “123“. Itakulazimu ukikate hiki kiinterface hapo chini katikati ya transaction kama input mode awali ilikua kwenye “abc“ au “ABC“


View attachment 2983938 ili urudi tena huku View attachment 2983939 Ili kuipata hiyo input mode ya “123“ uweze kufanya miamala, simu hii haikuruhusu kubadili input mode unayoitaka katikati ya muamala. 2.Kinasauti ndogo wakati wa mazungumzo itakubidi kama upo kwenye kelele uweke loudspeaker ili muweze kusikiliza vizuriView attachment 2983941 3.Kinapata joto kias4 unapokichaji ukiwa haujakizima japo sio kila wakati au unapostream videos kwa mda mrefu,juzi kilipata joto kiasi nilipostream videos instagram kwa zaidi ya masaa 2 mfululizo. 4.Line namba moja inakupa machaguo yakutumia 4G,3G AU 2G kwenye settingsView attachment 2983942 wakati line namba mbili inakupa option moja tu yakuchagua mtandao wa 2G pekee nasio vinginevyo View attachment 2983943 5.Settings za simu hazikuruhusu kutumia laini namba 2 kwenye internet,kuna option yakutumia line 2 kwenye kupiga simu na kutuma sms pekee,View attachment 2983944 6.Screen resolution ni ndogo japo sio sana kwaupande wangu i can live with it,sijui kwa watu wengine. 7.Hiki kisimu kinakuja na app ya aptoide kama app storeView attachment 2983945 View attachment 2983946 kina apps nyingi zipo zakununua na za free,ila apps nyingi za free kwa upande wangu zimenigomea kufanya kazi na nyingine kama vile sofascore ilicrash upon downloading mara kadhaaView attachment 2983948View attachment 2983949View attachment 2983950View attachment 2983951 kwa ufupi hayo ndio mapungufu niliyoyagundua kwa upande wangu ndani ya huu md mfupi wakukitumia hiki kisimu.
Umefafanua vizuri sana mkuu, tunashukuru sana kwa mrejesho!
Kitu ambacho haujagusia ni ukaaji wa chaji, kikoje upande huo?
 
upande wa battery kutunza chaji i give it 8/10, upande wa camera mimi sio mpenzi kabisa wakupiga picha so no comment,
Asante sana mkuu! Maswali mengine watauliza wengine kama yapo, ila mimi naona umemaliza Karibia kila kitu
 
Ila huo ni mtazamo wangu labda labda kuna baadhi ya mapungufu niliyoyaeleza hapo juu kuna namna yanaweza kusolviwa kwenye
Screenshot_20240508-041500.png
i don‘t know! Kikubwa endelea kutafuta details zaidi na zaidi kwa watu wengine before making a move
 
Asante sana mkuu! Maswali mengine watauliza wengine kama yapo, ila mimi naona umemaliza Karibia kila kitu
Pia kaBla sijasahau walinipatia na ofa yao ya GB 1 kwa matumizi tofautitofauti, GB 3 kuperuzi facebook Tu, dk 100 mitandao yote na sms sikumbuki ni ngapi kwa mwezi wa kwanza, sijajua sasa kama wataendelea kunipatia tena kwa miezi mingine mitano iliyobaki au la.
 
Kama hautojali tunaomba mrejesho mkuu! Maana Jumatatu ni leo
Chief kuhusu lile tatizo la “input mode“ kama upo katikati ya muamala problem solved kiasi chake , unafanya tu kupress&hold button ya namba husika unayoitaka. Kuhususu apps nyingi za aptoide kugoma kufanya kazi nimedownload app ya “9APP“
Screenshot_20240509-003245.png
Screenshot_20240509-003141.png
Screenshot_20240509-003232.png
KUtoka kwenye aptoide store kama alternative yakupata apps zilizonigomea awali, nitarudi na mrejesho wa kama apps from 9apps zinawork vizuri au la
 
Chief kuhusu lile tatizo la “input mode“ kama upo katikati ya muamala problem solved kiasi chake , unafanya tu kupress&hold button ya namba husika unayoitaka. Kuhususu apps nyingi za aptoide kugoma kufanya kazi nimedownload app ya “9APP“View attachment 2985031View attachment 2985032View attachment 2985033 KUtoka kwenye aptoide store kama alternative yakupata apps zilizonigomea awali, nitarudi na mrejesho wa kama apps from 9apps zinawork vizuri au la
Mkuu hivi zinauwezo wa kutumia VPN (ha tunnel na http custom)
 
Mkuu hivi zinauwezo wa kutumia VPN (ha tunnel na http custom)
Ni android hio, app itakataa kama
1. Inategemea play services sababu hamna playstore ila hili linaweza kuwa solved.
2. App imetengenezwa kurun kwenye resolutions kubwa.

Otherwise app nyingi za Android zina run humo.
 
Ni android hio, app itakataa kama
1. Inategemea play services sababu hamna playstore ila hili linaweza kuwa solved.
2. App imetengenezwa kurun kwenye resolutions kubwa.

Otherwise app nyingi za Android zina run humo.
je na telegram pamoja na jamiiforum kanaingia mkuu.
 
Ni android hio, app itakataa kama
1. Inategemea play services sababu hamna playstore ila hili linaweza kuwa solved.
2. App imetengenezwa kurun kwenye resolutions kubwa.

Otherwise app nyingi za Android zina run humo.
Kwa upande wangu toleo la kwanza nilichoka kwa maana ilikuwa haingii kwenye website kubwa kama sportpesa na galsport na ilekubonyeza bonyeza ..ilibidi niiuze ..tu..
 
Kwa upande wangu toleo la kwanza nilichoka kwa maana ilikuwa haingii kwenye website kubwa kama sportpesa na galsport na ilekubonyeza bonyeza ..ilibidi niiuze ..tu..
Haka kanafungua vizuri tu websites zote za betting tena na aviator unacheza vizuri
Screenshot_20240515-170435.png
Screenshot_20240515-170459.png
Screenshot_20240515-170517.png
 
Back
Top Bottom