Iceberg9
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 24,793
- 47,494
Hata hiyo mwaka na miezi 9 utaidai pia katika majumuishoMsaada
Nimepewa one moths notification na mwajiri kwamba hataweza kunipa mkataba mwingine.Barua inasema atanipa staiki zangu kama lakini kama nitastahili!.Nimeenda nssf nikakuta Kuna michango ya miaka 2 hajapeleka.Pia nilifanya kazi mwaka na miezi 9 kabla ya kupewa mkataba.Nifanyeje kupatewa Madai yangu.