TANROADS Tanga rekebisha sehemu ya Mwakidila kwenda daraja la wachina Mwahako, hakupitiki na mvua za leo

Retired

JF-Expert Member
Jul 22, 2016
40,822
74,998
Mchina amemwaga tope na sasa leo na mvua hii ya tangu saa 9 usiku mpaka sasa hapapitiki.

Tafadhali njooni mkwangue mtoe huo "uji" ambao umeweka madimbwi kwenye kipande hicho.

Kutoka Chalinze kwenda daraja la wachina.

Actually ni mpaka kwenda Kibaoni junction ya kwenda Mgwisha.
 
Back
Top Bottom