Suala la Feitoo linafanana na la Harry Kane alivyotaka kwenda Man City

Kamgomoli

JF-Expert Member
May 3, 2018
1,865
3,810
Mwaka 2021 majira ya joto Manchester City walipeleka ofa Tottenham ya Dola mil 100 kutaka kumnunua Kane. Tottenham wakatia ngumu kumuuza. Kane akagoma kujiunga na timu yake kwa ajili ya mazoezi ya pre-season ili kushinikiza kuuzwa.

Tottenham hawakutishika wakashikilia chuma na hawakuwa tayari kufanya mazungumzo yoyote na Man City kwani walikuwa bado wanamuhitaji Harry Kane.

Gaudiola alipoulizwa kuhusu hili swala alisema" Kane ni mchezaji halali wa Tottenham, kama hawataki kufanya mazunguzo (Negotiations) nasi basi imeisha hiyo hatuna cha kufanya." Mwisho wa siku Kane alisitisha mgomo wake na kurudi kujiunga na timu hadi leo.

Maswali ya kujiuliza;

Kwanini Kane hakuondoka kwa nguvu ili alipe faini kama Mawakili wa Feitoto wanavyoshinikiza? Mbona watu hawakuilaumu Tottenham kugoma kumuuza wakati mchezaji aliweka wazi kuwa anahitaji changamoto mpya?

Leo kuna watu wamekazana kuipigia kelele Yanga imuuze Fei kwa sababu hajisikii kuendelea kucheza Yanga wakati bado yuko ndani ya mkataba. Hivi kama kila mchezaji ataondoka kienyeji hivo sasa nini maana ya mkataba?

Shida Tanzania tunaendesha soka letu kwa hisia (mihemko) zaidi kuliko kufuata sheria na kanuni. Inashangaza kuona hadi sasa Feitoto hajachukuliwa hatua zozote za kinidhamu. Harry Kane aliona mwisho wake ni mbaya ndio maana alifanya maamuzi ya kurudi klabuni.

Nasikitika jinsi ujinga wa Wanasheria wa mchongo na wachambuzi uchwara unavyoenda kupoteza kipaji cha Fei.
 
1678092584320.png
 
Issue hizo Hazifanani Kbs....!

Shida ni Mkataba, Mkataba Wa Yanga Unatoa nafasi Ya Kuvunjika.

Sasa umevunjika. Utopolo wanapitia mlango Wa Uani Mchongo Na TFF.
Kwani maamuzi ya kesi ndo yamesema hivo au hayo ni maoni yako binafsi?
 
Issue hizo Hazifanani Kbs....!

Shida ni Mkataba, Mkataba Wa Yanga Unatoa nafasi Ya Kuvunjika.

Sasa umevunjika. Utopolo wanapitia mlango Wa Uani Mchongo Na TFF.
We mpuuzi unajua utaratibu wa kuvunja mkataba? Mkataba umevunjwa na nani? Akuna aliyevunja mkataba ndio maana fei toto ni mchezaji wa yanga mpaka sasa
 
Coutinho, Liverpool, Barcelona.

Tafuta hii scenario
Ulaya timu hufanya mazungumzo na mchezaji halafu hupeleka ofa kwa timu yake. Halafu mchezaji ndo anaweza kushikiza kuondoka akiwa hapo hapo klabuni. Sasa Fei kwa ujinga wa washauri wake ameondoka mwenyewe klabuni bila timu yoyote kuleta ofa sasa Yanga watamuuza kumpeleka wapi? Au wewe unaifahamu timu inayotaka kumnunua?.
 
Mwaka 2021 majira ya joto Manchester City walipeleka ofa Tottenham ya Dola mil 100 kutaka kumnunua Kane. Tottenham wakatia ngumu kumuuza. Kane akagoma kujiunga na timu yake kwa ajili ya mazoezi ya pre-season ili kushinikiza kuuzwa.

Tottenham hawakutishika wakashikilia chuma na hawakuwa tayari kufanya mazungumzo yoyote na Man City kwani walikuwa bado wanamuhitaji Harry Kane.

Gaudiola alipoulizwa kuhusu hili swala alisema" Kane ni mchezaji halali wa Tottenham, kama hawataki kufanya mazunguzo (Negotiations) nasi basi imeisha hiyo hatuna cha kufanya." Mwisho wa siku Kane alisitisha mgomo wake na kurudi kujiunga na timu hadi leo.

Maswali ya kujiuliza;

Kwanini Kane hakuondoka kwa nguvu kama ili alipe faini kama Mawakili wa Feitoto wanavyoshinikiza? Mbona watu hawakuilaumu Tottenham kugoma kumuuza wakati mchezaji aliweka wazi kuwa anahitaji changamoto mpya?

Leo kuna watu wamekazana kuipigia kelele Yanga imuuze Fei kwa sababu hajisikii kuendelea kucheza Yanga wakati bado yuko ndani ya mkataba. Hivi kama kila mchezaji ataondoka kienyeji hivo sasa nini maana ya mkataba?

Shida Tanzania tunaendesha soka letu kwa hisia (mihemko) zaidi kuliko kufuata sheria na kanuni. Inashangaza kuona hadi sasa Feitoto hajachukuliwa hatua zozote za kinidhamu. Harry Kane aliona mwisho wake ni mbaya ndio maana alifanya maamuzi ya kurudi klabuni.

Nasikitika jinsi ujinga wa Wanasheria wa mchongo na wachambuzi uchwara unavyoenda kupoteza kipaji cha Fei.
Nibwenye akili pekee ndiyo watakuelewa. Mbumbumbu watakukejeli.

Hili suala la huyu dogo pia litakuwa ni funzo kwa wajinga wengine kama yeye wanaofikiri kucheza mpira kwenye timu fulani, basi kunahitaji mchezaji awe na 'mahaba' na hiyo timu kama anavyotaka kutuaminisha; badala ya kazi kama kazi nyingine.
 
Mwaka 2021 majira ya joto Manchester City walipeleka ofa Tottenham ya Dola mil 100 kutaka kumnunua Kane. Tottenham wakatia ngumu kumuuza. Kane akagoma kujiunga na timu yake kwa ajili ya mazoezi ya pre-season ili kushinikiza kuuzwa.

Tottenham hawakutishika wakashikilia chuma na hawakuwa tayari kufanya mazungumzo yoyote na Man City kwani walikuwa bado wanamuhitaji Harry Kane.

Gaudiola alipoulizwa kuhusu hili swala alisema" Kane ni mchezaji halali wa Tottenham, kama hawataki kufanya mazunguzo (Negotiations) nasi basi imeisha hiyo hatuna cha kufanya." Mwisho wa siku Kane alisitisha mgomo wake na kurudi kujiunga na timu hadi leo.

Maswali ya kujiuliza;

Kwanini Kane hakuondoka kwa nguvu ili alipe faini kama Mawakili wa Feitoto wanavyoshinikiza? Mbona watu hawakuilaumu Tottenham kugoma kumuuza wakati mchezaji aliweka wazi kuwa anahitaji changamoto mpya?

Leo kuna watu wamekazana kuipigia kelele Yanga imuuze Fei kwa sababu hajisikii kuendelea kucheza Yanga wakati bado yuko ndani ya mkataba. Hivi kama kila mchezaji ataondoka kienyeji hivo sasa nini maana ya mkataba?

Shida Tanzania tunaendesha soka letu kwa hisia (mihemko) zaidi kuliko kufuata sheria na kanuni. Inashangaza kuona hadi sasa Feitoto hajachukuliwa hatua zozote za kinidhamu. Harry Kane aliona mwisho wake ni mbaya ndio maana alifanya maamuzi ya kurudi klabuni.

Nasikitika jinsi ujinga wa Wanasheria wa mchongo na wachambuzi uchwara unavyoenda kupoteza kipaji cha Fei.
Huyo wa ulaya alitaka kununuliwa na timu nyingine timu yake ikatia ngumu huyu wa Tanzania anataka kuvunja mkataba timu yake haijasema chochote kuhusu kuvunja mkataba Wengi tunaochangia humu hatuvijui vipengere vya mkataba huo hatujui kama kuna clause ya kuvunja mkataba huo na kama haipo yaani mkataba upo silent sheria inasemaje
 
De Gea ameng'ang'aniwa na Man u mpaka leo yupo na katulia,sasa huyu dogo amekurupuka ngoja alisome jua
 
Mwaka 2021 majira ya joto Manchester City walipeleka ofa Tottenham ya Dola mil 100 kutaka kumnunua Kane. Tottenham wakatia ngumu kumuuza. Kane akagoma kujiunga na timu yake kwa ajili ya mazoezi ya pre-season ili kushinikiza kuuzwa.

Tottenham hawakutishika wakashikilia chuma na hawakuwa tayari kufanya mazungumzo yoyote na Man City kwani walikuwa bado wanamuhitaji Harry Kane.

Gaudiola alipoulizwa kuhusu hili swala alisema" Kane ni mchezaji halali wa Tottenham, kama hawataki kufanya mazunguzo (Negotiations) nasi basi imeisha hiyo hatuna cha kufanya." Mwisho wa siku Kane alisitisha mgomo wake na kurudi kujiunga na timu hadi leo.

Maswali ya kujiuliza;

Kwanini Kane hakuondoka kwa nguvu ili alipe faini kama Mawakili wa Feitoto wanavyoshinikiza? Mbona watu hawakuilaumu Tottenham kugoma kumuuza wakati mchezaji aliweka wazi kuwa anahitaji changamoto mpya?

Leo kuna watu wamekazana kuipigia kelele Yanga imuuze Fei kwa sababu hajisikii kuendelea kucheza Yanga wakati bado yuko ndani ya mkataba. Hivi kama kila mchezaji ataondoka kienyeji hivo sasa nini maana ya mkataba?

Shida Tanzania tunaendesha soka letu kwa hisia (mihemko) zaidi kuliko kufuata sheria na kanuni. Inashangaza kuona hadi sasa Feitoto hajachukuliwa hatua zozote za kinidhamu. Harry Kane aliona mwisho wake ni mbaya ndio maana alifanya maamuzi ya kurudi klabuni.

Nasikitika jinsi ujinga wa Wanasheria wa mchongo na wachambuzi uchwara unavyoenda kupoteza kipaji cha Fei.
Mimi nataka kujua tu kuwa tokea Fei afanye mgomo bado analipwa mshahara wake?
 
Issue hizo Hazifanani Kbs....!

Shida ni Mkataba, Mkataba Wa Yanga Unatoa nafasi Ya Kuvunjika.

Sasa umevunjika. Utopolo wanapitia mlango Wa Uani Mchongo Na TFF.
Hakuna mkataba usio vunjika, na sheria za fifa lazima mkataba uwe na option ya kuuvunja.

Hata mkataba wa Kane na spurs una hiyo option ya kuuvunja ila sasa kuuvunja huo mkataba kuna swala lingine la vipengele kwann uuvunje ? Hapo ndipo kane au man city wote wanakuwa hawana la kufanya.

Ili kane na avunje mkataba na spurs ni lazima spurs wawe wamekiuka vipengele kama kutomlipa mshahara wa miezi 3 au kutompa nafasi ya kucheza au mengineyo yalimo ndani ya mkataba kama spurs wamekiuka. Sasa hapo spurs hawajakiuka chochote kane atafanya nn zaidi ya kurudi klabuni.

Hiyo issue ya kane ni sawa kabisa na fei ila kibongo bongo hatufuati sheria na kanuni zaid ya kutaka kutafuta public sympathy ili avunje mkataba
 
Back
Top Bottom