Spika Tulia: Bunge litajadili ushirikiano wa DP World na Bandari

On the other hand, there are concerns that giving DP World control of Tanzania's ports could lead to increased costs and decreased transparency.
I can see another "Darwin's nightmare" at the end of the tunnel; i can see someone smuggling weapons to strengthen destabilization of the rest of africa ; i can see someone smugling tons and mountains or minerals to strengthen colonizers; i can see some one forging the terrorism agenda across stable poor countries
 
Ziko taarifa kuwa Masheikh na wanazuoni wa Kiislamu katika mikoa yote wanapanga kusoma Albadir usiku leo kama sehemu ya kumshitakia mwenyezi Mungu kwa tukio la kuuza bandari kwa Waarabu linalofanywa na wabunge kesho.

Wanazuoni hao wamefikia hatua hiyo baada ya kuona njia zote walizotumia kuwashauri wabunge wakatae jambo hilo kushindikana baada ya kuwepo taarifa za kuwepo mashinikizo makubwa ya fedha walizopewa wabunge hao ili waone hilo ni jambo jema kwa nchi.
Nini albadri HAO Hata nguruwe wanakula hawabakizi kitu
 
Back
Top Bottom