Social Networking/Mitandao ya ki-Jamii...

Mbu

JF-Expert Member
Jan 11, 2007
12,752
7,846
facebook status as single.jpg
...tangu mchipuko wa mitandao ya jamii kuibuka sambamba na teknolojia ya huduma ya internet kupatikana kwenye simu za mikononi, binafsi nishahadithiwa, kusoma na kujionea mipasuko ya ki mahusiano, mapenzi, urafiki na hata ndoa kutokana matumizi yasiyo sahihi ya mitandao hii.

...na hii haikuanzia kwa Facebook pekee, Friends Reunited, myspace, WAYN, Hi5, Twitter na hata Google + mitandao yote hii kwa namna moja au nyingine imegeuka hatarishi kwa usalama wa mahusiano, mapenzi urafiki na ndoa!

Je, kwa upande wako
Unajiepusha vipi au, ...nini msimamo wako unapokumbana na comments za ajabu ajabu kwenye profile page ya mwenza wako, iwe ni kwenye wall, picha (incl tags), 'Questionable' friends au hata likes na private mails anazotoa na yeye anazopokea? how far can you tolerate each other,...au 'unakufa' na tai yako shingoni?
 
Mbu mpaka LIKE ni tatizo?

Haya ngoja wahusika watupe mbinu na maujanja.
 
  • Thanks
Reactions: Mbu
Mbu mpaka LIKE ni tatizo?

Haya ngoja wahusika watupe mbinu na maujanja.


...lol....ushafika, nilidhani ushalala...enhe...fungua darasa!
wewe hupekui kuchungulia kale kabinti kanakotoa likes hata "MR" akiandika mbofu mbofu?
 
facebook status as single.jpg
...tangu mchipuko wa mitandao ya jamii kuibuka sambamba na teknolojia ya huduma ya internet kupatikana kwenye simu za mikononi, binafsi nishahadithiwa, kusoma na kujionea mipasuko ya ki mahusiano, mapenzi, urafiki na hata ndoa kutokana matumizi yasiyo sahihi ya mitandao hii.

...na hii haikuanzia kwa Facebook pekee, Friends Reunited, myspace, WAYN, Hi5, Twitter na hata Google + mitandao yote hii kwa namna moja au nyingine imegeuka hatarishi kwa usalama wa mahusiano, mapenzi urafiki na ndoa!

Je, kwa upande wako
Unajiepusha vipi au, ...nini msimamo wako unapokumbana na comments za ajabu ajabu kwenye profile page ya mwenza wako, iwe ni kwenye wall, picha (incl tags), 'Questionable' friends au hata likes na private mails anazotoa na yeye anazopokea? how far can you tolerate each other,...au 'unakufa' na tai yako shingoni?

....Mbu weye sikuwezi kwa threads zako zilizotulia. We acha tu hii technology inasababisha mavarangati makubwa sana ndani ya mahusiano. Pia kuna ile wenyewe wanadai kwa "wasomi" linkedIn huko nako kumesababisha mahusiano kuvunjika.
 
Lizzy, please mwambie Mbu asiweke 'likes' kwenye hilo kundi hapo juu!

.....hahahahaa, RR.....majuzi nilikuwa nasikiliza kesi ya facebook baina ya mtu na mkewe, kisa kwanini jamaa
kampa 'like' mkewe alipobadilisha status toka married to complicated!
 
Mbu mpaka LIKE ni tatizo?

Haya ngoja wahusika watupe mbinu na maujanja.

Hahahahaha wewe ulikuwa hujui Malaika shauri yako lol!...Mie sipendi kila anachoandika nanihii umpe LIKES...basi unaona LIKES zinaingia mitini kimya kimya hahahah lol!


 
Last edited by a moderator:
.....hahahahaa, RR.....majuzi nilikuwa nasikiliza kesi ya facebook baina ya mtu na mkewe, kisa kwanini jamaa
kampa 'like' mkewe alipobadilisha status toka married to complicated!
Hahahahaha, at least inaonesha it is not that complicated anymore, wameanza kukubaliana kwa status.
Mke kasema it is complicated, na mume kakubaliana nae. sasa kosa la mume nini jamani? Kwa hiyo mke alitaka wampinge?
 
  • Thanks
Reactions: Mbu
....Mbu weye sikuwezi kwa threads zako zilizotulia. We acha tu hii technology inasababisha mavarangati makubwa sana ndani ya mahusiano. Pia kuna ile wenyewe wanadai kwa "wasomi" linkedIn huko nako kumesababisha mahusiano kuvunjika.

....eeehhh? e bwana weee? jana nimesoma mmoja katimuliwa kazi kisa kaweka CV yake kwenye Linkedn....kumbe hata huko kunavunja ndoa?

...tatizo ni nini? ...ni utandawazi, uwazi na ukweli unatuponza au? yale yaliyokuwa yamejificha vifuani, siku hizi ukiudhiwa tu unapandisha kwenye Twitter, au Facebook!
 
Hahahahaha, at least inaonesha it is not that complicated anymore, wameanza kukubaliana kwa status.
Mke kasema it is complicated, na mume kakubaliana nae. sasa kosa la mume nini jamani? Kwa hiyo mke alitaka wampinge?

....amaaa? sasa ilikuwaje mke nae aende utangazia ulimwengu, ndoa yake i mashakani?
mimi tatizo langu linaanzia hapo bana....
 

....eeehhh? e bwana weee? jana nimesoma mmoja katimuliwa kazi kisa kaweka CV yake kwenye Linkedn....kumbe hata huko kunavunja ndoa?

...tatizo ni nini? ...ni utandawazi, uwazi na ukweli unatuponza au? yale yaliyokuwa yamejificha vifuani, siku hizi ukiudhiwa tu unapandisha kwenye Twitter, au Facebook!

...We acha tu Mkuu Mbu haya mahusiano ya siku hizi yana majaribu makubwa sana. Jamaa aliingia kwenye page ya mamsap kule linkeIn na kukuta jamaa kajaa tele halafu katika page yake kaanika kila kitu mpaka namba yake ya simu. Mwenye mali zake akanyanyua simu na kuanza kuvurumisha matusi ya nguoni huku njemba doezi ikidai kwamba ipo ipo tu hakuna chochote kinachoendelea. Mwenye mali zake akatoa dakika 10 tu ili njemba doezi ijifute katika page ya mamsapu au cha moto atakiona. Jamaa kuchungulia baada ya kumaliza kuvurumisha matusi yake akakuta kweli jamaa kajiondoa. Nilipohadithiwa hii nilitafakari sana jinsi ya mahusiano ya siku hizi yalivyo na majaribu mengi ukilinganisha na enzi zile za Wazazi wetu. Inasemekana Njemba doezi iliwahi kuwa karibu sana na mamsap miaka ya nyuma kabla hajaolewa.
 
.....hahahahaa, RR.....majuzi nilikuwa nasikiliza kesi ya facebook baina ya mtu na mkewe, kisa kwanini jamaa
kampa 'like' mkewe alipobadilisha status toka married to complicated!

Hahahaha. . . .
Umenikumbusha kuna mtu juzi aliuliza huko FB, "hivi nyie mnapogonga LIKE kwenye status inayohusu ugonjwa au kifo mna maana gani?!" Kwahiyo ni dhahiri wapo watu wasiofahamu matumizi ya LIKE. Wanatumia kama kitambulisho kwamba nimeona STATUS yako. . . na sio kwamba anaLike kilichotokea.
 
  • Thanks
Reactions: Mbu
RR mwenyewe namshangaa maana hizo wengine hua wanagonga alimradi tu na wao waonekane "walikewepo. . . wameona".

....khaaa? ....kwenye status nyingine kuna pa kugonga likes na nyingine unasepa bana, ....imagine unakuta mpenzi wako ameandika "..i wish i could turn back hands of time"...halafu ex wake amemgongea "like"....!
 


...lol....ushafika, nilidhani ushalala...enhe...fungua darasa!
wewe hupekui kuchungulia kale kabinti kanakotoa likes hata "MR" akiandika mbofu mbofu?

Hahahaha ndio nilikua najiandaa ghafla nikapata huu ugeni.

Mi nimepumzika sasa hivi Mbu, sitaki presha. Ila nilipokuwepo sikuwahi kuwa na wasiwasi, wala sikua na hangaika kuangalia nani kaLIKE kitu gani. Ila nilikua na password yake (japo nilikua sihangaiki nayo) kwahiyo labda nilikua naamini hawezi fanya madudu yoyote huko. Na mwenyewe hakua mmoja wa wale watu wanaominimize windows wakisikia "kwaah" au kufunga komputa bila hata kuzima.

Mi nadhani zaidi ya ntu kujihami kunatakiwa pia kuwe na uelewa na uwazi kati ya hao wenza. Unaweza ukajihami kwa kila namna ila kama mwenzako sio mwelewa hata dada yako akiLIKE picha uliyopiga na rafiki yako zamani wakati mko wadogo inaweza ikazua tafrani.
 
  • Thanks
Reactions: Mbu
...We acha tu Mkuu Mbu haya mahusiano ya siku hizi yana majaribu makubwa sana. Jamaa aliingia kwenye page ya mamsap kule linkeIn na kukuta jamaa kajaa tele halafu katika page yake kaanika kila kitu mpaka namba yake ya simu. Mwenye mali zake akanyanyua simu na kuanza kuvurumisha matusi ya nguoni huku njemba doezi ikidai kwamba ipo ipo tu hakuna chochote kinachoendelea. Mwenye mali zake akatoa dakika 10 tu kila ili njemba doezi ijifute katika page ya mamsapu au cha moto atakiona. Jamaa kuchungulia baada ya kumaliza kuvurumisha matusi yake akakuta kweli jamaa kajiondoa. Nilipohadithiwa hii nilitafakari sana jinsi ya mahusiano ya siku hizi yalivyo na majaribu mengi ukilinganisha na enzi zile za Wazazi wetu. Inasemekana Njemba doezi iliwahi kuwa karibu sana na mamsap miaka ya nyuma kabla hajaolewa.


hahahahahahaha!.....hapo kesi haijaisha hiyo, ngoma kwa mkewe nyumbani!
balaaaa....sasa imagine angechungulia huko kwenye profile ya mkewe halafu
ajikute hana tena access, mkewe kesha m block zamani! weeeee....!
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Hahahahaha wewe ulikuwa hujui Malaika shauri yako lol!...Mie sipendi kila anachoandika nanihii umpe LIKES...basi unaona LIKES zinaingia mitini kimya kimya hahahah lol!




Hahahahaha. . . .
BAK hivi kumbe mpaka LIKE unazihesabu? Basi naacha kuchangia na post zake kabisa.

Ila siku hizi bana watu wakiwa kwenye mahusiano wanachunguzana mtithili ya bacteria kwenye microscope. It's dangerous. . . maana ukishakua paranoid unaishia kuona hata patterns ambazo hazipo au sio za makusudi.
 
Last edited by a moderator:


hahahahahahaha!.....hapo kesi haijaisha hiyo, ngoma kwa mkewe nyumbani!
balaaaa....sasa imagine angechungulia huko kwenye profile ya mkewe halafu
ajikute hana tena access, mkewe kesha m block zamani! weeeee....!

...Mkuu Mbu kwa taarifa yako Njemba haikuwa na access ila ilifanya uchakachuaji ili kupata access.

 
  • Thanks
Reactions: Mbu
Wats up MBU,Lizzy & other Jf members.
Duuuuuuu!!!
Honestly mada imenibamba coz nina bestfriend wangu kampoteza ampendaye coz of "FACEBOOK" hivyo bac nikitaka kumchokoza namuita cha facebook. Wandugu plz naomba msupply ma ujafanja.
 
  • Thanks
Reactions: Mbu
Ila watu wanalizwa jamani, kama facebook ndio balaa!!! Mi huwa najiuliza, ina maana huko (mbali na jf) hakuna mambo mengine ya msingi zaidi ya kuentertain mapenzi tu??
 
  • Thanks
Reactions: Mbu
Back
Top Bottom