Mbu
JF-Expert Member
- Jan 11, 2007
- 12,752
- 7,846
...na hii haikuanzia kwa Facebook pekee, Friends Reunited, myspace, WAYN, Hi5, Twitter na hata Google + mitandao yote hii kwa namna moja au nyingine imegeuka hatarishi kwa usalama wa mahusiano, mapenzi urafiki na ndoa!
Je, kwa upande wako Unajiepusha vipi au, ...nini msimamo wako unapokumbana na comments za ajabu ajabu kwenye profile page ya mwenza wako, iwe ni kwenye wall, picha (incl tags), 'Questionable' friends au hata likes na private mails anazotoa na yeye anazopokea? how far can you tolerate each other,...au 'unakufa' na tai yako shingoni?