ndege JOHN
JF-Expert Member
- Aug 5, 2015
- 19,945
- 45,919
Kama unajijua huna madeal ya million 50 huko na unajinyima kisa tu ujenge nyumba kali kama unazoziona za wengine za million 200 eti udundulize kila hela unayopata unakuwa Mpaka mchoyo kila pesa unaielekeza kwenye mjumba. Huku bado unaishi maisha ya shida ukiendelea kujisifu nyumba imekukula million 80 na bado inadai finishing.
Me kuna mzee wangu yeye kipindi ana nguvu za kazi madeal yake akipata million tano, nne anakula Bata hawazi Sema yeye alikuwa hanywi pombe ila wanawake sana so anachofanya ile million moja anaenda kununua Shamba anapanda mikorosho anatulia..
Hivyo hivyo anakuja kustaafu ana mashamba zaidi ya 20 sehemu tofauti tofauti kapanda minazi, korosho, miembe, migomba n. K.
Hakunaga mwenye kutaka kwenda nyumbani kwake watu wako interested kwenda kuona mashamba yake..
Point yangu ni kwamba Kama unajijua hauko katika network ya kushika hela zaidi ya million 10 Kwa Mara moja Mara Kwa Mara basi achana na mambo za kujenga mijumba mikubwa utafika umechoka sana heri uendelee kukaa sehemu ya kawaida ila ununue mashamba kila mwaka mashamba hata manne mazuri una panda vya kupanda.
Nimetolea case study ya minazi na korosho Kwa sababu niko kusini ila ukiwa huko ulipo yako mazao ya muda mrefu ya matunda sio mbaya utakuja kuwa hauishiwi hela ila nyumba kubwa zuri hailingizi chochote.
Ni heri ulijenge mwishoni hapo umeuza korosho zako au baadhi ya mashamba yako.
Me kuna mzee wangu yeye kipindi ana nguvu za kazi madeal yake akipata million tano, nne anakula Bata hawazi Sema yeye alikuwa hanywi pombe ila wanawake sana so anachofanya ile million moja anaenda kununua Shamba anapanda mikorosho anatulia..
Hivyo hivyo anakuja kustaafu ana mashamba zaidi ya 20 sehemu tofauti tofauti kapanda minazi, korosho, miembe, migomba n. K.
Hakunaga mwenye kutaka kwenda nyumbani kwake watu wako interested kwenda kuona mashamba yake..
Point yangu ni kwamba Kama unajijua hauko katika network ya kushika hela zaidi ya million 10 Kwa Mara moja Mara Kwa Mara basi achana na mambo za kujenga mijumba mikubwa utafika umechoka sana heri uendelee kukaa sehemu ya kawaida ila ununue mashamba kila mwaka mashamba hata manne mazuri una panda vya kupanda.
Nimetolea case study ya minazi na korosho Kwa sababu niko kusini ila ukiwa huko ulipo yako mazao ya muda mrefu ya matunda sio mbaya utakuja kuwa hauishiwi hela ila nyumba kubwa zuri hailingizi chochote.
Ni heri ulijenge mwishoni hapo umeuza korosho zako au baadhi ya mashamba yako.