Nyamesocho
JF-Expert Member
- May 5, 2023
- 489
- 1,270
Slogani yetu sisi wakurya "Tunataka watu,na kitanda hakizai haramu "
Nashangaa mdada unateseka huko uliko kisa huna mume na huwezi kuolewa kisa una watoto wako uliozaa na mwanaume mwingine huku ukiwaza watoto wako wataishije mbeleni?
Sisi Ukuryani tunataka watu,njoo na wanao utaolewa na majina ya watoto wako yatabadilishwa yataiitiwa mwanaume aliyekuoa
Ukoo ,ndugu jamaa na marafiki na sheria za kimila,kiutamaduni na hata za kiserikali zitakutambua Kama mke wa jamaa na urithi utapewa na watoto wako watapewa urithi bila ubaguzi
Ukuryani mtoto wako anatreatiwa na jamaa aliyekuoa kama mwanae wa kuzaa pasu pasu mfano mahitaji ya shule,afya na kumiliki mali
Naona single mama wa Kenya wanatumia fursa hii kuliko watanzania
Enyi single mama wa mliopo Tanzania unasubiri nini,njoo mkoa wa Mara na watoto wako wote ,watapata baba na watafurahia maisha
Nashangaa mdada unateseka huko uliko kisa huna mume na huwezi kuolewa kisa una watoto wako uliozaa na mwanaume mwingine huku ukiwaza watoto wako wataishije mbeleni?
Sisi Ukuryani tunataka watu,njoo na wanao utaolewa na majina ya watoto wako yatabadilishwa yataiitiwa mwanaume aliyekuoa
Ukoo ,ndugu jamaa na marafiki na sheria za kimila,kiutamaduni na hata za kiserikali zitakutambua Kama mke wa jamaa na urithi utapewa na watoto wako watapewa urithi bila ubaguzi
Ukuryani mtoto wako anatreatiwa na jamaa aliyekuoa kama mwanae wa kuzaa pasu pasu mfano mahitaji ya shule,afya na kumiliki mali
Naona single mama wa Kenya wanatumia fursa hii kuliko watanzania
Enyi single mama wa mliopo Tanzania unasubiri nini,njoo mkoa wa Mara na watoto wako wote ,watapata baba na watafurahia maisha