Sikuona makosa ya Kennedy Juma kwenye goli la pili la Namungo

Smt016

JF-Expert Member
Jan 11, 2016
2,335
3,084
Naona kila mmoja anamnyoshea kidole Kennedy Juma kuwa ndio aliyefanya makosa kwernye lile goli. Pengine Kennedy ana nyota mbaya ya kutopendwa na wanasimba lakini kwa goli la jana halikuwa kosa la Kennedy Juma bali ni la kipa Ayoub. Kipa alitoka golini kwake kufuata mpira pasipo mawasiliano. Alichofanya Kennedy ni kurudisha mpira kwa kipa kwa kichwa na alipiga taratibu tu ili kipa audake ila kipa akatoka eneo lake.

Jana Ayoub alifanya makosa ya aina hiyo mara tatu katika hizo mara tatu mara moja ilikuwa ni faulo, mara ya pili refa akamtetea kwa kusema kachezewa faulo wakati ilikuwa ni mgongano wa wenyewe kwa wenyewe, na mara tatu ikawa ni goli. Lakini kila shabiki wa Simba utamsikia akimshutumu Kennedy kwa lile goli wakati ni kosa la goli kipa.
 
Naona kila mmoja anamnyoshea kidole Kennedy Juma kuwa ndio aliyefanya makosa kwernye lile goli. Pengine Kennedy ana nyota mbaya ya kutopendwa na wanasimba lakini kwa goli la jana halikuwa kosa la Kennedy Juma bali ni la kipa Ayoub. Kipa alitoka golini kwake kufuata mpira pasipo mawasiliano. Alichofanya Kennedy ni kurudisha mpira kwa kipa kwa kichwa na alipiga taratibu tu ili kipa audake ila kipa akatoka eneo lake.

Jana Ayoub alifanya makosa ya aina hiyo mara tatu katika hizo mara tatu mara moja ilikuwa ni faulo, mara ya pili refa akamtetea kwa kusema kachezewa faulo wakati ilikuwa ni mgongano wa wenyewe kwa wenyewe, na mara tatu ikawa ni goli. Lakini kila shabiki wa Simba utamsikia akimshutumu Kennedy kwa lile goli wakati ni kosa la goli kipa.
Mawasiliano were poor.
 
Kennedy hakua na intention hata ya kumrudishia kipa, makosa tu yalitokea na huo ndo mpira, huwezi kufanya clearance ya cross kama ile kwa kumrudishia kipa golini kwako
Intention ya kumrudishia kipa au kutokumrudishia kipa mwenzetu unaipimaje?
 
Kennedy hakua na intention hata ya kumrudishia kipa, makosa tu yalitokea na huo ndo mpira, huwezi kufanya clearance ya cross kama ile kwa kumrudishia kipa golini kwako
Mara ngapi tunashuhudia wachezaji wakimrudishia kipa mipira kama ile na kipa anadaka.
 
Mara ngapi tunashuhudia wachezaji wakimrudishia kipa mipira kama ile na kipa anadaka.
Sio kwa mpira wenye kesi kama ule huku ukiwa umezongwa, mara nyingi wachezaji wanawarudishia makipa kwenye mazingira ambayo hayana presha kubwa, sasa mtu kapiga kichwa kama mshambuliaji we unasema eti alikua anampa kipa, Kennedy alitaka kuokoa basi tu akatoa Boko, period
 
Sio kwa mpira wenye kesi kama ule huku ukiwa umezongwa, mara nyingi wachezaji wanawarudishia makipa kwenye mazingira ambayo hayana presha kubwa, sasa mtu kapiga kichwa kama mshambuliaji we unasema eti alikua anampa kipa, Kennedy alitaka kuokoa basi tu akatoa Boko, period
Naomba nijibu maswali ya kiufundi.
1) je kipa angebakia golini asingeweza kuudaka ule mpira?
2) je kungekuwa kuna mawasiliano kati ya kipa na beki je Kennedy angeucheza ule mpira?
 
Kennedi kiwango chake sio cha kuchezea simba,simba ni dubwasha kuuubwa
 
Naona kila mmoja anamnyoshea kidole Kennedy Juma kuwa ndio aliyefanya makosa kwernye lile goli. Pengine Kennedy ana nyota mbaya ya kutopendwa na wanasimba lakini kwa goli la jana halikuwa kosa la Kennedy Juma bali ni la kipa Ayoub. Kipa alitoka golini kwake kufuata mpira pasipo mawasiliano. Alichofanya Kennedy ni kurudisha mpira kwa kipa kwa kichwa na alipiga taratibu tu ili kipa audake ila kipa akatoka eneo lake.

Jana Ayoub alifanya makosa ya aina hiyo mara tatu katika hizo mara tatu mara moja ilikuwa ni faulo, mara ya pili refa akamtetea kwa kusema kachezewa faulo wakati ilikuwa ni mgongano wa wenyewe kwa wenyewe, na mara tatu ikawa ni goli. Lakini kila shabiki wa Simba utamsikia akimshutumu Kennedy kwa lile goli wakati ni kosa la goli kipa.
Makosa ni ya Jobe , alisababisha pressure ambayo haikutegemewa na ikapelekea goli. Mpira ulikuwa wake ilitakiwa kumpa mtu pasi au kukimbia nao badala yake akaanza mbwembwe zisizo na msingi na mpira ukachukuliwa kirahisi . Kennedy na kipa hawahusiki kabisa
 
Naona kila mmoja anamnyoshea kidole Kennedy Juma kuwa ndio aliyefanya makosa kwernye lile goli. Pengine Kennedy ana nyota mbaya ya kutopendwa na wanasimba lakini kwa goli la jana halikuwa kosa la Kennedy Juma bali ni la kipa Ayoub. Kipa alitoka golini kwake kufuata mpira pasipo mawasiliano. Alichofanya Kennedy ni kurudisha mpira kwa kipa kwa kichwa na alipiga taratibu tu ili kipa audake ila kipa akatoka eneo lake.

Jana Ayoub alifanya makosa ya aina hiyo mara tatu katika hizo mara tatu mara moja ilikuwa ni faulo, mara ya pili refa akamtetea kwa kusema kachezewa faulo wakati ilikuwa ni mgongano wa wenyewe kwa wenyewe, na mara tatu ikawa ni goli. Lakini kila shabiki wa Simba utamsikia akimshutumu Kennedy kwa lile goli wakati ni kosa la goli kipa.
Wewe uliangalia mpira na unaujua mpira. Kosa la Ayoub kavishwa Kennedy. Nakumbuka Nilikuwa naangalia Mechi hii na rafiki yangu nikamwambia tukio ambalo refa aliwadhilumu Namungo Kwa kusema Ayoub kafanyiwa foul wakati àligongana na Zimbwe.
 
Pale kosa ni la Ayubu alim mislead mwenzake ila sema ndio hivyo msimu ujao anaenda Namungo
Ila Ile game ilikuwa Namungo 3 Simba 2
 
Back
Top Bottom