Joseph Yusuph
New Member
- Apr 22, 2024
- 1
- 0
Wadogo zetu na ndugu zetu wanaosoma Chuo cha Afya na Sayansi Shirikishi Tabora TCOHAS hususa waliorudia masomo waliyofeli wanapitia changamoto ya ongezeko la Ada, tofauti na kiasi kilichokua kimewekwa mwanzoni.
Wakati vyuo vingine vya serikali kama hiki hakuna ongezeko hilo la Ada, jambo ambalo limeibua maswalii kwa wazazi na walezi na kuleta hali ya kutoaminika.
Wakati vyuo vingine vya serikali kama hiki hakuna ongezeko hilo la Ada, jambo ambalo limeibua maswalii kwa wazazi na walezi na kuleta hali ya kutoaminika.